Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

Unaifahamu Muhimbili vizuri??
Umewahi hata kutia mguu Muhimbili ?
Hospital ya usalama wa taifa oale kijitonyama wana hospitali yao kubwa tu mzena ndo mpango mzima na wametengewa jengo lao kabs muhimbili ni kama pharmacy tu kwao
 
kwahiyo kuanzia Dr, mlinzi hadi mfanya usafi wote ni wazee wa kitengo?
Mfagizi wa kitengo ni mfagazi tu kama wafagizi wengine kwenye ofisi nyingine ila hawezi kuwa mmbeya wa kuzungumza anayoona na kusikia kazini kwake.
 
Hakuna Hospitali bora kuliko Muhimbili nchi, kesi yako ikishindikana Muhimbili ni nje ya nchi tu.
Mzena Memorial Hospital ni hospitali ya kisasa sana naweza kusema hata Muhimbili haifikii viwango vya Mzena ndio maana inaogopeka sana, kesho ntafanya ziara ya kushtukiza ntawapa mrejesho, waTanzania mniombee nirudi salama
 
Hii hospitali inayoitwa Dr. Mzena iko wapi na inamilikiwa na nani, na huyo Dr Mzena ni nani hasa? Yupo au alikuwa hospitali gani?

=========

Kwanini hospitali ya Usalama wa Taifa inaitwa Mzena?

Emilio Mzena, alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa, na aliongoza idara hii kuanzia mwaka 1961 hadi 1975, akiwa ndiye Mkurugenzi wa TISS aliyeongoza miaka mingi zaidi kuliko wengine (miaka 14).

Emilio Mzena, aliaminiwa sana na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, baada ya Idara yake kuzima majaribio kadhaa ya kumpindua. Na hiyo ikapelekea Mwl. Nyerere, kumpa heshima ya kuiita hospitali hiyo kwa jina lake.
Sijaelewa Bado unauliza swali harafu unajijibu mwenyewe!!
Kwani julius Nyerere international airport,ni ya Nyerere?hiyo ni heshima kapewa baba wa Taifa
 
Niliwai kuonana na huyu mzee alikua mteja sana Motel Agip VIP,
Akigonga Cognac za bei ile ya mwisho kabisa juu.na Cocktail hasa Margarita.
Msosi wake lazima Chef aje amsikilize.
Nikawa najiuliza huyu jamaa ni nani?
Ndio kuambiwa Mzena huyo.
Nikakumbuka nilisoma na kijana wake chuo fulani,hakuwai hata kujidai au kuonyesha dingi yake taita vile.
 
Niliwai kuonana na huyu mzee alikua mteja sana Motel Agip VIP,
Akigonga Cognac za bei ile ya mwisho kabisa juu.na Cocktail hasa Margarita.
Msosi wake lazima Chef aje amsikilize.
Nikawa najiuliza huyu jamaa ni nani?
Ndio kuambiwa Mzena huyo.
Nikakumbuka nilisoma na kijana wake chuo fulani,hakuwai hata kujidai au kuonyesha dingi yake taita vile.
Very true hapo ndo alikuwa anapiga vyombo sana... Hapo chini amepark Peugeot Four Four... Au land Rover... Dereva wake Max...
 
Kipindi nimeingia dar nikiwa bado mwananchi mtiifu ,nilimpeleka mamangu ,na alikuwa Hana bima,nikatinga getini nikapokelewa na makamanda,nikaingia mpaka ndani tukiwa tunatembea na mama.kufika reception nikaulizwa nikasema nimemleta mama kutibiwa, wakaniuliza alishawahi kutibiwa hapa nikasema hapana,anatumia bima hapana,Kuna ndugu yako hapa nikasema hapana.wakanipeleleza kama nusu saa hivi nikasema basi ngoja nimpeleke kwingine,na kulikuwa na hali ya mvua hivi nikaondoka na mama na hatukuwa na usafiri ,tukiwa Bado tuko maeneo ya hospitali alikuwa kaka Moja hivi na gari akaniuliza mbona unamtembeza mama kwenye mvua akatupakia kwenye gari,akaniuliza mnaenda wapi nikamwambia nampeleka mama hospitali kairuki.alitupeleka na gari mpaka kairuki na kutufukisha akageuza gari na kuondoka.

Wale watu wako makini sana na Mimi nilienda pale kwa ajili ya kujaribu na kuona mazingira ya mle na kwa kwakuwa nilikuwa na mama na mama alikuwa umri umeenda nikasema ngoja nipaone hapa kwa makamanda
Jinga kweli wee unampeleka mam kwa maafisa mkionekana wahuni
 
1.Ipo makumbusho
2.Inamilikiwa na Serikali kwa maana ni Hospitali inayotoa huduma kwa Watu wa usalama wa taifa, Viongozi wote wakubwa pamoja na familia zao. Ukiwa na Mzazi mwenye bima ya kutokea usalama wa taifa basi mpaka wajukuu na wakwe watatibiwa katika hiyo hospitali.
3.Ubora wake ni mkubwa sanaa maana mpaka viongozi wakuu wa nchi wanapata huduma pale.

Nb: ukienda kumuangalia mgonjwa wako na ww unaulizwa unakula nn..![emoji16][emoji16]
Agnes masogange alifia hospital ya mzena itmeans nae alikua usalama?
 
Hii hospital ya mzena inajulikana ya manjagu vipi Agnes masogange afie pale?

Au nae alikuwa njagu?

Mtu binafsi unaruhusiwa kutibiwa pale?
 
Hii hospital ya mzena inajulikana ya manjagu vipi Agnes masogange afie pale?

Au nae alikuwa njagu?

Mtu binafsi unaruhusiwa kutibiwa pale?

Masogange alifia hospital ya Mama Ngoma wewe! Acha kuchanganya mambo… Halafu hiyo hospital ya Mzena haibagui ni nani wa kutibiwa pale, ni uoga tu unawasumbua watu! Wewe ukiumwa just go, utatibiwa tu…!!!
 
Masogange alifia hospital ya Mama Ngoma wewe! Acha kuchanganya mambo… Halafu hiyo hospital ya Mzena haibagui ni nani wa kutibiwa pale, ni uoga tu unawasumbua watu! Wewe ukiumwa just go, utatibiwa tu…!!!
Mkuu we huwa unaenda kutibiwa mule? Au bas. Unaweza kuta hata wew ni njagu
 
Niliwai kuonana na huyu mzee alikua mteja sana Motel Agip VIP,
Akigonga Cognac za bei ile ya mwisho kabisa juu.na Cocktail hasa Margarita.
Msosi wake lazima Chef aje amsikilize.
Nikawa najiuliza huyu jamaa ni nani?
Ndio kuambiwa Mzena huyo.
Nikakumbuka nilisoma na kijana wake chuo fulani,hakuwai hata kujidai au kuonyesha dingi yake taita vile.
We mzee unajua sana

Unataja margarita tena

Ova
 
Agnes masogange alifia hospital ya mzena itmeans nae alikua usalama?

Familia ya Agnes unaifahamu…?
Au aliyekuwa behind Agnes unamfahamu..???
Tafuta wafanyakazi wa pale watakwambia..!
Me kwa ufahamu wangu ndo upo ivoo..
Nina ndgu kaoa familia ambayo mama yao ni usalama but mpaka yeye file lake liko pale na akitaka kutibiwa anatibiwa vizur kabisa
 
Masogange alifia hospital ya Mama Ngoma wewe! Acha kuchanganya mambo… Halafu hiyo hospital ya Mzena haibagui ni nani wa kutibiwa pale, ni uoga tu unawasumbua watu! Wewe ukiumwa just go, utatibiwa tu…!!!
acha uongo wako kwamba hospitali ya mzena haibagui ,
Hospitali ya mzena ni hospitali special tu kwa ajili ya maafisa usalama wa taifa na familia zao hususani waliopo Dsm.
viomgozi wengine wakuu wa kiserikali nao wanatibiwa hapo kwa vibali maalumu.
Ni hospitali kama zile za jeshi la polisi au hospitali za JWTZ .
Raia tu wa kawaida huwezi kujiendea tu kwenye hospitali hizo kupata matibabu
Hospitali tu za jeshi zimekuwa zinaweza kukubali kutibu raia bila ubaguzi ila sio za polisi na hiyo ya tiss
 
Familia ya Agnes unaifahamu…?
Au aliyekuwa behind Agnes unamfahamu..???
Tafuta wafanyakazi wa pale watakwambia..!
Me kwa ufahamu wangu ndo upo ivoo..
Nina ndgu kaoa familia ambayo mama yao ni usalama but mpaka yeye file lake liko pale na akitaka kutibiwa anatibiwa vizur kabisa
Nilichanganya masogange alifia hosp ya Mama Ngoma
 
acha uongo wako kwamba hospitali ya mzena haibagui ,
Hospitali ya mzena ni hospitali special tu kwa ajili ya maafisa usalama wa taifa na familia zao hususani waliopo Dsm.
viomgozi wengine wakuu wa kiserikali nao wanatibiwa hapo kwa vibali maalumu.
Ni hospitali kama zile za jeshi la polisi au hospitali za JWTZ .
Raia tu wa kawaida huwezi kujiendea tu kwenye hospitali hizo kupata matibabu
Hospitali tu za jeshi zimekuwa zinaweza kukubali kutibu raia bila ubaguzi ila sio za polisi na hiyo ya tiss

Uongo gani sasa? Ile ni hospital ya umma acha kuwa zwazwa! Ulishawahi kuugua ukaenda pale ukafukuzwa…? Ama ni nani unayemfahamu alishawahi kwenda pale akafukuzwa kama una ushahidi weka hapa…!
Wewe ukiugua nenda hapo kama hutotibiwa uje ulete mrejesho…
Acha kuleta stori za vijiwe vya kahawa hapa..!
Kuhusu viongozi kutibiwa kwa vibali maalum, mbona zipo hospital nyingi tu zenye utaratibu wa namna hiyo…!
 
Eh mada pendwa jf inarekea naona

Anyway huyu mzena niliishi naye jirani

Tulikuwa tunamuita baba freddy

Ova
Mrangi huyu mzee ndio kwake kulikuwa na mamas pub Ada estate? Kuna yule jamaa aliyempiga chenga za mwili Mh Vicky Kamata za kumpeleka kanisani na michango akakomba ya harusi ili hali hakumuoa akiitwa Charles Pie ni mtoto wa Mzena?
 
Mrangi huyu mzee ndio kwake kulikuwa na mamas pub Ada estate? Kuna yule jamaa aliyempiga chenga za mwili Mh Vicky Kamata za kumpeleka kanisani na michango akakomba ya harusi ili hali hakumuoa akiitwa Charles Pie ni mtoto wa Mzena?
Yah mitaa hiyo hiyo

Ova
 
Back
Top Bottom