Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Kwani unampita mashalove?Wanasema mtu ujipende mwenyewe kwanza.
Siyachukii lakini nikipata nafasi ya kuyarekebisha ningeyapunguza kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unampita mashalove?Wanasema mtu ujipende mwenyewe kwanza.
Siyachukii lakini nikipata nafasi ya kuyarekebisha ningeyapunguza kidogo
Hapana sijamfikia wala.😄Kwani unampita mashalove?
Ni kweli mkuu. Nadhani sasa kupitia huduma hii watu kutoka nje (eg Uganda, Rwanda) watakua wanakuja bongo kufanyiwa, hii inaitwa Medical Tourism.Safi sana hii imekaa vizuri kibiashara. Haya ndo maendeleo tunataka kuyaona kwenye sekta zote nchini wasiishie Mloganzila tu.
Hahahaha!! Hapunguzi kwa ajili yako.Usiyapunguze mie nakulenda hivyo ulivyo
Usipunguze mbona size nzuri hiyo XL 😁Nitayapunguza ya kwangu
Zote ni huduma mkuu... Hizi huduma zita boost sana medical tourism nchini kwetu.Na wao wameanza tabia mbaya 😄 eti brazilian butt waboreshe huduma kupambana na malaria kipindupindu etc
Ili yawe makubwaIli iweje?
Jini au huduma?😂Tumesogezewa jini mlangoni kabisa
Hahahaha....!! Acha hizo mkuuWakiwa madaktari ni hawa hawa wa Tz hapafai
Ila kama kuna wa nje ya tz hapo sawa!
Umewahi kuyaona live? Ile live yaani😜Usipunguze mbona size nzuri hiyo XL 😁
Sa yatafaa kweli kwa boob suction ukiyapunguza eti my wangu?Wanasema mtu ujipende mwenyewe kwanza.
Siyachukii lakini nikipata nafasi ya kuyarekebisha ningeyapunguza kidogo
Yap ajira zitaongezeka ila hizo huduma aisee kibongobongo sipati picha madoc 😁Zote ni huduma mkuu... Hizi huduma zita boost sana medical tourism nchini kwetu.
Yatafaa usijali my wanguSa yatafaa kweli kwa boob suction ukiyapunguza eti my wangu?
Hahahaha....!! Acha hizo mkuu
Zina nini mkuu? Tutapata wageni wengi kutoka nchi zs jirani wanaohitaji huduma, hivyo itaongeza pato la nchi pia.Yap ajira zitaongezeka ila hizo huduma aisee kibongobongo sipati picha madoc 😁
Inaonekana hiyo Klinic amekodishiwa Msauzi na ndo mana anataka lipwa kama vile yupo Sauz kwa Rands, India bado ni cheap japo ni risk pia. Kwa Msauz kufanya hii huduma hapa Tanzania ni powa kabisa maana jamaa kwa Ubora na umakini wa Kazi wapo vizuriHospitali ya Taifa ya Muhimbili tawi la Mloganzila wameanzisha huduma ya upasuaji ya kurekebisha baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili (plastic surgery). Baadhi ya aina za upasuaji ambazo zitakua zikitokewa hospitalini hapo ni pamoja na kuongeza/kupunguza matiti, kuongeza hips, kuongeza makalio, kurekebisha sura (facelift), kutengeneza shingo, na kadhalika.
Gharama za upasuaji huo ni kati ya shilingi za Kitanzania Milioni 9 hadi Milioni 24 kutegemea na ukubwa na aina ya upasuaji. Jedwali hapa chini linaonyesha gharama hizo kwa aina mbalimbali za upasuaji huu.
Awali, wahitaji wa aina hizi za upasuaji walikua wanalazimika kwenda Uturuki, India na nchi zingine za Asia ya kati kwa ajili ya huduma hizi. Kutokana na ujio wa huduma hizi Mloganzila, kutakua hakuna tena haja ya kwenda Uturuki, kwani sasa huduma imesogezwa karibu.
Kwa sasa gharama hizi haziwi covered na bima ya NHIF.
Changamkieni fursa Watanzania.
View attachment 2593082
Ni wa South AfricaWakiwa madaktari ni hawa hawa wa Tz hapafai
Ila kama kuna wa nje ya tz hapo sawa!