mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Kama unalo wekaWeka pia maandiko ambayo Mungu kasema waisraeli wamepotoka kwa hiyo atawaangamiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unalo wekaWeka pia maandiko ambayo Mungu kasema waisraeli wamepotoka kwa hiyo atawaangamiza.
Hapana Proved Yakobo alizaa watoto wanao fanana ambao ni blacks.Aliyezaa watoto wasiofanana ni Isaac,yeye alizaa Mzungu na Mweusi:Esau na Yakobo.Kwa nini nasema hivyo,kwa kuwa the Bible proves that Israelis are blacks.Nimeshaleta Bible verses previously hapa,nadhani sina haja ya kurudia tena.The following Bible verses show that Jacob was not white,but Esau was!Notice verse 25.Wayahudi kutoka Ethiopia wa kabila la Dan ni weusi wa kihabeshi.
Wayahudi wa Ashkenazi wanna asili ya wazungu wa Europe
Wayahudi kutoka Iran ni kama chotara vile (waarabu Waajemi).
Ina maana Yakobo alizaa watoto wa kila aina yaani kina Dani walikuwa weusi, Judah alikuwa mzungu na wengine waarabu, wahabeshi, n.k ?
zitto junior FRANC THE GREAT Mathanzua
econonist
Na washajua karibu dunia nzima inawachukia ila lazima wapambanie ardhi yao. Hamna namnaKwenye hili nimewasifu Israel wamesimamia wanachokiamini kulinda ardhi ya mababu zao tangu wachukuliwe uhamishoni. Kelele zimekuwa nyingi mno ila wao wamemaintain udhibiti.
Wapi paliposemwa kuwa yakobo alikuwa mweusi kupitia hizo mistari za biblia?Hapana Proved Yakobo alizaa watoto wanao fanana ambao ni blacks.Aliyezaa watoto wasiofanana ni Isaac,yeye alizaa Mzungu na Mweusi:Esau na Yakobo.Kwa nini nasema hivyo,kwa kuwa the Bible proves that Israelis are blacks.Nimeshaleta Bible verses previously hapa,nadhani sina haja ya kurudia tena.The following Bible verses show that Jacob was not white,but Esau was!Notice verse 25.
Mwanzo 25:21-26
21 Isaka akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye Bwana akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.
kashindana tumboni mwake.
22Naye akasema, Ikiwa ni hivi, kuishi kwanifaa nini? Akaenda kumwuliza Bwana.
23 Bwana akamwambia,Mataifa mawili yamo tumboni mwako,Na kabila mbili za watu watafarakana tangu tumboni mwako.Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili,Na mkubwa atamtumikia mdogo.
24 Siku zake za kuzaa zilipotimia, tazama! Mapacha walikuwamo tumboni mwake.
25 Wa kwanza akatoka, naye alikuwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.
26 Baadaye ndugu yake akatoka, na mkono wake unamshika Esau kisigino. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa mwenye miaka sitini mkewe alipowazaa.
Proved nilishasema hapa previously that there is nothing like Ashkenazi Jews,ni utapeli tu,hawa ni Khazarian Mafia ambao wanachukuwa identity za watu ili kujificha kwa kuwa their history is evil.
Nisisitize pia kwamba Khazarian Mafia nao kama Hebrews or Israelis
ni dispersed all over the World, kwa hiyo wanatumia loophole hiyo kuiba identity ya Hebrews.
Na mwisho hao Israelis unaosema wapo Iran na ni weupe sio true Israelis,
ni Khazarian Mafia,because Israelis are not white.Whites wametokana na Esau sio Yakobo!
Unajua kuwa Musa alioa mwanamke kutoka kabila la kushi ambao ni weusi mpaka ndugu zake Haroun na Miriam wakamsengenya? Sasa kama waisrael walikuwa weusi ilikuwaje wakawa wanamshangaa mke wa Musa?Hapana Proved Yakobo alizaa watoto wanao fanana ambao ni blacks.Aliyezaa watoto wasiofanana ni Isaac,yeye alizaa Mzungu na Mweusi:Esau na Yakobo.Kwa nini nasema hivyo,kwa kuwa the Bible proves that Israelis are blacks.Nimeshaleta Bible verses previously hapa,nadhani sina haja ya kurudia tena.The following Bible verses show that Jacob was not white,but Esau was!Notice verse 25.
Mwanzo 25:21-26
21 Isaka akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye Bwana akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.
kashindana tumboni mwake.
22Naye akasema, Ikiwa ni hivi, kuishi kwanifaa nini? Akaenda kumwuliza Bwana.
23 Bwana akamwambia,Mataifa mawili yamo tumboni mwako,Na kabila mbili za watu watafarakana tangu tumboni mwako.Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili,Na mkubwa atamtumikia mdogo.
24 Siku zake za kuzaa zilipotimia, tazama! Mapacha walikuwamo tumboni mwake.
25 Wa kwanza akatoka, naye alikuwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.
26 Baadaye ndugu yake akatoka, na mkono wake unamshika Esau kisigino. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa mwenye miaka sitini mkewe alipowazaa.
Proved nilishasema hapa previously that there is nothing like Ashkenazi Jews,ni utapeli tu,hawa ni Khazarian Mafia ambao wanachukuwa identity za watu ili kujificha kwa kuwa their history is evil.
Nisisitize pia kwamba Khazarian Mafia nao kama Hebrews or Israelis
ni dispersed all over the World, kwa hiyo wanatumia loophole hiyo kuiba identity ya Hebrews.
Na mwisho hao Israelis unaosema wapo Iran na ni weupe sio true Israelis,
ni Khazarian Mafia,because Israelis are not white.Whites wametokana na Esau sio Yakobo!
Palestine hawataki hiyo two state solution wanaitaka israel yote ndo maana wana msemo wao maarufu "From the liver to the sea Palestine will be free"Naona wengi hatuna uhalisia, hivi kweli Hamas ndio palestina? Kuna wapalestina million 8 kwa Gaza na diaspora ni mjinga tu anayedhani insurgency zitaisha kisa Hamas.
Kwenye hii vita pekee wataibuka wengi kulipa kisasi so vita itakua tena na tena. Suluhisho ni two states sio mtutu wa bunduki.
Hao IDF wanaleta habari za uongo, wameingizwa kichwa kichwa mkuu wao, kamanda wa kikosi cha ardhi na wasaidizi wake wawili wameshikwa na wao ni mateka sasa hivi 👇🏾Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.
Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.
Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.
Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.
Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
PropagandaHao IDF wanaleta habari za uongo, wameingizwa kichwa kichwa mkuu wao, kamanda wa kikosi cha ardhi na wasaidizi wake wawili wameshikwa na wao ni mateka sasa hivi 👇🏾
View attachment 2811049
View attachment 2811050
Tafsiri kwa msaada wa Google:
Vikosi vya Al-Qassam =
Tunakupa habari njema tena
Kwa neema ya Mungu, tuliweza kumkamata kiongozi wa jeshi la Kizayuni kutoka daraja la kwanza ambaye anafanya kazi kama kamanda wa kikosi kimoja cha ardhini, pamoja na wasaidizi wake wawili, baada ya mpango wa ukombozi ambao hawakuweza. na hataweza kufahamu.
(Kwa hiyo wafurahi)
Kwa hiyo tumpuuze au?Mleta mada ni katika wale waisraeli weusi , endelea kupiga propaganda,!
Hahahaha mzee Ponda bhn.... nakuona hapo ukidanganya wajinga wenzio huku mkila kashata na kujambiana tu.We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo
Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti
We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Vita indeleeHao IDF wanaleta habari za uongo, wameingizwa kichwa kichwa mkuu wao, kamanda wa kikosi cha ardhi na wasaidizi wake wawili wameshikwa na wao ni mateka sasa hivi 👇🏾
View attachment 2811049
View attachment 2811050
Tafsiri kwa msaada wa Google:
Vikosi vya Al-Qassam =
Tunakupa habari njema tena
Kwa neema ya Mungu, tuliweza kumkamata kiongozi wa jeshi la Kizayuni kutoka daraja la kwanza ambaye anafanya kazi kama kamanda wa kikosi kimoja cha ardhini, pamoja na wasaidizi wake wawili, baada ya mpango wa ukombozi ambao hawakuweza. na hataweza kufahamu.
(Kwa hiyo wafurahi)
Wapi?Vita indelee
Leo Yule katibu wa Hizbollah ameongea
Myahudi mgogo huyoWewe ni myahudi wa kabila gani ?
We jamaa lafa sana nyie si mlisema IDF haitaweza kufanya group ops sasahivi unakuja na ngomjera tena.We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo
Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti
We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
We waulize Israel wamefika Shifa Hospita au bado 😄Hahahaha mzee Ponda bhn.... nakuona hapo ukidanganya wajinga wenzio huku mkila kashata na kujambiana tu.
Kwani we akili yako Shifa Hospital ni km ngapi kutokea Muhaima Shati? ni 0.7km na Mhaima Shati ni KM 2.5 au 3km na hayo niliyaongea mimi wanaweza kwenda mpaa hizo km lakini je watafika hata shifa? Wanacho fanya wameizunguka kweli lakini wamefika? Waulizeni IDF jana ilikuwa mandazi kwa mchuzi wa kuku 😄We jamaa lafa sana nyie si mlisema IDF haitaweza kufanya group ops sasahivi unakuja na ngomjera tena.
Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
Vita hii ngumu sanaKwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.
Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.
Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.
Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.
Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Mimi naona Israel anauwa watoto, wanawake na kaweka history super power wa kuvunja mahospital na hi ndio inamuangusha America sasa dunia nzima wamemdharau alijidai yeye ni mgobea haki duniani kumbe yeye ndiye mpiga hospital hivi nyie mnadhani America hapigani hi vita😄Jamani kwa hiyo Hamasi wanaokufa huwaoni?
😄 hata mimi naweza kuchora nyumba yenu nikasema jikoni ndio central command
Ukijifanya unajifichwa kwny mahospitali shule machwali israel hajali anakupelekea moto huko huko.Mimi naona Israel anauwa watoto, wanawake na kaweka history super power wa kuvunja mahospital na hi ndio inamuangusha America sasa dunia nzima wamemdharau alijidai yeye ni mgobea haki duniani kumbe yeye ndiye mpiga hospital hivi nyie mnadhani America hapigani hi vita😄