Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Acha mbwembwe we daktari wa kairukiZaidi ya 70% ya watu wote duniani wana hao bacteria, and this is fact.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mbwembwe we daktari wa kairukiZaidi ya 70% ya watu wote duniani wana hao bacteria, and this is fact.
Siyo kila mwenye hpylori ana-experience changamoto zao- vitu vingine kama hujui waachie tu wataalamuHelicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
Una utimamu wa akili mkuu? Habari ya kuwa mfanyakazi wa kairuki imeingiaje? Au kwa sababu unaleta mawazo yako yasiyo na mbele wala nyuma basi na kila mtu ayapokee unavyotaka? Ni mjinga pekee anayeweza fanya hivyoAcha mbwembwe we daktari wa kairuki
Sorry nilikosea kuku overate daktari hawezi kuripuka na mitusi kwa innocent commentator .now I know who you probably are .Una utimamu wa akili mkuu? Habari ya kuwa mfanyakazi wa kairuki imeingiaje? Au kwa sababu unaleta mawazo yako yasiyo na mbele wala nyuma basi na kila mtu ayapokee unavyotaka? Ni mjinga pekee anayeweza fanya hivyo
MkomeHelicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
Duh hatari sanaHelicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
Hii hospital ilikuwaga na sifa nzuri tu, kumbe siku hizi wamekuwa wachumia tumbo!Helicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
hiyo sheria ipo... hospital zingine nilienda bila BimaDuh hatari sana
Sasa sipati picha Ile sheria waliyokua wameweka mwanzo, ikasitishwa.
Ya kwamba unatakiwa kwenda kwenye hospital moja tu ukitaka kubadili mpaka wakupe referral.
Tusilaumu private sector, kma huduma mbovu hospitai za serikali mpka uhonge unategemea nini? Tusipende kulaumu wakati ni uzembe wa serikali ndio Unaleta huu mwanya.Halafu unamsikia mkuu wa nchi anapigia promo private sector .huu ni urefu wa kamba ndio maana Rais akiwa na uzarendo wa kupitiliza ma private sector yabaki kupiga miayo. Sijikatai ila Africans tuna matatizo makubwa hasa tunapopata upenyo wa ku corrupt mahala.
wahuni haoHii hospital ilikuwaga na sifa nzuri tu, kumbe siku hizi wamekuwa wachumia tumbo!
Aisee. Hii ni hatari!Kumbe ni mchezo, nilienda Decca pollyclinic Dodoma hivyo kwa kutumia bima nilikuwa na ugonjwa wa ngozi, nikafanya vipimo hakukuwa na ugonjwa wowote baada ya kurudi kwa daktari (Mathew) akaniambia nikapamie choo majibu yalivyotoka akaniambia nina mdudu anaitwa H. Pylory ambayo ni aina ya minyoo, ndio inanisabishia hiyo hali ya kuwashwa nikapewa box la dawa kumeza siku 60, nikamuuliiza daktari kama unaruhusiwa kutumia pombe wakati wa dozi akaniambia hapana, nikamuuliza kama kuna sindano akasema tiba yake ni hii dawa niliyoandikiwa, ikanibidi niondoke nikameza siku moja hadi tatu uzalendo ukanishinda nikaendea Kumwagilia moyo ingawa nikaenda tena Rabininsia hospital Tegeta Dar es salaam kumuona daktari wa ngozi katika kumuelezea na matibabu niliyopatiwA huko nyuma akanimbia hiyo si H. PYLORY kama ulivyoambiwa achana na dozi hiyo hii ulinayo ni Pumu ya ngozi, na katika historia yangu kweli nilishwahi kuugua pumu huko utotoni nikapewa dawa ya kupaka kutuliza hali maisha yanaendelea na moyo namwagilia kama kaiwaida.
Hili ni jambo linalonifanya hata nikiumwa nisiende hospital, Ukienda hospital hata na mafua, Utarudi na Lundo la dawa. Madoctor wamekuwa wanafanya biashara si kuhudumia wagonjwa.
Imebidi nitafute mahali nisome ili nije kujibu...👇👇Helicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.