Nchi gani unayofahamu watu kwenda kupima bila ugonjwa? Yaani unakwenda hawa wanafunzi tunaowasema watafute ugonjwa mwilini?? Are you serious?
Neno kama desmosomes utaliitaje kwa kiswahii
Au phosphoribosyl pyro phosphate
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha.. Ni "combi" zote wanapewa "nyanya" siku hizi au Ni hyo PcB tuu??Hahahahah.. ebhana eeh!!
Yani kwa jinsi pepa lilivyo nyanya ukiamua kupiga section one tu unauhakika wa kutoka na 70% nzima,unausanya pepa unasepa hata sali moja upotezi katika chumba cha mtihani.
Kumbe ndii maana A's za kufa mtu mi nikajua madogo wapiga msuli nowdays kumbe wanapewa pepa za form two ACSE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu what is your advice then?Na hili huchangiwa na huduma duni za vipimo kwa maeneo mengi ya nchi, suala ambalo lilizaa utamaduni wa kutofanya hivyo vipimo. Kiufupi huduma za vipimo ni duni sana sana hata kwa bahadhi ya maeneo ya mijini, mtu akiugua ananunua dawa za malaria kumbe ana typhoid, amoeba au UTI.
Tunahitaji uwekezaji wa kutosha kwenye vifaa tiba kuanzia ngazi za zahanati na vituo vya afya. Sehemu kubwa ya magonjwa yanayotusumbua yanatibika vizuri sana kama yatapata vipimo sahihi na kwa wakiti, lakini huku makwetu hali siyo shwari kabisa kwa upande wa vipimo na vifaa tiba kwa ujumla ikiwemo na tatizo sugu la madawa. Tutatue changamoto hizi kwani watu watapata tu mwamko wa kwenda kupima kama huduma hizo zinapatikana kwa urahisi huko waliko. Kuna vituo vya afya na zahanati zina majengo mazuri sana lakini unakutana na incharge anakuambia tunatumia uzoefu na maelezo ya mgonjwa kujua anachoumwa.Mkuu what is your advice then?
Shall we dwell on the past in our entire life?
Kama kulikuwa na vipimo duni lakini sasa kuna unafuu mkubwa, kwa hivyo bado tuendelee kutokwenda kupima afya yetu mara kwa mara kabla ya kuugua na kuzudiwa?
Kuna magonjwa mengi sana yanauwa watu ambayo kama wahanga wangeenda mapema hospital yalikuwa yanatibika.
Na huu ndio ukweli. Siasa ndio inaua watu. Mloganzila haikua tayari kupokea wagonjwa kwa ukubwa huu wa sasa hali ya kuwa haina wafanyakazi. Madaktari bingwa na wale wa muhimbili, wahudumie muhimbili na mloganzila ambapo wengi hawataki kwenda mloganzila kwanza mbali na madaktari bingwa wote wana visehemu vyao vya kuhudumia mjini hapa. Walishazoea muhimbili, part time zao katika hospital zingine then anaenda kutulia kwenye kituo chake.On other side:
Mlongazila ilijengwa ili kuwa training hospital(yaani ingekuwa campus ya Muhas) na baada ya kukamilika mùhas walianza kuajiri taratibu taratibu staffs,Lengo likiwa ni kwenda hatua kwa hatua mpaka hospitali itakapokuwa na full man power.
Lakin ghafla no 1 akapindua meza kwanza kwa kusitisha kibali cha ajira,pili siku ametembelea pale ghafla akaamuru wagonjwa toka muhimbili wahamishiwe mlongazila na hii ilikuwa very shocking news kwa chuo cha Muhas kwa kuwa lengo ilikuwa ni chuo kijitegemee hadi kuwa na hospitali yake ya kufundishia.
Swala likaja man power inatoka wapi? nadhan ndio msala uko hapa. Na hao ma specialist anaosema prof sidhan kàma idadi hyo wanafika unless wanahudumu muhimbili na mlongazila kwa wakati tofauti. Sote twajua mpaka kupata daktari bingwa inachukua mda kidogo.
Yote kwa yote ilikuwa ni kosa kukurupuka kuhamishia wagonjwa mlongazila bila kuwa na nguvu kazi ya kutosha.Madharà yake ndio haya.
Mungu awahurumie wagonjwa wapone. Inauma kupoteza ndugu kwa uzembe. Lakini mambo ya siasa kwenye taaluma madhara yake ndio kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
BEN MKAPA wamejaza students haswaaaah.!!MLOGANZILA na BENJAMINI MKAPA WOTE WANAFANANA
Kwa MUHIMBILI, JKCI na MOI kidogo Naona wako serious na kazi..Huyu Professor amejikaanga kwa kutumia takwimu kujitetea. Na hajasema vifo vingapi vikitokea ndipo atakubali kuna tatizo!
Sifa ya MNH iliporomoka pale walipompasua kichwa mgonjwa badala ya goti! Hakukuwa na taarifa kama wahusika waliwajibishwa.
Hili la madokta vijana walionyoa viduku na kuonekana wana-gossip mbele ya wagonjwa halijibiki kwa takwimu!
Wananchi wanalalamika kwasababu Muhimbili na Mlonganzila ni tegemeo lao kuu kimatibabu. Serikali nayo imewekeza fedha na raslimali nyingi ikitegemea taasisi hii iwe na kiwango cha kimataifa kweli!
Lakini kama ndio hivi mtu akipoteza mpendwa wake akishangaa anajibiwa kwa takwimu, hatufiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio unabariki ku cramm?! Mageni Haya!
Sibariki ku cramm sababu sikufanya hivyo
Ila uliposuggest kutumia kiswahili kwenye medical synom umeniacha hoi sana mkuu
Mawazo mengine upo sahihi ila hili haliwezekani
Huu mtihani wa form 4 au 6? Mbona simple hivyo, maswali mengi yapo level ya chini kabisa ya cognitive domain, acha psychomotor na affective domain zipo kidogo sana, na tunaongelea competence based curriculum, hata kama ni paper one! Form six anaambiwa Mention, list, identity, Name, explain etc very low level ya kupima competence ya A level candidate, halafu eti 10 marks! ndio maana wengi siku hizi wanapata hizo PCB AAA, sio kama miaka yetu! NECTA wajitafakari kwa kweli. Samahani kama nimeongea some terminologies kwa wengine ngeni, ila walimu na wengine wanaopenda kujiongeza kielimu watakuwa wamenipata vizuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine inabid tuelewe hospital ya rufaa ya taifa haziendi malaria na Uti, wagonjwa wenye terminal illness ni wengi lazima mortality itasoma high, tusilaumu sana.Nimepitia maelezo na comments zote jibu rahisi sana kwa wastani ni kwamba yale maelezo ya hospital huyu prof. amepika kwa kiwango cha juu zaidi yaani zaidi.
Nashkuru wadau kwa hizi taarifa tuwajuwao tutawatahadharisha na hii hospitali. Kwamba kila wagonjwa 200 wagonjwa 10 hufariki kwa mujibu wa taarifa zao na ukija kwenye uhalisia hii hospitali inatisha haifai. Na hawa wagonjwa 200 hawa ni jumla jamala kwamba kuna wanaoumwa flue, kahoma, kichwa, jino, tumbo la kuharisha nk.
Kuna shida kubwa sana kwenye hii hospitali.
Hili neno mortality ndo mumelitumia sana kwenye maelezo yenu nadhan hapo ndo mumepika zaidi, mbona hamjajibu hoja za wagonjwa waliopelekwa wiki hii lakin daktari anakuja kumtembelea wiki ijayo? na kuna madaktari 52 bingwa zaidiWakati mwingine inabid tuelewe hospital ya rufaa ya taifa haziendi malaria na Uti, wagonjwa wenye terminal illness ni wengi lazima mortality itasoma high, tusilaumu sana.
Samsung A50