Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Hao mateka watakuwa wamekufa wengi Kwa njaa, kiu na kukosa dawa za matibabu.

Kosa walilofanya Hamas ni kitendo cha kuteka watu wa mataifa mbalimbali
Bro wayahud ni wajanja sana. Karibu raia wake wote wana uraia pacha. So ukimuua Jews unakuta umemuua mrusi mmarekan muingereza mfaransa nk
 
It is common sense,kama Esau ametajwa kuwa Mzungu na rangi ya Yakobo haijatajwa,ila vilembwe vyake King Solomon,King David na Ayubu ni weusi by implication and commonsense ni kwamba their grand,grand,..... grandpa wao atakuwa mweusi.Hivi wewe vilembwe wako wanaweza kuwa wazungu,itakuwa ajabu sana.

Anyway naomba tusitishe dialogue hii kwa kuwa ukweli upo wazi.

Ninacho-shangaa ni wewe ukiwa mweusi kukataa ukweli wa wazi na kushabikia upotoshaji wa Wazungu.This is complete lack of discernment.
Hapa umejibu kitaalamu kabisa.

Kwanza Kuna mataifa mawili ndani ya tumbo la mama.

Pili Esau ameshatajwa kua ni mweupe.

Tatu yule abae hajatajwa kwa rangi lkn ni mwakilishi wa taifa la pili ni wazi atakua ana rangi ya tofauti na alie mweupe.

Nne kama moja mbili na Tatu zinasema hayo,basi nne ninkwamba yakobo itakua ni mweusi.
Nao ushahidi wa vizazi vya yakobo kua Kuna weusi upo.


Formula inasema swala hawezi kuzaa mbuzi.
 
kwamba mnapiga kimya kimya siku hz ? [emoji23][emoji23] mmebadili mapigo?
Si tunapiga Israel na America na mkia wake Europe, wauliza America maiti kwanini wanawaficha hawawaonyeshi wamarecan na Israel anaficha wakiuliwa 100 anasema wa 2 😄
 
yaan nyiny wavaa kobaz mna tabu kwel , ukitoka hapa unaenda kupost pray for hamas
😄 Kwani kuna kitu kikubwa duniani, kama kusali na kuomba dua kwa Mungu. Tatizo nyie Paulo aliwambia mungu wenu Yesu(Binadamu), na mnaimba kwaya kanisani Jumapili sijui Mungu yupo Jumapili tu?

Afu lini mungu wenu atashuka Masaki tukapige naye story, si binadumu?

Hata shetani hajamdharu Mungu anamuambia Wa biizat, anamuita Mungu kwa utukufu wako.

Shetani anafahamu Mungu ni mtakatifu nyie mnamuona kama binadamu tu 😄 Paulo atawakimbieni atasema kila mzoga utabeba dhambi zake.
 
Hapa umejibu kitaalamu kabisa.

Kwanza Kuna mataifa mawili ndani ya tumbo la mama.

Pili Esau ameshatajwa kua ni mweupe.

Tatu yule abae hajatajwa kwa rangi lkn ni mwakilishi wa taifa la pili ni wazi atakua ana rangi ya tofauti na alie mweupe.

Nne kama moja mbili na Tatu zinasema hayo,basi nne ninkwamba yakobo itakua ni mweusi.
Nao ushahidi wa vizazi vya yakobo kua Kuna weusi upo.


Formula inasema swala hawezi kuzaa mbuzi.
Waafrika mkuu sijui ni nani aliyetuloga.Historia yetu Wazungu wameifuta kabisa,ili tujione dhalili na hatuwezi kitu waendelee kutukandamiza na kutuibia rasilimali zetu,wakati sisi ndio "Elite Race." Tumeujua ukweli,tunajaribu kuwaeleza wenzetu ili tujitambue na hatimaye tujinasue kwenye makucha ya watesi wetu,wenzetu wanataka kubaki huko huko.Inasikitisha sana,yaani mtu anafurahia utumwa!
 
It is common sense,kama Esau ametajwa kuwa Mzungu na rangi ya Yakobo haijatajwa,ila vilembwe vyake King Solomon,King David na Ayubu ni weusi by implication and commonsense ni kwamba their grand,grand,..... grandpa wao atakuwa mweusi.Hivi wewe vilembwe wako wanaweza kuwa wazungu,itakuwa ajabu sana.

Anyway naomba tusitishe dialogue hii kwa kuwa ukweli upo wazi.

Ninacho-shangaa ni wewe ukiwa mweusi kukataa ukweli wa wazi na kushabikia upotoshaji wa Wazungu.This is complete lack of discernment.
Muongo acha kuongopea watu wayahudi hata baada ya kutawanyika dunia wapo walioendelea kuishi pale sasa mbn hakuna jamii ya watu weusi pale middle east acha ulongo
 
Halafu wavaa makobaz wa Bongo mjue humo kuna Watanganyika wenu wameshikiliwa, najua haitawaum maana mkishajiunga hiyo dini uzalendo unawatoka.
Israel wapige humo mabomu ya hallucinations, huwa hayaui ila yanawafanya nyote mnakua machizi kwa muda kisha waingie mazima mazima.
 
Muongo acha kuongopea watu wayahudi hata baada ya kutawanyika dunia wapo walioendelea kuishi pale sasa mbn hakuna jamii ya watu weusi pale middle east acha ulongo
Waisrael walisambaa Dunia nzima mkuu,hakuna waliobaki,Mungu akifanya kitu anafanya to it's completeness.

Baada ya wao kuondoka Wapalestina wakachukua nafasi.
Nikukumbushe kwamba Mungu ndiye aliyewasambaza.

Labda nikuulize,hivi mweusi anaweza kumtawala mweupe kweli?Kama jibu ni hapana,ilikuwaje Solomon na Mfalme Daudi ambao wametajwa kuwa weusi watawale weupe?Na hivi unajua kwamba Nimrod ambaye alitawala jamii ya kwanza ya Wanadamu duniani Middle East alikuwa Muafrika?Sikiliza mkuu,Wazungu wametumia kila mbinu kufuta Historian yetu,but we are slowly getting the facts.
 
Si tunapiga Israel na America na mkia wake Europe, wauliza America maiti kwanini wanawaficha hawawaonyeshi wamarecan na Israel anaficha wakiuliwa 100 anasema wa 2 😄
Bi. Aisha anawasalimia.
FB_IMG_1699790423943.jpg
 
Waisrael walisambaa Dunia nzima mkuu,hakuna waliobaki,Mungu akifanya kitu anafanya to it's completeness.

Baada ya wao kuondoka Wapalestina wakachukua nafasi.
Nikukumbushe kwamba Mungu ndiye aliyewasambaza.

Labda nikuulize,hivi mweusi anaweza kumtawala mweupe kweli?Kama jibu ni hapana,ilikuwaje Solomon na Mfalme Daudi ambao wametajwa kuwa weusi watawale weupe?Na hivi unajua kwamba Nimrod ambaye alitawala jamii ya kwanza ya Wanadamu duniani Middle East alikuwa Muafrika?Sikiliza mkuu,Wazungu wametumia kila mbinu kufuta Historian yetu,but we are slowly getting the facts.
Wapi imeandikwa Daud alikuwa mweusi? Daudi alikuwa mwekundu(Mzungu) mkuu na sio mweusi. 1 Samweli 17:42-58
 
Wapi imeandikwa Daud alikuwa mweusi? Daudi alikuwa mwekundu(Mzungu) mkuu na sio mweusi. 1 Samweli 17:42-58

Wapi imeandikwa Daud alikuwa mweusi? Daudi alikuwa mwekundu(Mzungu) mkuu na sio mweusi. 1 Samweli 17:42-58
Najua hiyo tafsiri ya Kiswahili ya Biblia,ila mara nyingi Swahili translations zinapoteza maana halisi.English translation inasema hivi,
1 Samwel 17:42
"42 And when the Philistine looked about, and saw David, He disdained him: for He was but a youth, and ruddy, and of a fair countenance."

Sasa hii sio definition ya Mzungu,kwa kuwa mtu anaweza kuwa "ruddy" kama ni mweupe na kachomwa na jua,he is very healthy au kafanya kazi sana,so he is fatigued.Ni kweli ipo dispute kama Mfalme Daudi alikuwa mweusi au mzungu,lakini kufuatana na translation ya Kingereza alikuwa mtu mweuzi.Mtizamo huu inapata nguvu kwa kuwa Biblia imesema wazi King Solomon na Ayubu walikuwa weusi.
 
Waisrael walisambaa Dunia nzima mkuu,hakuna waliobaki,Mungu akifanya kitu anafanya to it's completeness.

Baada ya wao kuondoka Wapalestina wakachukua nafasi.
Nikukumbushe kwamba Mungu ndiye aliyewasambaza.

Labda nikuulize,hivi mweusi anaweza kumtawala mweupe kweli?Kama jibu ni hapana,ilikuwaje Solomon na Mfalme Daudi ambao wametajwa kuwa weusi watawale weupe?Na hivi unajua kwamba Nimrod ambaye alitawala jamii ya kwanza ya Wanadamu duniani Middle East alikuwa Muafrika?Sikiliza mkuu,Wazungu wametumia kila mbinu kufuta Historian yetu,but we are slowly getting the facts.
Wapo waliobaki hata kipindi zionist movements inaanzishwa waliwakuta wayahudi wenyeji ndo waliwapokea wayahudi wenzao kutoka uko sehem zngine.

Acha kuongopewa watu hakuna connection yyt kati ya mwafrika na waisrael endeleeni kujidanganya.

Pamoja na kusambaa duniani kote wairael wameweza kumaintai lugha (kiebrania) na maandishi yao. Huwo ni uthibitisho tosha.
 
Ni tahadhari gani wanayochukua wakati wanaua vichanga visivyo na hatia, ata jwtz wasingefanya ujinga kama wanaofanya majeshi ya israel, majeshi yetu yameshiriki misheni nyingi lakini huwezi kusikia wameua raia au waandishi wa habari, target ni adui tu.
Kwa tarifa yako majeshi yetu Huwa yanaonewa huruma Kwa sababu Huwa hatushabiki mambo ya watu wengine. Tofauti na hapo mgekuwa mnanyukwa kila mnapokwenda.
Kama una ndugu yako akiwahi kwenda kwenye upokonyani wa silaha Sudan mfuate atakupa ukweli
 
Ndio maana vita ilipokolea ambulance gaza zilikuwa nyingi zinakimbia huku na kule kumbe zinasafirisha silaha na Askari wa Hamas .Jeshi la IDF la Israel lilipogundua ki ambulance chochote kikipiga king'ora sijui kinaenda wapi au kutaka kuingia hospitali kinatandikwa bomu au kombora popte kinapiga king'ora
Noted
 
Hao wakitoka wanakuwa waislam, wanaona Hamasi anavyo wa treat ni tofauti na wao wanavyo wa treat.

Uislam kweli lazima ipigwe vita na mashetani eti Hamasi magaidi na Hao wanauwa watoto wachanga ni Malaika wa Paulo
Ni malaika wa allah
 
Back
Top Bottom