KERO Hospitali ya Taifa Muhimbili (Mloganzila) Madaktari wanafunzi ni Janga. Watu wanakufa kwa uzembe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Huwa nawaambia watu MD 's fake na incompetent ni wengi mno, diagnosis capability yao ni below 50%
 
Mkuu kuna watu wata kuja kusema kama una mpenda kazikwe nae chato, au,uta itwa sukuma geng.
 
Mkuu kuna watu wata kuja kusema kama una mpenda kazikwe nae chato, au,uta itwa sukuma geng.
Hapana kuna mazuri alikua nayo lazima tuseme..na mapungufu yake yalikuwepo mengi tuu..as a human being..kwani bi tozo mbona ana mazuri yake? Na mapungufu kibao...
 
Usitegemee huyo mwanafunzi kilaza atabadilika akiwa daktari.

Ni mwendo wa kutumbuliwa majipu ya makalio kwa plaizi.

Cc: DR Mambo Jambo Poor Brain
Siku hizi kuna Elimu basi watoto wetu wengi wana fata Sehemu yenye pesa ili waweze kujipatia pesa isiyo na shuruba bhasi ila uelewa wa kungamua magonjwa hawana hawana passion ya Udajtari wala ya Kitabibu..

Hilo sipingi kabisa
 
Nini maana ya neno "mloganzila?". Neno "mloga" ni kinyambulishi cha neno "kuloga" kuwangiwa. Kwahiyo ni hospital ambayo hakuna matumaini!
"loga" ni "ulozi", Mloga ni Mtu anaye fanya ulozi. "Nzila" ni njia au barabara.

Sasa ukiunganisha haya maneno mawili unampata gwiji wa kuloga hata vitu visivyo na uhai. Huyo si mwingine bali ni MLOGA NJIA, MLOGA BARABARA. Sasa tafiri ya maana hii na hali halisi watafuteni Wazaramo wa naeneo hayo watawaambia kwa nini huyo jamaa alifikia kuloga hadi njia au barabara. Je alikuwa mhalifu kiasi akaloga ili asiweze kufikiwa kirahisi na wabaya wake? Tafakari mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…