Hospitali ya Taifa Muhimbili kutoisimamia tena Mloganzila, sasa Mloganzila kujiendesha yenyewe kuanzia Julai 2022

Nililazwa Mloganzila for 8 days. Kwa kweli ni one of the best hospitals in the country if not the best.
Ukitibiwa Mloganzila hesabu uko kwenye mikono salama.
Pale alilazwa aunt yangu kipenzi japo alifariki tokana na complications za ugonjwa uliompeleka pale ila kwa standards na mazingira nadhani ni zaidi hata ya Aga Khan Upanga.
 
Noma
 
Wanasema"maneno ya watu sumu"
 
Ile hospital ni bonge ya hospital...muuguzi anaeitwa activity mungu amlipe.....
 
Sawa,tunashukuru Kama tunaweza pata angalau habari njema Kama hizi.
 
Lakin comments ni nyingi chief zinazoisema vibaya hospital sio wa kupuuzwa hawa.
 
Nililazwa Mloganzila for 8 days. Kwa kweli ni one of the best hospitals in the country if not the best.
Ukitibiwa Mloganzila hesabu uko kwenye mikono salama.
Mmmmh hii hatareeee, mloganzira ipi? Au ya Uingereza?
 
Uongo nyie wafanyakazi ni wazembe khaaaah
 
Hilo jina lake lilivyo limekaa kichawichawi
Kwa nini wasibadiri jina tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…