Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂🤣🤣🤣Kwa hiyo sifa ya hospital ni kuwa na Mortuary?
Mimi nikiona hospital ina Mortuary sitaki kutibiwa.Wanga wakubwa .Kazi ya Hospital ni kuponya sasa wanapoweka Mortuary ni kukuambia wazi kuwa hapo hospital unapoingia tarajia Mortuary. Si unaiona.
Hospital yenye Mortuary watu huwa wanakufa sana
Nikienda kutibiwa hospital yeyote huwa nauliza kwanza mapokezi kama hiyo hospital ina Mortuary wakisema inayo nakimbia spidi ya mwewe kwenda kutibiwa kwingine
ile ilikuwa akili kubwa sana,huwezi mwamini mtu sababu tu umeambiwa umuamini.Magufuli ilifika Kipindi hata Usalama alikuwa hawaamini Tangu aliponyweshwa sumu 😆😆
Jamaa alikuwa na akili sana sema alikamatika sehemu ndogo sanaile ilikuwa akili kubwa sana,huwezi mwamini mtu sababu tu umeambiwa umuamini.
yeyote tu anaweza akatumika.
Bora ulikataa kuingia na ulokole ulionao ungepewa mission ya kuteka na kuua ungeweza?Nimewahi kuingia Mzena kwa tiketi ya ndugu zangu kadhaa ambao ni maafisa vipenyo.
Mule ndani acha kabisa, kuna mambo mengi mazito, nilishangaa kukuta sheli kubwa sana ya mafuta mita chache kabla ya hospitali (kwa ajili ya maafisa ku-fuel magari yao).
Wakati flani nikiwa nauguza mmoja wa ndugu zangu, ilipofika muda wa chakula nikafatwa na jamaa mmoja akaniuliza utajisikia kula nini mchana! Nikaanza kukodoa. Akaniambia wanatoa chakula bure kwa watu wanaokuja kutembelea na kuuguza wagonjwa wao, akanipa menu..aisee ni vyakula vya hatari! Nilipotoa order nikaletewa msosi murua kabisa halafu mwingi, ukanishinda hata kumaliza.
Chumba cha mgonjwa tu ni kama sebule, kikubwa kina kila kitu. Aisee kile kitengo kinajipendelea sana. Najuta kwanini nilikataa kuingia huko kipindi hicho [emoji2960][emoji28]
Inaendeshwa na kodi zetu au na hela za viongozi wa juu?Ni Hospital kwa ajili ya Viongozi wa juu Serikalini na Family Za Idara tu ndiyo wanaruhusiwa kupata tiba
Kodi Za Wananchi Wa Tanzania WoteInaendeshwa na kodi zetu au na hela za viongozi wa juu?
Mzena HospitalHiyo Hospital au Mochwari??
Kama inaendeshwa kwa kodi zetu aende akatibiwe akikataliwa huduma afungue kesi mahakamani mimi nitajitolea kuwa wakili wake.Kodi Za Wananchi Wa Tanzania Wote
OkNimewahi kuingia Mzena kwa tiketi ya ndugu zangu kadhaa ambao ni maafisa vipenyo.
Mule ndani acha kabisa, kuna mambo mengi mazito, nilishangaa kukuta sheli kubwa sana ya mafuta mita chache kabla ya hospitali (kwa ajili ya maafisa ku-fuel magari yao).
Wakati flani nikiwa nauguza mmoja wa ndugu zangu, ilipofika muda wa chakula nikafatwa na jamaa mmoja akaniuliza utajisikia kula nini mchana! Nikaanza kukodoa. Akaniambia wanatoa chakula bure kwa watu wanaokuja kutembelea na kuuguza wagonjwa wao, akanipa menu..aisee ni vyakula vya hatari! Nilipotoa order nikaletewa msosi murua kabisa halafu mwingi, ukanishinda hata kumaliza.
Chumba cha mgonjwa tu ni kama sebule, kikubwa kina kila kitu. Aisee kile kitengo kinajipendelea sana. Najuta kwanini nilikataa kuingia huko kipindi hicho [emoji2960][emoji28]
Sawa Sawa Atakuwa Amekuelewa Na Alete MrejeshoKama inaendeshwa kwa kodi zetu aende akatibiwe akikataliwa huduma afungue kesi mahakamani mimi nitajitolea kuwa wakili wake.
malizia na huko dasalam?Mzena ni nani?
Pale makumbusho karibu na victoria, kama unatokea mwenge ni upande wa kushoto, na kama unatokea moroco ni upande wa kulia mkuuKwani ipo mitaa gani?
Ndio DGIS wa kwanza wa TISS mkuuMzena ni nani?
Kwakweli nisingeweza mkuu [emoji28]Bora ulikataa kuingia na ulokole ulionao ungepewa mission ya kuteka na kuua ungeweza?
To where; East or West?Lies
WanapokeaSijisikii vizuri Wakuu, kesho nataka kufanya checkup.
Nipeni mwongozo wa kuingia hapo hospitali ya Mzena kufanya matibabu.
Mode of payment nimepanga kutumia kadi ya NHIF.