Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

Uulize iko huko sijui makumbusho sijui wapi huko.

Nilisikia hilo jina alipewa zawadi mmoja wa wale wavaa suti nyeusi ila alishaenda Mbinguni hata Mrs wake alishaenda hata twins wake walishaenda Mbinguni.

Nenda ukitibiwa uje useme kama dawa zipo.
 
Nani kakwambia? Si ulete ushahidi tu.
Marehemu Emirio Mzena ndio akiwa mkuu wa idara ya usalama wa Taifa aliwai kuona viongozi hasa mawaziri wengi wakiwa wanalewa na kuongea hovyo.. Akaenda kumwambia Boss wake Mwl Jk Nyerere kwamba awaambie mawaziri wake waache hizo tabia zao la sivyo atawaweka ndani.. Mwl Nyerere kuona hivyo ndio akaamua kutenga sehemu maalum kwa viongozi kupata burudani.. Leaders Club pale Kinondoni..


Mtu alikuwa muadilifu sijapata kuona nchi hii.. Miaka ya tusi katikati niliwai kufanya kazi kwenye Kampuni yake ya Clearing and forwarding... Alikuwa na tender ya kupeleka Embe Falme za Kiarabu.. Cha moto tulikuwa tunakipata..


Alichukua rushwa. Uzembe na ubabaishaji kwa kiwango cha SGR..

RIP Mzee wangu Emirio Charles Mzena
 
Kipindi nimeingia dar nikiwa bado mwananchi mtiifu ,nilimpeleka mamangu ,na alikuwa Hana bima,nikatinga getini nikapokelewa na makamanda,nikaingia mpaka ndani tukiwa tunatembea na mama.kufika reception nikaulizwa nikasema nimemleta mama kutibiwa, wakaniuliza alishawahi kutibiwa hapa nikasema hapana,anatumia bima hapana,Kuna ndugu yako hapa nikasema hapana.wakanipeleleza kama nusu saa hivi nikasema basi ngoja nimpeleke kwingine,na kulikuwa na hali ya mvua hivi nikaondoka na mama na hatukuwa na usafiri ,tukiwa Bado tuko maeneo ya hospitali alikuwa kaka Moja hivi na gari akaniuliza mbona unamtembeza mama kwenye mvua akatupakia kwenye gari,akaniuliza mnaenda wapi nikamwambia nampeleka mama hospitali kairuki.alitupeleka na gari mpaka kairuki na kutufukisha akageuza gari na kuondoka.

Wale watu wako makini sana na Mimi nilienda pale kwa ajili ya kujaribu na kuona mazingira ya mle na kwa kwakuwa nilikuwa na mama na mama alikuwa umri umeenda nikasema ngoja nipaone hapa kwa makamanda
 
Kaka sehemu nyingine sio za kujaribu unaweza ukabaki
Kipindi nimeingia dar nikiwa bado mwananchi mtiifu ,nilimpeleka mamangu ,na alikuwa Hana bima,nikatinga getini nikapokelewa na makamanda,nikaingia mpaka ndani tukiwa tunatembea na mama.kufika reception nikaulizwa nikasema nimemleta mama kutibiwa, wakaniuliza alishawahi kutibiwa hapa nikasema hapana,anatumia bima hapana,Kuna ndugu yako hapa nikasema hapana.wakanipeleleza kama nusu saa hivi nikasema basi ngoja nimpeleke kwingine,na kulikuwa na hali ya mvua hivi nikaondoka na mama na hatukuwa na usafiri ,tukiwa Bado tuko maeneo ya hospitali alikuwa kaka Moja hivi na gari akaniuliza mbona unamtembeza mama kwenye mvua akatupakia kwenye gari,akaniuliza mnaenda wapi nikamwambia nampeleka mama hospitali kairuki.alitupeleka na gari mpaka kairuki na kutufukisha akageuza gari na kuondoka.

Wale watu wako makini sana na Mimi nilienda pale kwa ajili ya kujaribu na kuona mazingira ya mle na kwa kwakuwa nilikuwa na mama na mama alikuwa umri umeenda nikasema ngoja nipaone hapa kwa makamanda
 
Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena? Sijawahi isikia.

Ipo wapi
Nani mmiliki
Ubora ukoje

1.Ipo makumbusho
2.Inamilikiwa na Serikali kwa maana ni Hospitali inayotoa huduma kwa Watu wa usalama wa taifa, Viongozi wote wakubwa pamoja na familia zao. Ukiwa na Mzazi mwenye bima ya kutokea usalama wa taifa basi mpaka wajukuu na wakwe watatibiwa katika hiyo hospitali.
3.Ubora wake ni mkubwa sanaa maana mpaka viongozi wakuu wa nchi wanapata huduma pale.

Nb: ukienda kumuangalia mgonjwa wako na ww unaulizwa unakula nn..![emoji16][emoji16]
 
Eh mada pendwa jf inarekea naona

Anyway huyu mzena niliishi naye jirani

Tulikuwa tunamuita baba freddy

Ova
 
Marehemu Emirio Mzena ndio akiwa mkuu wa idara ya usalama wa Taifa aliwai kuona viongozi hasa mawaziri wengi wakiwa wanalewa na kuongea hovyo.. Akaenda kumwambia Boss wake Mwl Jk Nyerere kwamba awaambie mawaziri wake waache hizo tabia zao la sivyo atawaweka ndani.. Mwl Nyerere kuona hivyo ndio akaamua kutenga sehemu maalum kwa viongozi kupata burudani.. Leaders Club pale Kinondoni..


Mtu alikuwa muadilifu sijapata kuona nchi hii.. Miaka ya tusi katikati niliwai kufanya kazi kwenye Kampuni yake ya Clearing and forwarding... Alikuwa na tender ya kupeleka Embe Falme za Kiarabu.. Cha moto tulikuwa tunakipata..


Alichukua rushwa. Uzembe na ubabaishaji kwa kiwango cha SGR..

RIP Mzee wangu Emirio Charles Mzena
Emirio ndio nani?
 
Eh mada pendwa jf inarekea naona

Anyway huyu mzena niliishi naye jirani

Tulikuwa tunamuita baba freddy

Ova
Enhe tuendelee kupata ubuyu,maana sie wengine tukija huko Dar huwa tunaishia Manzese na kugeuza...
 
Mkuu wa Bongo tunapenda sana ufukunyuku sana ngoja aende tuu alafu aje alete mrejesho 😁
Kupata huduma kwenye hospitality unazozijua ni shida.Kwanini uhangaike kwenda kwenye hospitali ambayo hata kibao cha tangazo la hii ni MZENA HOSPITAL halipo,wewe unang'ang'ania tu.Ukifia getini kwa mahojiano?
 
[emoji1787][emoji1787] Nchi ina mambo mengi sana hii.
Marehemu Emirio Mzena ndio akiwa mkuu wa idara ya usalama wa Taifa aliwai kuona viongozi hasa mawaziri wengi wakiwa wanalewa na kuongea hovyo.. Akaenda kumwambia Boss wake Mwl Jk Nyerere kwamba awaambie mawaziri wake waache hizo tabia zao la sivyo atawaweka ndani.. Mwl Nyerere kuona hivyo ndio akaamua kutenga sehemu maalum kwa viongozi kupata burudani.. Leaders Club pale Kinondoni..


Mtu alikuwa muadilifu sijapata kuona nchi hii.. Miaka ya tusi katikati niliwai kufanya kazi kwenye Kampuni yake ya Clearing and forwarding... Alikuwa na tender ya kupeleka Embe Falme za Kiarabu.. Cha moto tulikuwa tunakipata..


Alichukua rushwa. Uzembe na ubabaishaji kwa kiwango cha SGR..

RIP Mzee wangu Emirio Charles Mzena
 
Back
Top Bottom