La Biblicana
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 556
- 343
Hospitali ya rufaa ni sehemu ya wagonjwa mahututi, sishangai wakifariki.
Sitegemei kusikia mtu kafiwa AAR, maana pale watu wanaenda na mafua, wakiwa na cancer wanaenda Muhimbili.
Sitegemei kusikia mtu kafiwa AAR, maana pale watu wanaenda na mafua, wakiwa na cancer wanaenda Muhimbili.