juzi tarehe 16/3 /2002 msikitini imamu katangaza mchango wa ndugu yake ya matibabu kapelekwa hospital iloganzila ilikuwa adhuhuri nilikuwa nimekaa na jamaa mmoja karibu yangu nikamwambia huyu ndugu wa imamu hawezi kupona tutamzika subiri uone ilipofika laasiri tukaendelea na mchango kukamilisha pesa laki 6 zinazotakiwa hospitali ilonganzila ilipofika magharibi tukatangaziwa mgonjwa kafariki