B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 582
- 798
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa bawasiri ya ndan ntawezaje kujitibu?
Tatzo n kwamba nmekaa na hilo tatzo kwa miaka mingi sana kama kumi hiv sikuwa na maumiv yoyote, na kinyama nkaona n chakawaida tuu baadae baada ya kuingia humu ndio nkajua kuwa nna hilo tatzo maana nnacho kinyama, yaan nna ya nje na ya ndan TATIZO N KWAMBA USUGU WA TATZO LANGU had naona tabu tuu kwamba haito tibika kirahisiMimi napenda kutumia madawa ya kissuna ninapoumwa.
Nakushauri nenda kwenye maduka ya dawa za asili ukaulizie utapata dawa nzuri za kissuna au kwa jina lingine za kiswahili.
Tatzo n kwamba nmekaa na hilo tatzo kwa miaka mingi sana kama kumi hiv sikuwa na maumiv yoyote, na kinyama nkaona n chakawaida tuu baadae baada ya kuingia humu ndio nkajua kuwa nna hilo tatzo maana nnacho kinyama, yaan nna ya nje na ya ndan TATIZO N KWAMBA USUGU WA TATZO LANGU had naona tabu tuu kwamba haito tibika kirahisi
Sasa kwa ndan unapakaje weweeDawa ninayo ya kupaka 0712505049
MALOLO Hospital.iko Tabora mjini,nina mwaka na nusu tangu nifanyiwe upasuaji.sijaona tatizo kujirudiaNaombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.
Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Operation bei gani?MALOLO Hospital.iko Tabora mjini,nina mwaka na nusu tangu nifanyiwe upasuaji.sijaona tatizo kujirudia
Akikujibu unitagmkuuu uchira, naomba pia unisaidie dawa za kuondoa nyama za pua, kuna mtoto wa dada yangu yanamsumbua tangu ana miaka miwili mpaka sasa ana 21 yana msumbua bado, ameshafanyiwa operation mara tatu anapona yanaota tena
Upakiaji ni risk sana, na ni suluhisho la mwisho, kwani kuuguza kidonda ndo issue, na kama una tatizo la kusukari, unaikaribisha kansa.Dawa ya hiyo ni upasuaji tu, hospitali yoyote ya mkoa wanafanya huo upasuaji,sio ishu kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajipiga madole na kuzungusha
Maumivu ni lazima mzee ..kimba likitoka tena kama ni gumu jipange[emoji3][emoji3][emoji3]Wakuu vipi endapo unapata maumivu makali sana pindi ukijisaidia haja kubwa
Mkuu ,,ulionywa kuhusu mke wa mtu hukusikia,,,Naombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.
Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Sawa mkuu.njoo pm tufahamishane jinsi ya kukutumia dawa MkuuNaomba msaada mkuu hii kitu inanisumbua sana mm
Sawa mkuu.nenda pm nakutumia mesejiNaomba msaada mkuu hii kitu inanisumbua sana mm