DOKEZO Hospitali ya Kairuki wahuni wachunguzwe. Kila mgonjwa wa Bima anaumwa Helicobacter pylori (H. Pylori)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wa Zamani sisi tulikuwa tunafikiria zaidi kufanya Kazi !

Wa sasa wengi wanafikiria Kutajirika wawe na magari mazuri majumba mazuri na wake wazuri na Bata kwa kwenda mbele na kuwatambia wenzao !
Nyerere alituonya kwamba mnauacha Ujamaa ??
Huko mbele mtaujutia πŸ˜³πŸ™„ !
 
Kama hili ni kweli, basi hao wahuni wachunguzwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.
 
Nadhani kama tungeweza wote kwa umoja wetu kubadilisha neno ujanja kulitumia na badala yake tukasema kuna Uwizi mwingi sana !
Neno Ujanja ni sifa ya mtu kuwa mwerevu sana ! Ambayo ni sifa nzuri !
Upo sahihi unaofanyika ni wiizi sio ujamja, ujanja ni credit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…