Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

Pole sana. Kama upo maeneo ya kanda ya ziwa mwanza na mara kuna sabuni walalahoi tunazitumia zinaitwa B29 za rangi nyeupe. Endapo una bawasiri ya nje wakati wa kuoga tumia kuisugua sabuni hiyo mahari penye kivimbe cha bawasiri alafu njoo unishukuru.

Vile vile tumia mboga za majani mara kwa mara kunywa maji ya kutosha walau lita 5 kwa siku. So far saga alovela changanya na juisi hata ya azam embe kunywa. Mm sio mtaalam wa tiba ila niliambiwa bawasiri ni bacterial infection. Sasa tumia njia izo arafu utakuja nishukuru.
maji lita 5 kwa siku, utamuua mwenzio hujui dokta wangu bingwa wa figo muhimbili aliniambia figo haihitaji zaidi ya lita 3 kwa siku.
 
Kanunue mafuta ya nyonyo Castor oil...halafu uwe unapaka hako kauvimbe asubuhi na jioni ukiwa safi...inaondoa uvimbe kabisa kabisa unayeyuka unapotea...mimi ni shuhuda sijahadithiwa...na nilijifunza hapa hapa jamii forum..hii ni dawa kuliko zote popote..trust me..nayaheshimu haya mafuta na ninayatunza sana..oparesheni ni mateso hasa kuuguza jeraha ukizingatia eneo husika...

Eti hiyo bawasiri inapelekea maumivu ya kiuno au mgongo?
 
Pole sana. Kama upo maeneo ya kanda ya ziwa mwanza na mara kuna sabuni walalahoi tunazitumia zinaitwa B29 za rangi nyeupe. Endapo una bawasiri ya nje wakati wa kuoga tumia kuisugua sabuni hiyo mahari penye kivimbe cha bawasiri alafu njoo unishukuru...
hili swala la kunywa maji mengi hiyo ni elimu mmeitoa wapiii? we ulishawahi kunywa maji yote hayo au umeandika kwasababu hunywi wewee? hapo mkuu si sahihii na ka anamwili mkubwa tena,
 
hili swalala kunywa maji mengi hivyo ni elimu mmeitoa wapiii? we ulishawahi kunywa maji yote hayo au umeandika kwasababu hunywi wewee? hapo mkuu si sahihii na ka anamwili mkubwa tena,
Kwa kazi nazofanya asubuhi naweka maji kwenye kindoo cha lita 10. Kesho asubuhi nakuwa kimeisha. Nafanya kazi ambazo najukuta nakunywa maji mengi.

Wakat nafanya kazi hizo nilikuwa nakunywa maji kidogo kama lita 3. Tatizo la bawasiri nika develop. Tangu napiga maji lita 10, mboga za majani sizikosi jambo kwa milo miwili kwa siku tatizo likaisha
 
Naombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.

Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Upo mkoa/wilaya gani!
 
maji lita 5 kwa siku, utamuua mwenzio hujui dokta wangu bingwa wa figo muhimbili aliniambia figo haihitaji zaidi ya lita 3 kwa siku.
mkuu watu wanasemaga maji mengi kunywa ila hawajui madhara ya maji mengi katika mwili hasa afya inapokuwa kwenye maatizo, mtu wa figo hataki maji mengi pia mtu wa shinikizo la kupanda na ndo maana watu wenye shinikizo la kupanda hupewa dawa ambazo wanaita za pressure ila kazi kubwa ni kufanya mwili uachie maji kwa haraka na ndo mahali anapata nafuu,
 
mkuu pole sana kwa tatizo lako,
ka hujapata ufumbuzi wa tatizo hilo tuwasiliane nikupatie dawa ambayo utapaka na tatizo litaondoka kabisa na hutohitaji kufanya upasuaji kabisa, pia dawa hiyo inasaidia kuondoa NYAMA ZA PUA.
karibu
 
mkuu pole sana kwa tatizo lako,
ka hujapata ufumbuzi wa tatizo hilo tuwasiliane nikupatie dawa ambayo utapaka na tatizo litaondoka kabisa na hutohitaji kufanya upasuaji kabisa, pia dawa hiyo inasaidia kuondoa NYAMA ZA PUA.
karibu
mkuuu uchira, naomba pia unisaidie dawa za kuondoa nyama za pua, kuna mtoto wa dada yangu yanamsumbua tangu ana miaka miwili mpaka sasa ana 21 yana msumbua bado, ameshafanyiwa operation mara tatu anapona yanaota tena
 
Acha kuamini saaana hospital na hizo operation mafuta ya mnyonyo yanfaa ,na hata mafuta ya nguruwe ni tiba mujarabu
Bila OP....zingine ni porojo tu

Again, hemorrhoids inaondolewa na operation na sio mnyonyo, alovera, or manini sijui. PERIOD
 
hili swala la kunywa maji mengi hiyo ni elimu mmeitoa wapiii? we ulishawahi kunywa maji yote hayo au umeandika kwasababu hunywi wewee? hapo mkuu si sahihii na ka anamwili mkubwa tena,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti umeandika kwa sababu hunywi wewe
 
Uko sahihi mpaka basi maana kuna hawa wanaounga mifupa kienyeji MTU anapona haraka mno tofauti na matibabu ya P.O.P
 
Hekima kwenye maisha ni kitu muhimu sana sana no research? Naamini hujawahi umwa huo ugonjwa..sembuse hiyo oparesheni.
Inasemekana haya mafuta yanaponya uwalaza, ni kweli?
 
Mnajua kupekua post za nyuma kuhusu huu ugonjwa naomba muwawekee watu wasome ile mijadala wajifunze..

Kumbuka ule uvimbe ni damu tu iliyovia kutokana na kubanwa kwa mishipa ya damu ya eneo hilo kwa sababu ya ugumu wa kupata choo...
Upo sahihi kabisa, wengi wamekaa na elimu ya darasani kichwani, huwezi ukamtoa nje ya hapo alichoaminishwa, japo hatukatai yapo mazuri mengi tu.

Nakubaliana na wewe pia kwa awamu ya pili, mtu unashindwaje kufanya research wewe kama tabibu kujiridhisha?
 
hili swala la kunywa maji mengi hiyo ni elimu mmeitoa wapiii? we ulishawahi kunywa maji yote hayo au umeandika kwasababu hunywi wewee? hapo mkuu si sahihii na ka anamwili mkubwa tena,

Hahahahah
 
Upasuaji iwe jambo la mwisho kabisa...kuna mtu alipasuliwa kutoa hicho kivimbe ..matokeo yake amekuwa hawezi kuizuia haja kubwa!

Tumia tiba mbadala kwanza..kama mafuta...matunda..nk
 
Back
Top Bottom