Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Wayahudi kutoka Ethiopia wa kabila la Dan ni weusi wa kihabeshi.

Wayahudi wa Ashkenazi wanna asili ya wazungu wa Europe


Wayahudi kutoka Iran ni kama chotara vile (waarabu Waajemi).

Ina maana Yakobo alizaa watoto wa kila aina yaani kina Dani walikuwa weusi, Judah alikuwa mzungu na wengine waarabu, wahabeshi, n.k ?

zitto junior FRANC THE GREAT Mathanzua
econonist
 
Jamaa walishapachora pote. Wanasubiria utekelezaji.
hiyo picha na ramani ilikuwa kabla hawajapiga, sasaivi wameshaivamia yote. waliweka kamera kwa usaidizi wa mamluki wa kipalestina zikawa zinaonyesha hamasi wapi wanaenda kuishia na wanapotokea, pale chini ya hospitali hata nje kuna mashimo wanafungua kama chemba za choo kumbe ndo mlango wa handaki. na walifanya hivyo wakijua israel hatapiga maeneo ya hospitali sasa jamaa kapiga hivyo hivyo.
 
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.

Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.

Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.

Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.

Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Dooh watoke watz wetu salama na vita iishe amani itawale kifo ni kitu kibaya
 
Wayahudi kutoka Ethiopia wa kabila la Dan ni weusi wa kihabeshi.

Wayahudi wa Ashkenazi wanna asili ya wazungu wa Europe


Wayahudi kutoka Iran ni kama chotara vile (waarabu Waajemi).

Ina maana Yakobo alizaa watoto wa kila aina yaani kina Dani walikuwa weusi, Judah alikuwa mzungu na wengine waarabu, wahabeshi, n.k ?

zitto junior FRANC THE GREAT Mathanzua
econonist
NDIO
 
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho
Naona wengi hatuna uhalisia, hivi kweli Hamas ndio palestina? Kuna wapalestina million 8 kwa Gaza na diaspora ni mjinga tu anayedhani insurgency zitaisha kisa Hamas.

Kwenye hii vita pekee wataibuka wengi kulipa kisasi so vita itakua tena na tena. Suluhisho ni two states sio mtutu wa bunduki.
 
Naona wengi hatuna uhalisia, hivi kweli Hamas ndio palestina? Kuna wapalestina million 8 kwa Gaza na diaspora ni mjinga tu anayedhani insurgency zitaisha kisa Hamas.

Kwenye hii vita pekee wataibuka wengi kulipa kisasi so vita itakua tena na tena. Suluhisho ni two states sio mtutu wa bunduki.
Kabisa mkuu, hayo mauaji yanayoendelea Gaza ndio yatawasukumu zaidi vijana wadogo kwenye itikadi kali zaidi ili kulipiza kisasi.
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Hahaha seems Hamas wanakaribia kusema Adiosamigo

Hiyo parah ya mwisho umenikumbusha wakati wa Iraq war alikuwepo mtu akiitwa Tarek Aziz afisa propaganda wa serikali ya wakati huo,siku moja baada ya kuwepo mashambulizi makali akaita press akasema mmarikan amezingirwa Baghdad hatoki mtu hata sisimizi aliyeingia kwa kudandia zana vita za mmarekan ataangamizwa.

Alipotoka hapo kesho yake nyumba yake ikazingirwa wamarekani wakamkuta amejificha nyuma ya fridge.all in all vita siyo ya kushabikia always wanaumia wasiojua chochote kuhusu hizo vita
 
Hahaha seems Hamas wanakaribia kusema Adiosamigo

Hiyo parah ya mwisho umenikumbusha wakati wa Iraq war alikuwepo mtu akiitwa Tarek Aziz afisa propaganda wa serikali ya wakati huo,siku moja baada ya kuwepo mashambulizi makali akaita press akasema mmarikan amezingirwa Baghdad hatoki mtu hata sisimizi aliyeingia kwa kudandia zana vita za mmarekan ataangamizwa.

Alipotoka hapo kesho yake nyumba yake ikazingirwa wamarekani wakamkuta amejificha nyuma ya fridge.all in all vita siyo ya kushabikia always wanaumia wasiojua chochote kuhusu hizo vita
Kiongozi wa Hizbullah naona anawamba Waarabu waingilie.Nani hataki kufa?
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Mkuu. Ilikuwa mbinu ya kivita kuingiza vifaru Gaza City. Mvishambulie wapate ramani ya mnakotokea. We vipi?
 
Hizi propaganda mnatoa wapi? Al jazeera mbona walisha debunk hizi claims? Yaani mnataka kujustify kuuwa watu kwa kigezo cha "Hamas wamejificha humo".
toka lini aljazeera wakareport habari zisizokuwa biased kwenye palestine/uislam/uarabu? aljazeera ndo cnn/bbc ya kiarabu so habari zao zipo so biased kwa palestine/uislam/uarabu. Na ndiyo maana waislam, waarabu, chombo cha habari wakipendacho ni aljazeera maana kinareport yale wanayopenda kusikia.
 
Hizi propaganda mnatoa wapi? Al jazeera mbona walisha debunk hizi claims? Yaani mnataka kujustify kuuwa watu kwa kigezo cha "Hamas wamejificha humo".
al jazeera wanaongea uongo mtupu. kuna media ukiziangalia ukarudi kuangalia al jazeera, hautakuja kuangalia tena al jezeera. nilikuwa siamini hilo hai
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Michoro bandia inayotokana na mawazo yako. Hii yote inatokana na kuwaamini sana wanamgambo kwamba wana ubavu wa kupambana na giant Israeli. Hamas na Hisbola ni kama sisimizi tu mbele ya tembo.
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Hiki kichekesho ni cha aina yake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Jamani kwa hiyo Hamasi wanaokufa huwaoni?
 
Mleta mada ni katika wale waisraeli weusi , endelea kupiga propaganda,!
Amosi 1:6-7,9-12
[6]BWANA asema hivi; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliwachukua mateka watu wote, ili kuwatia mikononi mwa Edomu;

[7]Lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake;
 
Amosi 1:6-7,9-12
[6]BWANA asema hivi; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliwachukua mateka watu wote, ili kuwatia mikononi mwa Edomu;

[7]Lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake;
Weka pia maandiko ambayo Mungu kasema waisraeli wamepotoka kwa hiyo atawaangamiza.
 
Back
Top Bottom