Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

Bila OP....zingine ni porojo tu

Again, hemorrhoids inaondolewa na operation na sio mnyonyo, alovera, or manini sijui. PERIOD
Nataka kujua gharama maana uzi mzima sioni aliyeeleza gharama.
 
Bila OP....zingine ni porojo tu

Again, hemorrhoids inaondolewa na operation na sio mnyonyo, alovera, or manini sijui. PERIOD
Hekima kwenye maisha ni kitu muhimu sana sana...no research.......??? Naamini hujawahi umwa huo ugonjwa..sembuse hiyo oparesheni..

Kwanza fahamu hilo tatizo wanalo watu wengi sana kwa maana ya tatizo la kufunga choo kwa muda mrefu..
Siwezi kuzungumzia mengi hapa maana ni mambo binafsi.
Ningetamani aje mtu aliepata huo uvimbe tena awe aliwahi kufanyiwa oparesheni awali mara moja au mbili halafu baadaye akaja kutumia hayo mafuta ya nyonyo angetupa mrejesho bora.

Mimi nilitoa mchango wangu wa mawazo kutokana na mtoa mada alivyouliza..naweka picha hapa za hayo mafuta...yale meusi ambayo nilitumia hayakunisaidia...na haya meupe ambayo yamenitendea makubwa.

Ninao jirani na mwanafamilia mwenzangu ambaye walifanyiwa oparesheni..na baadhi waliotumia haya mafuta..

Nilisikitika one of my friend alifariki mwaka juzi baada ya kufanyiwa oparesheni kwenye hosp kubwa ya kitaifa hapa nchini..hakukupona huko mahali..kila mtu alijiuliza Oparesheni ndogo hivyo inawezaje hadi kupelekea kifo...

Nasisitiza hii dawa nilijifunza humu humu jamii forum..kuna mdau alikuwa anaumwa nadhani...sasa asilimia 99 walimwambia ni oparesheni tuu no Way..ila mtu mmoja akaja na ushuhuda wa haya mafuta.

At that moment sikutilia maanani hiyo discussion..maana nilikuwa sijawahi hata kuujua wala kuusikia huo ugonjwa.

Imepita kama three years aisee nikapatwa na hilo tatizo..na sikujua ni nini?? Halafu kumbuka huwezi mwambia wala kuuliza mtu.
Nikaingia kwenye mitandao..search wee mpaka nikaja jua kumbe ndio bawasiri..nilidata..ingia youtube wapi?? Solution ni oparesheni...nikawa sina namna hali imeshakuwa mbaya sana..

Ndipo ghafla kumbukumbu ikanijia kuwa niliwahi ona mjadala wa kitu kama hiki Jamii forum..ila nikakumbuka kuwa muda umepita sana nitaikumbukaje ile post.

Aisee Mungu ambariki sana aliyeanzisha na kuindeleza jamii forum..nilisearch kwa kubahatisha kupitia google nikaipata..

Sasa ajabu nilipata sio ile ya kwanza hapana bali ilikuwa ni Post ya ushuhuda wa mtu alietumia baada ya kusoma maelekezo ya ile post ya kwanza..

Na mimi nikapata ujasiri nikanunua nikaanza kutumia..siku ya kwanza holaaa..ya pili holaaa..mmhh kufika siku ya Tatu nikaona mabadiliko makubwa sana..niliendelea siku ya nne ikapotea kabisa...

AKILI ZA KUAMBIWA UWE UNACHANGANYA NA ZAKO UTAFIKA MBALI.
JPEG_20200802_171130_1634943770263018373.jpg
JPEG_20200802_171241_5713213486665193755.jpg
 
Hekima kwenye maisha ni kitu muhimu sana sana...no research.......??? Naamini hujawahi umwa huo ugonjwa..sembuse hiyo oparesheni..

Kwanza fahamu hilo tatizo wanalo watu wengi sana kwa maana ya tatizo la kufunga choo kwa muda mrefu..
Siwezi kuzungumzia mengi hapa maana ni mambo binafsi.
Ningetamani aje mtu aliepata huo uvimbe tena awe aliwahi kufanyiwa oparesheni awali mara moja au mbili halafu baadaye akaja kutumia hayo mafuta ya nyonyo angetupa mrejesho bora.

Mimi nilitoa mchango wangu wa mawazo kutokana na mtoa mada alivyouliza..naweka picha hapa za hayo mafuta...yale meusi ambayo nilitumia hayakunisaidia...na haya meupe ambayo yamenitendea makubwa.

Ninao jirani na mwanafamilia mwenzangu ambaye walifanyiwa oparesheni..na baadhi waliotumia haya mafuta..

Nilisikitika one of my friend alifariki mwaka juzi baada ya kufanyiwa oparesheni kwenye hosp kubwa ya kitaifa hapa nchini..hakukupona huko mahali..kila mtu alijiuliza Oparesheni ndogo hivyo inawezaje hadi kupelekea kifo...

Nasisitiza hii dawa nilijifunza humu humu jamii forum..kuna mdau alikuwa anaumwa nadhani...sasa asilimia 99 walimwambia ni oparesheni tuu no Way..ila mtu mmoja akaja na ushuhuda wa haya mafuta.

At that moment sikutilia maanani hiyo discussion..maana nilikuwa sijawahi hata kuujua wala kuusikia huo ugonjwa.

Imepita kama three years aisee nikapatwa na hilo tatizo..na sikujua ni nini?? Halafu kumbuka huwezi mwambia wala kuuliza mtu.
Nikaingia kwenye mitandao..search wee mpaka nikaja jua kumbe ndio bawasiri..nilidata..ingia youtube wapi?? Solution ni oparesheni...nikawa sina namna hali imeshakuwa mbaya sana..

Ndipo ghafla kumbukumbu ikanijia kuwa niliwahi ona mjadala wa kitu kama hiki Jamii forum..ila nikakumbuka kuwa muda umepita sana nitaikumbukaje ile post.

Aisee Mungu ambariki sana aliyeanzisha na kuindeleza jamii forum..nilisearch kwa kubahatisha kupitia google nikaipata..

Sasa ajabu nilipata sio ile ya kwanza hapana bali ilikuwa ni Post ya ushuhuda wa mtu alietumia baada ya kusoma maelekezo ya ile post ya kwanza..

Na mimi nikapata ujasiri nikanunua nikaanza kutumia..siku ya kwanza holaaa..ya pili holaaa..mmhh kufika siku ya Tatu nikaona mabadiliko makubwa sana..niliendelea siku ya nne ikapotea kabisa...

AKILI ZA KUAMBIWA UWE UNACHANGANYA NA ZAKO UTAFIKA MBALI.View attachment 1525011View attachment 1525014
Ebu fikiria hicho kichupa kimetumika awamu mbili lakini yamebaki hayo..unatumia kidogo sana.
JPEG_20200802_171432_3272424704816971899.jpg
 
Ebu fikiria hicho kichupa kimetumika awamu mbili lakini yamebaki hayo..unatumia kidogo sana.View attachment 1525017
Mnajua kupekua post za nyuma kuhusu huu ugonjwa naomba muwawekee watu wasome ile mijadala wajifunze..

Kumbuka ule uvimbe ni damu tuu iliyovia kutokana na kubanwa kwa mishipa ya damu ya eneo hilo kwa sababu ya ugumu wa kupata choo.

Wataalam wetu wengi ni wavivu sana kufanya research walichokaririshwa shuleni ni msahafu wao mpaka kufa..

Fanyeni case study kabla ya kutoa conclusion kwenye mambo magumu.
Hivi kuna ugumu gani kufanyia utafiti haya mafuta wakati wagonjwa wenye hilo tatizo ni maelfu...si tungesaidia wengi sana.

Ngoja tuendelee kumsubiri mzungu hakuna namna.
 
Yaani ni watu wengi sana wanao huo ugonjwa
 
Pole mkuu kwa changamoto hiyo. Swali lako lilikusudiakufahamu hospitali ipi inaweza kuwa ya msaada kupata huduma kuondolewa shida hiyo. Wakati tukiendelea kusubiria mwongozo huo. Kwa sasa jaribu kutumia utomvi wa majani ya magimbi uwe ukiupaka eneo hilo. Shida itaisha baada ya muda!
 
Pole mkuu kwa changamoto hiyo.
Swali lako lilikusudiakufahamu hospitali ipi inaweza kuwa ya msaada kupata huduma kuondolewa shida hiyo. Wakati tukiendelea kusubiria mwongozo huo. Kwa sasa jaribu kutumia utomvi wa majani ya magimbi uwe ukiupaka eneo hilo. Shida itaisha baada ya muda!
New idea..nashukuru kwa kuongeza maarifa.
 
Kanunue mafuta ya nyonyo Castor oil...halafu uwe unapaka hako kauvimbe asubuhi na jioni ukiwa safi...inaondoa uvimbe kabisa kabisa unayeyuka unapotea...mimi ni shuhuda sijahadithiwa...na nilijifunza hapa hapa jamii forum..hii ni dawa kuliko zote popote..trust me..nayaheshimu haya mafuta na ninayatunza sana..oparesheni ni mateso hasa kuuguza jeraha ukizingatia eneo husika...
Asante!
 
Naombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.

Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Kwanini ufanyiwe operation wakati zipo njia simple tu za kuondoa hiyo hemorrhoids?
 
Bila OP....zingine ni porojo tu

Again, hemorrhoids inaondolewa na operation na sio mnyonyo, alovera, or manini sijui. PERIOD
Hemorrhoids inaondoka vizuri tu kwa njia rahisi, najua huwezi amini. Binafsi nime experience hili tatizo.

Pamoja na hayo, ni lazima kuzingatia masuala ya vyakula.
 
Kuna stage 1 mpk 4 stage ya nne mtu akikwambia utumie dawa au mafuta sijui ni muongo.
Ni vema ukatumia jukwaa hiki kuwaelimisha watu juu ya hizo stage na dalili zake ili kila mtu atambue kuwa nikiwa stage hii kwa dalili hizi no way ni oparesheni tu.

Kumbuka lengo la humu ni kusaidiana na kushare expirience na sio kubishana nani anaujua ugonjwa zaidi. Nilipomjibu mtoa mada comment yangu ya kwanza nilimfafanulia vyema ni wakati gani mimi nilitumia ikanifaa...three time...vile vikipasuka hivyo ni vidonda vyenye maumivu makali mno yasiyovumilika.

Nasisitiza ukiona dalili mapema chukua hatua mapema...ugonjwa wowote ule usipoutibia mapema sio bawasiri tuu ni magonjwa mengi lazima unaweza kufikia hiyo hatua unayoisema.

Wengi hawaujui kabisa huu ugonjwa..ukikuta mtu anausema ujue umeshafika hatua mbaya sana.
 
Kuna stage nne au kitaalamu tunaita degree.1st degree mgonjwa atasema akimalizia haja kubwa inatoka damu ambapo hatakua na maumivu,hiyo damu anaweza iona wakati wa kujitawaza kwa kutumia tishu,or mara nyingine inatoka kwa wingi unaweza kuiona kwenye sink la choo but maumivu yanakua hayapo,

second degree ni kua mtu anavyokua anajisaidia kuna kinyama kinatoka sehemu ya haja kubwa lakini kinarudi chenyewe baada ya kumaliza haja kubwa,3 degree ni kua kuna kinyama kinatoka wakati wa kupata haja kubwa ila kinyama kinatoka kwa mtu mwenyewe kukirudisha,

4 degree mtu anakua anakinyama kimetoka sehemu ya haja kubwa muda wote hata kama hapati haja kubwa kinakuwepo.kwa hiyo 1 and 2 degree kwa inatibika kwa dawa za hospital hizo dawanyingine sijui kwa sababu sijazisomea ila 3 and 4 degree kwa dawa haitibiki mpk operation
 
Hekima kwenye maisha ni kitu muhimu sana sana no research? Naamini hujawahi umwa huo ugonjwa..sembuse hiyo oparesheni..

Kwanza fahamu hilo tatizo wanalo watu wengi sana kwa maana ya tatizo la kufunga choo kwa muda mrefu...
Ninafahamu mtu aliyetumia black castor na akapona mkuu kama wewe na alitumia once haikumrudia tena. Ila nafahamu pia mtu aliyewahi kufanyiwa operation na bado ikamrudia aka opt kutumia castor oil akapona mazima.
 
Hekima kwenye maisha ni kitu muhimu sana sana...no research? Naamini hujawahi umwa huo ugonjwa..sembuse hiyo oparesheni..

Kwanza fahamu hilo tatizo wanalo watu wengi sana kwa maana ya tatizo la kufunga choo kwa muda mrefu...
Mkuu haya mafuta kanda ya ziwa yanapatikana?
 
Back
Top Bottom