Hospitali ya Taifa Muhimbili kutoisimamia tena Mloganzila, sasa Mloganzila kujiendesha yenyewe kuanzia Julai 2022

Hospitali ya Taifa Muhimbili kutoisimamia tena Mloganzila, sasa Mloganzila kujiendesha yenyewe kuanzia Julai 2022

juzi tarehe 16/3 /2002 msikitini imamu katangaza mchango wa ndugu yake ya matibabu kapelekwa hospital iloganzila ilikuwa adhuhuri nilikuwa nimekaa na jamaa mmoja karibu yangu nikamwambia huyu ndugu wa imamu hawezi kupona tutamzika subiri uone ilipofika laasiri tukaendelea na mchango kukamilisha pesa laki 6 zinazotakiwa hospitali ilonganzila ilipofika magharibi tukatangaziwa mgonjwa kafariki
 
juzi msikitini imamu katangaza mchango wa ndugu yake ya matibabu kapelekwa hospital iloganzila ilikuwa adhuhuri nilikuwa nimekaa na jamaa mmoja karibu yangu nikamwambia huyu ndugu wa imamu hawezi kupona tutamzika subiri uone ilipofika laasiri tukaendelea na mchango kukamilisha pesa laki 6 zinazotakiwa hospitali ilonganzila ilipofika magharibi tukatangaziwa mgonjwa kafariki
Kule hawapelekwi wagonjwa wa malaria,wanapelekwa serious,kutoka ngumu
 
Kule hawapelekwi wagonjwa wa malaria,wanapelekwa serious,kutoka ngumu
Ndo tuone utofauti wa hospitali za wilaya tamisemi na za taifa kama iyo yenye kila kitu km mgonjwa sio terminal ill patient
 
Tunachofanya ni kuongeza Mzigo wa Wage bill kwa Serikali na Mzigo kwa Mwananchi wa kawaida mlipa Kodi.
Apatikane MKURUGENZI na V8 lake, alipiwe Nyumba, Simu, Umeme nk.
Wapatikane wakuruegenzi wasaidizi 8 yaani wa Utawala, Fedha nk na kila Mmoja apate V8 na mazaga mengine.
Waje Wasaidizi wao nk kwakweli tunajivisha mzigo mzito sana walipa kodi maaana vyeo vyoooote hivyo vilikuwepo Muhimbili kwahiyo wajanja wanataka hiyo ijitegemee ili wajipe UKURUGENZI, anyway Shamba liko wazi kwa sasa pigeni muwezavyo.
Yale yaleeeeeee ya kukata kata shule za msingi A na B ili Kuongeza Idadi walimu wakuu na mzigo kwa Serikali wakati hakuna Ufanisi. Nchi hii kila mtu anataka kuvimba na V8 TUTAFIKAJE???
 
Tunachofanya ni kuongeza Mzigo wa Wage bill kwa Serikali na Mzigo kwa Mwananchi wa kawaida mlipa Kodi.
Apatikane MKURUGENZI na V8 lake, alipiwe Nyumba, Simu, Umeme nk.
Wapatikane wakuruegenzi wasaidizi 8 yaani wa Utawala, Fedha nk na kila Mmoja apate V8 na mazaga mengine.
Waje Wasaidizi wao nk kwakweli tunajivisha mzigo mzito sana walipa kodi maaana vyeo vyoooote hivyo vilikuwepo Muhimbili kwahiyo wajanja wanataka hiyo ijitegemee ili wajipe UKURUGENZI, anyway Shamba liko wazi kwa sasa pigeni muwezavyo.
Yale yaleeeeeee ya kukata kata shule za msingi A na B ili Kuongeza Idadi walimu wakuu na mzigo kwa Serikali wakati hakuna Ufanisi. Nchi hii kila mtu anataka kuvimba na V8 TUTAFIKAJE???
Fikra duni,ungejua mfanya mwamuzi pasingekua na mikoa Wala wilaya mpya,hivyo ndivyo serikali inavyosogeza/boresha huduma kwa jamii
 
Tunachofanya ni kuongeza Mzigo wa Wage bill kwa Serikali na Mzigo kwa Mwananchi wa kawaida mlipa Kodi.
Apatikane MKURUGENZI na V8 lake, alipiwe Nyumba, Simu, Umeme nk.
Wapatikane wakuruegenzi wasaidizi 8 yaani wa Utawala, Fedha nk na kila Mmoja apate V8 na mazaga mengine.
Waje Wasaidizi wao nk kwakweli tunajivisha mzigo mzito sana walipa kodi maaana vyeo vyoooote hivyo vilikuwepo Muhimbili kwahiyo wajanja wanataka hiyo ijitegemee ili wajipe UKURUGENZI, anyway Shamba liko wazi kwa sasa pigeni muwezavyo.
Yale yaleeeeeee ya kukata kata shule za msingi A na B ili Kuongeza Idadi walimu wakuu na mzigo kwa Serikali wakati hakuna Ufanisi. Nchi hii kila mtu anataka kuvimba na V8 TUTAFIKAJE???
Na huwa hivyo. unakuta mganga mkuu wa hapo Mloganzila amekaa na genge lake wakasema, "Kwanini tuendelee kupokea maagizo MNH?' fitina zikaanza. Kwanza ni Hospitali ya chuo, wamefanya kupora tu.
 
Wafanyakaz wa Mlogazila wanaposoma comments zinazoitaja hospitali yao kama machinjio sijui wanajisikiaje
Hahaha..mimi binafsi najisikia poa tu, Ni kweli kumekuwa na changamoto za hapa na pale kwenye uendeshaji wa Hospitali hii, lakini karibia changmoto zote zinahusiana na ukosefu wa fedha tu!
Wakati huo huo, majority ya watu wanaotusema vibaya, hawajawahi kutibiwa, wamesikia tu kwa watu! Ambao nao walisikia kwa watu....and the chain goes on...
Kwa watu ambao wametibiwa hospitalini hapa, wengi wana ushuhuda mzuri tu na hospitali hii!
 
Hata huku mtaani kwetu ukienda kule ukiwa mgonjwa hurudi
Wewe nadhani umesikia tu kwa watu, na hao watu walisikia kwa watu! Tuna wagonjwa wengi tu, wanakuja bila fahamu, wanahudumiwa na kupona kabisa, baadhi pia hufariki sio kwa kukosa huduma, bali hatua ugonjwa wao ilikuwa juu sana kiasi kwamba isingewezekana kuzuia vifo vyao!
 
Huku mtaani kwetu wanaamini mgonjwa wako akilazwa Mloganzila jiandae kisaikolojia kuna jambo litatokea... ngoja tuone ikijitegemea
Hizo ni imani tu ndugu,wale watu wako vizuri na kwa kiasi kikubwa wanajitahidi mno.sisi tulikua na mgonjwa wetu Tulimpeleka pale alikua na hali mbaya sana kiasi kwamba tulikua tunajua hamalizi week tunazika.mgonjwa amekaa ICU week 3 anapumulia machine,lakini tuliziona juhudi za madaktari wa pale walivyokua wanamhangaikia pasipokuwapa hata chochote.mgonjwa wetu alipona na mpaka sasa yuko mtaani anadunda.
 
Hizo ni imani tu ndugu,wale watu wako vizuri na kwa kiasi kikubwa wanajitahidi mno.sisi tulikua na mgonjwa wetu Tulimpeleka pale alikua na hali mbaya sana kiasi kwamba tulikua tunajua hamalizi week tunazika.mgonjwa amekaa ICU week 3 anapumulia machine,lakini tuliziona juhudi za madaktari wa pale walivyokua wanamhangaikia pasipokuwapa hata chochote.mgonjwa wetu alipona na mpaka sasa yuko mtaani anadunda.
Atakufa muda sio mrefu! Tupinge
 
Back
Top Bottom