Kwa ufikiri huohuo wa ki great thinker jiulize kwanini Mloganzila na sio hospitali zingine na hii si mara ya kwanza kwa uzi kama huu kupanda hapa jukwaani huku wachangiaji walio wengi wakichangia kwa kuonyesha kinacholalamikiwA ni kweli.Ukiwa wafikiria kama great thinker watakiwa uanze kwa kufikiria aina ya wagonjwa wanaoenda Mloganzila. Watanzania wengi wakienda hospitali ujue wako terminally ill, na hospitali huwa kama sehemu ya wao kufia.
Unadhani kwanini watu hawapimi afya?Watanzania tuwe na tabia ya kupima mara kwa mara..hata kama huna ugonjwa.hii.haitaondoa tatizo completely bali itapunguza vifo vinavyoepukika….hii mentality mpaka uumwe ndio uende hospitali mnatafutia madaktari lawama tuuu…..Mwalimu Umy anzisha continuous campaign watu wapime afya zao mara kwa mara...
And,Second mimi naomba Madaktari wanafunzi wafundishwe kwa Kiswahili..huku O level na A level ni mwendo wa kukariri tuu...so sidhani ikifika chuoni hali hii ya kukariri inabadilika,so sometimes na feel huko kwa madaktari kuna waliopita kwa njia hii hii ya kukariri,this is dangerous..mnacheza na Maisha ya watu...
Unadhani kwanini watu hawapimi afya?
Madaktari wenyewe wa Tz wamezoea mgonjwa ni yule anayeletwa na machela.
Wapeleke madokta wao wanaowapa nafasi za management kusomea jinsi ya kuendesha huduma za afya na wizara iwe inatoa miongozo ya kisera kwenye viwango vya huduma vinavyotakiwa.
Kabisa kampeni muhimu sana. Magonjwa mengine ni ya kawaida tu lakin yanasumbua mno kisa ukienda kwa Daktari ht Mwaka mzima anaandika dawa tu no vipimo.kunahitajika campaign kubwa itakayoleta awareness kwa madaktari na watu wa kawaida
Ila wale jamaa zangu na uchizi wao ule nao wamekuwa madaktari aiseeNever! hakuna msuli! Nimefanya mtihani wa PCB 1974, taifa zima hapakuwa na A zaidi ya kumi PCB! katika kila somo kwa combination hiyo
Yahn nina jamaa zangu ni chenga sana masihara mengi miyayusho kweli yahn sahv madaktari aisee wanzngua sana story zao ss daaah upuuzi mtupu wanawatafuna sana wagonjwa kwa kifupi meme mwnywe iman nao sina katika tiba mfano kuna kipind walitaka kunipima ukimwi bila ushauri nasaa hahaha niligoma.wepi hao?
taifa la TANZANIA lote na mipaka yake hamna hospital yenye vipimo kama mloganzila ...kila hospital unayo ijua ww TanzaniaNa hili huchangiwa na huduma duni za vipimo kwa maeneo mengi ya nchi, suala ambalo lilizaa utamaduni wa kutofanya hivyo vipimo. Kiufupi huduma za vipimo ni duni sana sana hata kwa bahadhi ya maeneo ya mijini, mtu akiugua ananunua dawa za malaria kumbe ana typhoid, amoeba au UTI.