Hospital ya usalama wa taifa oale kijitonyama wana hospitali yao kubwa tu mzena ndo mpango mzima na wametengewa jengo lao kabs muhimbili ni kama pharmacy tu kwao
Mfagizi wa kitengo ni mfagazi tu kama wafagizi wengine kwenye ofisi nyingine ila hawezi kuwa mmbeya wa kuzungumza anayoona na kusikia kazini kwake.kwahiyo kuanzia Dr, mlinzi hadi mfanya usafi wote ni wazee wa kitengo?
Mzena Memorial Hospital ni hospitali ya kisasa sana naweza kusema hata Muhimbili haifikii viwango vya Mzena ndio maana inaogopeka sana, kesho ntafanya ziara ya kushtukiza ntawapa mrejesho, waTanzania mniombee nirudi salama
Sijaelewa Bado unauliza swali harafu unajijibu mwenyewe!!Hii hospitali inayoitwa Dr. Mzena iko wapi na inamilikiwa na nani, na huyo Dr Mzena ni nani hasa? Yupo au alikuwa hospitali gani?
=========
Kwanini hospitali ya Usalama wa Taifa inaitwa Mzena?
Emilio Mzena, alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa, na aliongoza idara hii kuanzia mwaka 1961 hadi 1975, akiwa ndiye Mkurugenzi wa TISS aliyeongoza miaka mingi zaidi kuliko wengine (miaka 14).
Emilio Mzena, aliaminiwa sana na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, baada ya Idara yake kuzima majaribio kadhaa ya kumpindua. Na hiyo ikapelekea Mwl. Nyerere, kumpa heshima ya kuiita hospitali hiyo kwa jina lake.
Very true hapo ndo alikuwa anapiga vyombo sana... Hapo chini amepark Peugeot Four Four... Au land Rover... Dereva wake Max...Niliwai kuonana na huyu mzee alikua mteja sana Motel Agip VIP,
Akigonga Cognac za bei ile ya mwisho kabisa juu.na Cocktail hasa Margarita.
Msosi wake lazima Chef aje amsikilize.
Nikawa najiuliza huyu jamaa ni nani?
Ndio kuambiwa Mzena huyo.
Nikakumbuka nilisoma na kijana wake chuo fulani,hakuwai hata kujidai au kuonyesha dingi yake taita vile.
huo ni uzuri au tatizo?Uzuri ni kwamba hata ukilazwa mzena unakufa tu so nothing special
Jinga kweli wee unampeleka mam kwa maafisa mkionekana wahuniKipindi nimeingia dar nikiwa bado mwananchi mtiifu ,nilimpeleka mamangu ,na alikuwa Hana bima,nikatinga getini nikapokelewa na makamanda,nikaingia mpaka ndani tukiwa tunatembea na mama.kufika reception nikaulizwa nikasema nimemleta mama kutibiwa, wakaniuliza alishawahi kutibiwa hapa nikasema hapana,anatumia bima hapana,Kuna ndugu yako hapa nikasema hapana.wakanipeleleza kama nusu saa hivi nikasema basi ngoja nimpeleke kwingine,na kulikuwa na hali ya mvua hivi nikaondoka na mama na hatukuwa na usafiri ,tukiwa Bado tuko maeneo ya hospitali alikuwa kaka Moja hivi na gari akaniuliza mbona unamtembeza mama kwenye mvua akatupakia kwenye gari,akaniuliza mnaenda wapi nikamwambia nampeleka mama hospitali kairuki.alitupeleka na gari mpaka kairuki na kutufukisha akageuza gari na kuondoka.
Wale watu wako makini sana na Mimi nilienda pale kwa ajili ya kujaribu na kuona mazingira ya mle na kwa kwakuwa nilikuwa na mama na mama alikuwa umri umeenda nikasema ngoja nipaone hapa kwa makamanda
Agnes masogange alifia hospital ya mzena itmeans nae alikua usalama?1.Ipo makumbusho
2.Inamilikiwa na Serikali kwa maana ni Hospitali inayotoa huduma kwa Watu wa usalama wa taifa, Viongozi wote wakubwa pamoja na familia zao. Ukiwa na Mzazi mwenye bima ya kutokea usalama wa taifa basi mpaka wajukuu na wakwe watatibiwa katika hiyo hospitali.
3.Ubora wake ni mkubwa sanaa maana mpaka viongozi wakuu wa nchi wanapata huduma pale.
Nb: ukienda kumuangalia mgonjwa wako na ww unaulizwa unakula nn..![emoji16][emoji16]
Hii hospital ya mzena inajulikana ya manjagu vipi Agnes masogange afie pale?
Au nae alikuwa njagu?
Mtu binafsi unaruhusiwa kutibiwa pale?
Mkuu we huwa unaenda kutibiwa mule? Au bas. Unaweza kuta hata wew ni njaguMasogange alifia hospital ya Mama Ngoma wewe! Acha kuchanganya mambo… Halafu hiyo hospital ya Mzena haibagui ni nani wa kutibiwa pale, ni uoga tu unawasumbua watu! Wewe ukiumwa just go, utatibiwa tu…!!!
We mzee unajua sanaNiliwai kuonana na huyu mzee alikua mteja sana Motel Agip VIP,
Akigonga Cognac za bei ile ya mwisho kabisa juu.na Cocktail hasa Margarita.
Msosi wake lazima Chef aje amsikilize.
Nikawa najiuliza huyu jamaa ni nani?
Ndio kuambiwa Mzena huyo.
Nikakumbuka nilisoma na kijana wake chuo fulani,hakuwai hata kujidai au kuonyesha dingi yake taita vile.
Agnes masogange alifia hospital ya mzena itmeans nae alikua usalama?
acha uongo wako kwamba hospitali ya mzena haibagui ,Masogange alifia hospital ya Mama Ngoma wewe! Acha kuchanganya mambo… Halafu hiyo hospital ya Mzena haibagui ni nani wa kutibiwa pale, ni uoga tu unawasumbua watu! Wewe ukiumwa just go, utatibiwa tu…!!!
Nilichanganya masogange alifia hosp ya Mama NgomaFamilia ya Agnes unaifahamu…?
Au aliyekuwa behind Agnes unamfahamu..???
Tafuta wafanyakazi wa pale watakwambia..!
Me kwa ufahamu wangu ndo upo ivoo..
Nina ndgu kaoa familia ambayo mama yao ni usalama but mpaka yeye file lake liko pale na akitaka kutibiwa anatibiwa vizur kabisa
acha uongo wako kwamba hospitali ya mzena haibagui ,
Hospitali ya mzena ni hospitali special tu kwa ajili ya maafisa usalama wa taifa na familia zao hususani waliopo Dsm.
viomgozi wengine wakuu wa kiserikali nao wanatibiwa hapo kwa vibali maalumu.
Ni hospitali kama zile za jeshi la polisi au hospitali za JWTZ .
Raia tu wa kawaida huwezi kujiendea tu kwenye hospitali hizo kupata matibabu
Hospitali tu za jeshi zimekuwa zinaweza kukubali kutibu raia bila ubaguzi ila sio za polisi na hiyo ya tiss
Mrangi huyu mzee ndio kwake kulikuwa na mamas pub Ada estate? Kuna yule jamaa aliyempiga chenga za mwili Mh Vicky Kamata za kumpeleka kanisani na michango akakomba ya harusi ili hali hakumuoa akiitwa Charles Pie ni mtoto wa Mzena?Eh mada pendwa jf inarekea naona
Anyway huyu mzena niliishi naye jirani
Tulikuwa tunamuita baba freddy
Ova
Yah mitaa hiyo hiyoMrangi huyu mzee ndio kwake kulikuwa na mamas pub Ada estate? Kuna yule jamaa aliyempiga chenga za mwili Mh Vicky Kamata za kumpeleka kanisani na michango akakomba ya harusi ili hali hakumuoa akiitwa Charles Pie ni mtoto wa Mzena?