Pole sana. Kama upo maeneo ya kanda ya ziwa mwanza na mara kuna sabuni walalahoi tunazitumia zinaitwa B29 za rangi nyeupe. Endapo una bawasiri ya nje wakati wa kuoga tumia kuisugua sabuni hiyo mahari penye kivimbe cha bawasiri alafu njoo unishukuru.
Vile vile tumia mboga za majani mara kwa mara kunywa maji ya kutosha walau lita 5 kwa siku. So far saga alovela changanya na juisi hata ya azam embe kunywa. Mm sio mtaalam wa tiba ila niliambiwa bawasiri ni bacterial infection. Sasa tumia njia izo arafu utakuja nishukuru.