Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Malaya mchafu na kilaza ,umebadilisha pedi lakini ?Wamezingirwa tuone matako yao sasa
Ulivyo mpuuzi na kichwa bogus ,unafurahia uvamizi haramu Iraq uliofanywa na Marekani kwa kufuata claims feki za wazayuni mashoga kwamba Saadam Husein ana silaha za maangamizi kutaka kuullipua Israel na Marekani ,kwamba pia Saadam Husein alikuwa anahusika na harakati za Alqaida ,kitu ambacho kilikuwa kuwa debunked na majenerali wenyewe wa pentagon na watu mbalimbali ndani ya serikali .Hahaha seems Hamas wanakaribia kusema Adiosamigo
Hiyo parah ya mwisho umenikumbusha wakati wa Iraq war alikuwepo mtu akiitwa Tarek Aziz afisa propaganda wa serikali ya wakati huo,siku moja baada ya kuwepo mashambulizi makali akaita press akasema mmarikan amezingirwa Baghdad hatoki mtu hata sisimizi aliyeingia kwa kudandia zana vita za mmarekan ataangamizwa.
Alipotoka hapo kesho yake nyumba yake ikazingirwa wamarekani wakamkuta amejificha nyuma ya fridge.all in all vita siyo ya kushabikia always wanaumia wasiojua chochote kuhusu hizo vita
Ndio hao hao wanaomeza kila kitu bila kufikiri na kutumia akili , leo hii wanatuambia pharaos wale walijenga pyramids ni weupe ,wakati inajulikana hao pharaos ndio wale Nubians (Northern Sudan ) na khemet (Misri ya kale ) WA enzi hizo na wale walikuwa ni watu weusi ti kama mkaa tokea Sudan kupanda mpaka Egypt na actually zilikuwa ni kingdoms mbili zenye watu wa rangi za kufanana kwa rangi mpaka traditions ,mifumo ya kuabudu ,kuongoza , jeshi nk , Northern Sudan pia Kwa wanubi kuna masalia ya kihistoria yamechimbuliwa na kuthibitisha hilo , hata pyramids Northern Sudan (ardhi ya wanubi ) zipo . kuna kipindi Nubians kingdom ilipigana vita na Khemet (Misri ) na hao Nubians wakatawala kama pharaos , hilo lote mzungu anajaribu kupindisha ili kufit narrative ya kuharibu na kufifisha image ya mtu mweusiWaafrika mkuu sijui ni nani aliyetuloga.Historia yetu Wazungu wameifuta kabisa,ili tujione dhalili na hatuwezi kitu waendelee kutukandamiza na kutuibia rasilimali zetu,wakati sisi ndio "Elite Race." Tumeujua ukweli,tunajaribu kuwaeleza wenzetu ili tujitambue na hatimaye tujinasue kwenye makucha ya watesi wetu,wenzetu wanataka kubaki huko huko.Inasikitisha sana,yaani mtu anafurahia utumwa!
Hao mateka watakuwa wamekufa wengi Kwa njaa, kiu na kukosa dawa za matibabu.
Kosa walilofanya Hamas ni kitendo cha kuteka watu wa mataifa mbalimbali
Huna akili ya kutafiti mambo na mbaya zaidi umeendelea kumezeshwa huo upuuzi na ndio umeendelea kuishikilia mpaka sasaWapo waliobaki hata kipindi zionist movements inaanzishwa waliwakuta wayahudi wenyeji ndo waliwapokea wayahudi wenzao kutoka uko sehem zngine.
Acha kuongopewa watu hakuna connection yyt kati ya mwafrika na waisrael endeleeni kujidanganya.
Pamoja na kusambaa duniani kote wairael wameweza kumaintai lugha (kiebrania) na maandishi yao. Huwo ni uthibitisho tosha.
Kweli wewe ndo mtazamaji mzuri wa channel ya Aljazra ambapo IDF wanalia lia kila siku kwamba wamekatiwa umeme ,watoto na wanawake wanauliwa na kuomba vyombo vya kimataifa kuingilia kati kunusuru hali hiyo.We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo
Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti
We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Kweli kabisa ,nyumba zao zimevunjwa vibaya sana utadhani mashamba ya alizeti wakati wa kiangazi.Siku 36 IDF 360 waliouliwa. Maana yake kwa uwiano ni IDF 10 kwa siku.
Wazayuni toka wavamie hapo Palestina hawajawahi kupata kipigo cha mbwa koko cha namna hiyo.
Waliobaki wao wapige wagonjwa na watoto tu mahospitali.
Mbali ya vifaru na magari yao ya deraya zaidi ya 160 yaliyoteketezwa.
IDF 360 wamekufa, labda ukawajengee makaburi.Kweli kabisa ,nyumba zao zimevunjwa vibaya sana utadhani mashamba ya alizeti wakati wa kiangazi.
Kweli hata baada ya vita kuisha IDF itahitaji msaada wa kujengewa makazi ya dharura ili maisha yaendelee.
Nami nimeamini kwamba MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO.
Inabidi mpango ufanyike wa kukomesha maandamano yanayofanyika ulimwenguni wakisema" cease fire"IDF 360 wamekufa, labda ukawajengee makaburi.
Hiyo kambi ya mateso ya Wapalestina kubomolewa ni heri kubwa sana.
Nani mwenye kuitaka?
Una muono finyu huwezi liona hilo kuwa ni ushindi kwa Palestina.
Najitahidi kuuona huo ushindi,pamoja na maono yangu finyu kama unavyodai.IDF 360 wamekufa, labda ukawajengee makaburi.
Hiyo kambi ya mateso ya Wapalestina kubomolewa ni heri kubwa sana.
Nani mwenye kuitaka?
Una muono finyu huwezi liona hilo kuwa ni ushindi kwa Palestina.
Naona wengi hatuna uhalisia, hivi kweli Hamas ndio palestina? Kuna wapalestina million 8 kwa Gaza na diaspora ni mjinga tu anayedhani insurgency zitaisha kisa Hamas.
Kwenye hii vita pekee wataibuka wengi kulipa kisasi so vita itakua tena na tena. Suluhisho ni two states sio mtutu wa bunduki.
Acha upumbavu. Siwasapot hamas ila hapa unajionesha ulivyo mpumbavu. Huyo mtoto amefanya kosa gani mpaka kuweka maneno kama hayo?Bi. Aisha anawasalimia.View attachment 2811714
God Bless 🇮🇱Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.
Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.
Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.
Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.
Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Uko sahihi mkuu 💯%.Laiti tungekuwa na watu knowledgeable wengi kama wewe,may be we would be somewhere.Hongera sana mkuu,keep it up.Ndio hao hao wanaomeza kila kitu bila kufikiri na kutumia akili , leo hii wanatuambia pharaos wale walijenga pyramids ni weupe ,wakati inajulikana hao pharaos ndio wale Nubians (Northern Sudan ) na khemet (Misri ya kale ) WA enzi hizo na wale walikuwa ni watu weusi ti kama mkaa tokea Sudan kupanda mpaka Egypt na actually zilikuwa ni kingdoms mbili zenye watu wa rangi za kufanana kwa rangi mpaka traditions ,mifumo ya kuabudu ,kuongoza , jeshi nk , Northern Sudan pia Kwa wanubi kuna masalia ya kihistoria yamechimbuliwa na kuthibitisha hilo , hata pyramids Northern Sudan (ardhi ya wanubi ) zipo . kuna kipindi Nubians kingdom ilipigana vita na Khemet (Misri ) na hao Nubians wakatawala kama pharaos , hilo lote mzungu anajaribu kupindisha ili kufit narrative ya kuharibu na kufifisha image ya mtu mweusi
Acha ujuha weee. Unajua Muhammad alimuoa Bi. Aisha akiwa na miaka mingapi na akaanza kumuingilia akiwa na miaka mingapi? Maamuma mkubwa wewe.Acha upumbavu. Siwasapot hamas ila hapa unajionesha ulivyo mpumbavu. Huyo mtoto amefanya kosa gani mpaka kuweka maneno kama hayo?
Nyie ndio mnaaibisha dini ya mnyazi mungu
'kushambulia Hamas kwa tahadhari' leo hiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.
Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.
Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.
Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.
Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Wapalestina wameshashinda vita hivi. Sikiliza Mayahudi wenyewe wanasema nini:Inabidi mpango ufanyike wa kukomesha maandamano yanayofanyika ulimwenguni wakisema" cease fire"
ili IDF waendelee kukipata cha moto,ni vizuri tuseme kama marekani ''no cease fire"