Hospitali ya Muhimbili Mloganzila yaanzisha huduma ya plastic surgery ikiwa ni pamoja na kuongeza matiti, makalio, nk

Inaonekana hiyo Klinic amekodishiwa Msauzi na ndo mana anataka lipwa kama vile yupo Sauz kwa Rands, India bado ni cheap japo ni risk pia. Kwa Msauz kufanya hii huduma hapa Tanzania ni powa kabisa maana jamaa kwa Ubora na umakini wa Kazi wapo vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…