chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
TISSWanabodi habarini za masiku tele
Ninaomba kujuzwa Mzena Hospital iko wapi, inamilikiwa na nani na inahudumia watu wenye magonjwa yepi zaidi
Je ni taasisi ya serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TISSWanabodi habarini za masiku tele
Ninaomba kujuzwa Mzena Hospital iko wapi, inamilikiwa na nani na inahudumia watu wenye magonjwa yepi zaidi
Je ni taasisi ya serikali?
Ongezea na maguHii hospitali wanatibiwa wafanyakazi wa Usalama wa Taifa na hata familia zao, ni kama hospitali nyinginezo za majeshi, tofauti ni kuwa miaka michache iliyopoita wamejenga wodi ya VIP ambayo Mkapa na Sita walifia hapo.
Hili ndio la umuhimu kulizingatia kila mtuUzuri ni kwamba hata ukilazwa mzena unakufa tu so nothing special
Sasa ulaya wakubwa wanatafuta Nini? Ni porojo tiNasikia matibabu yao ni mazuri sana na kuna madaktari bingwa wa kutosha. JE naweza kutibiwa hapo kama ilivyo Lugalo?
Huwezi, getini hawatokuruhusuHakuna uwezekano wa mtu wa kawaida kutibiwa? Maaana kwa nilivyosoma sifa zake basi ni hospitali nzuri na bora sana.
Hata JK alipoangukaga jukwaani alipelekwa hapo... By the way kuna hospitali mbili mle ndani,moja ndo wanatibiwa wakazi wa mule ndaniHii hospitali iko pale Makumbusho kwenye makaaazi yale ya usalama wa taifa
Ukitoka Makumbusho kama unaenda Moroco mkono wa kushoto kuna njia inaingia kuna majengo kama apartment kuna ulinzi mkali sana huwezi hata kusogea hapo nd usalama wa taifa wanapoishi na ndipo hiyo hosp ilipo
Wanatibiwa viongozi wakubwa pekee
Lugalo labda mawaziri kushuka chini. Mzena ni kwa ajili ya wakuu wa nchilugalo hawaitaki tena.?,, ni ya mageneral wa jeshi na wananchi?,au
Mbona mtoto wa Nyerere ,Rozi alifia hapo?Lugalo labda mawaziri kushuka chini. Mzena ni kwa ajili ya wakuu wa nchi
Yes , kwa sababu ya watu wasiojulikanaIna maana hii hospitali haijulikani
Ndo uzuri wakeWanalazwa hapo na kufia hapo.
Ukiwa na bima za kawaida? Na pale getini unapitaje?Ipo eneo la Makumbusho, imepakana na kijiji cha Makumbusho upande wa kushoto ukiwa unaelekea eneo la Victoria. Ni kwa ajili ya viongozi na maofisa usalama na familia zao, ingawa nasikia wenye bima wanatibiwa. Ni hospitali nzuri kwa maana ya huduma, vifaa na utaalamu. Inamilikiwa na serikali, na imepewa jina la Mzena ikiwa ni kumbukumbu ya aliyewahi kuwa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Emilio Mzena
Ndio mkuu,kwa kuwa iko nchini,gharama ni nafuu kunzia matibabu na hata kikitokea kifo hapo gharama ya kusafirisha mwili so kubwa .Ndo uzuri wake
Ndo mkurugenzi wa usalama wa Taifa wa kwanza TanzaniaKwa nini inaitwa Mzena?
Mzee gani mzena au?Ni hospitali muhimu kwa viongozi wa kitaifa.
Pia kwa usalama wa taifa, wao na watoto wao
Imepewa jina hilo kuenzi kazi kubwa aliyofanya mzee kuijenga taasisi ya usalama wa taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app