mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Ni kwel..sema hapa nmetumia za siku 14 bdo hali ni Tete...hivi h pylori inatibika kwel?Dawa za H .pylori ni kali sana na unatumia kwa siku 30.
Sasa kama wanakupachika ugonjwa wa uongo ni hatari sana kwa figo
They donβt give a damn about it !Dawa za H .pylori ni kali sana na unatumia kwa siku 30.
Sasa kama wanakupachika ugonjwa wa uongo ni hatari sana kwa figo
Kama hili ni kweli, basi hao wahuni wachunguzwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.Helicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
If you think hard enough problems could always be solved but you have to think and think and think and think and then remember π³π π
Kabisa !Kama hili ni kweli, basi hao wahuni wachunguzwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Sawa dokta, ila ndio hivyo mmeshastukiwa.Zaidi ya 70% ya watu wote duniani wana hao bacteria, and this is fact.
Ni nani huyo sasa wa kuchunguza na kuchukua hatua za kisheria kwenye hii nchi inayojiendea yenyewe tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu!!Kama hili ni kweli, basi hao wahuni wachunguzwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Mungu aingilie kati hili suala wananchi wanaumizwa na hawo wahuni kwa tamaa zao za fedhaNi nani huyo sasa wa kuchunguza na kuchukua hatua za kisheria kwenye hii nchi inayojiendea yenyewe tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu!!
Upo sahihi unaofanyika ni wiizi sio ujamja, ujanja ni creditNadhani kama tungeweza wote kwa umoja wetu kubadilisha neno ujanja kulitumia na badala yake tukasema kuna Uwizi mwingi sana !
Neno Ujanja ni sifa ya mtu kuwa mwerevu sana ! Ambayo ni sifa nzuri !
Brza bichwa chogo
Duh π !Brza bichwa chogo