Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Acha ujuha weee. Unajua Muhammad alimuoa Bi. Aisha akiwa na miaka mingapi na akaanza kumuingilia akiwa na miaka mingapi? Maamuma mkubwa wewe.
Ulipaswa utaje umri wake wewe zwazwa na ulinganishe na hiyo picha uliyo weka hapo duduna wewe
 
God Bless Israel
 
Mkuu tuendelee kuwatisha hivi hivi kama tulivyokubaliana. Tulisema hawataingia wataisha wote, wameingia sasa tutetee hapa na kuwatisha sana ili waogope. Tuipambanie palestine
 
Gaza ni eneo la Taifa Teule
 
God Bless Israel
 
Hizo ni habari za eschatology...ni bishara alizozitoa Mtume Muhammad (saw) juu ya mambo yatakayotokea ktk nyakati za mwisho ni suala la muda tu haya mambo yatakuja kutokea wayahudi wameishi chini ya dola ya kiislam kwa zaidi ya miaka 1000
 
Hapo Hospital pamekuwa pamoto ukitoa Kichwa tuu Unapigwa Hapo hapo kichwani Hamas wanawatesa Watoto wachanga Kwa Nini wachimbe mahandaki chini ya hospitali Ili iwe Kinga kushambuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ