Ulipaswa utaje umri wake wewe zwazwa na ulinganishe na hiyo picha uliyo weka hapo duduna weweAcha ujuha weee. Unajua Muhammad alimuoa Bi. Aisha akiwa na miaka mingapi na akaanza kumuingilia akiwa na miaka mingapi? Maamuma mkubwa wewe.
Na bado hamjasema,....Naona Waisrael weusi mapigana kamba tu.
God Bless ๐ฎ๐ฑWapalestina wameshashinda vita hivi. Sikiliza Mayahudi wenyewe wanasema nini:
View: https://youtu.be/keFkxyBs69E?si=4-pbf9NUz_8gpCLg
Wanakiri akili kubwa sana imetumika.
God Bless IsraelNi tahadhari gani wanayochukua wakati wanaua vichanga visivyo na hatia, ata jwtz wasingefanya ujinga kama wanaofanya majeshi ya israel, majeshi yetu yameshiriki misheni nyingi lakini huwezi kusikia wameua raia au waandishi wa habari, target ni adui tu.
Mkuu tuendelee kuwatisha hivi hivi kama tulivyokubaliana. Tulisema hawataingia wataisha wote, wameingia sasa tutetee hapa na kuwatisha sana ili waogope. Tuipambanie palestineWe mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo
Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti
We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Gaza ni eneo la Taifa TeuleSahihi yaani kama wamekufa hatabaki Hamas Gaza hata mmoja hii vita ya sasa ni kuhakikisha kwanza mateka wanapatikana wazima ndio Israel itaweza sema mapigano yasimame au la wanataka watu wao wote waliotekwa na Hamas kama Hamas watawaua hakuna Hamas atabaki Gaza na eneo lote la Gaza litakuwa chini ya majeshi ya Israel forever litakaliwa kwa nguvu forever Litakuwa sehemu ya Israel mia kwa mia sasa na hata milele
Nyie Israel anawadanganya sana hio Shifaa Hospital ipo 0.6km kutoka baharini na bado hawakufika leo ya tatu ๐Mkuu tuendelee kuwatisha hivi hivi kama tulivyokubaliana. Tulisema hawataingia wataisha wote, wameingia sasa tutetee hapa na kuwatisha sana ili waogope. Tuipambanie palestine
God Bless IsraelHao IDF wanaleta habari za uongo, wameingizwa kichwa kichwa mkuu wao, kamanda wa kikosi cha ardhi na wasaidizi wake wawili wameshikwa na wao ni mateka sasa hivi ๐๐พ
View attachment 2811049
View attachment 2811050
Tafsiri kwa msaada wa Google:
Vikosi vya Al-Qassam =
Tunakupa habari njema tena
Kwa neema ya Mungu, tuliweza kumkamata kiongozi wa jeshi la Kizayuni kutoka daraja la kwanza ambaye anafanya kazi kama kamanda wa kikosi kimoja cha ardhini, pamoja na wasaidizi wake wawili, baada ya mpango wa ukombozi ambao hawakuweza. na hataweza kufahamu.
(Kwa hiyo wafurahi)
Hizo ni habari za eschatology...ni bishara alizozitoa Mtume Muhammad (saw) juu ya mambo yatakayotokea ktk nyakati za mwisho ni suala la muda tu haya mambo yatakuja kutokea wayahudi wameishi chini ya dola ya kiislam kwa zaidi ya miaka 1000kwa bahati mbaya, hakuna hasa siku moja mlishawahi kupigana vita na israel/wayahudi mkashinda. hamjawahi, jambo linalodhihirisha kwamba hiyo mistari ni ya uongo, sio ya kweli. tofauti na Mungu wa Israel alisema hatawaacha waisrael kamwe,na kweli siku zote wamekuwa wakiwashinda ninyi.