Hospitali ya Wilaya ya Hai, kumwambia Mama mjamzito anunue vifaa vya kujifungulia ni sahihi kweli au kawaida

Hospitali ya Wilaya ya Hai, kumwambia Mama mjamzito anunue vifaa vya kujifungulia ni sahihi kweli au kawaida

Sasa bahati mbaya afanyiwe operation si ndo utachanganyikiwa
 
Hospitals nyingi tuu hivyo vifaa wazazi wananunua. Mimi binafsi wanangu wote nimenunua package ya kujifungulia .
 
Wanasiasa wachonganishi sana wanatangaza huduma kwa mama mjamzito kuanzia clinic ni bure.
Mama mjamzito akianza clinic kwanza kabisa akatoe photocopy ya kadi then mambo mengi yaendelee.kupima VVU,fetalheart,umri wa mimba na mrdt hivyo bure kabisa.
Hb,mkoja wa kutambua protein na sukari,kaswende hivyo mama lazima na siyo chini ya elfu 15-20.
Bado siku ya kujifungua vifaa vichache wanaojifungua ni wengi hapo ndio unapokuja mtihani.Mwisho wa siku waganga na wauguzi wanatupiwa lawama.
 
Wife alijifungualia hospitali ya serkali Magunga kwa operation nililipa karibu lake nzima
 
Wanasiasa wachonganishi sana wanatangaza huduma kwa mama mjamzito kuanzia clinic ni bure.
Mama mjamzito akianza clinic kwanza kabisa akatoe photocopy ya kadi then mambo mengi yaendelee.kupima VVU,fetalheart,umri wa mimba na mrdt hivyo bure kabisa.
Hb,mkoja wa kutambua protein na sukari,kaswende hivyo mama lazima na siyo chini ya elfu 15-20.
Bado siku ya kujifungua vifaa vichache wanaojifungua ni wengi hapo ndio unapokuja mtihani.Mwisho wa siku waganga na wauguzi wanatupiwa lawama.
Na siku ya kujifungua ukitaka huduma nzuri pia shikisha nurse ata efu10 tena
 
Nimeshangaa na sijaelewa sera ya Serikali kwa kina Mama Wajawazito, tuliambiwa Mama mjamzito kujifungua ni bure ana hudumiwa, sasa Hospitali ya WIlaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Mama mjamzito anaambiwa akanunue Pamba ile kubwa, Gloves na akanunue Vidonge vya kuongeza damu na dawa zingine eti wao hawana kweli????

Wizara ya Afya chini ya Doroth Gwajima na Mollel mjitathmini mnapo simama majukwaani na kujinadi kwamba mnatoa huduma ya kina Mama wajawazito bure, nilicho kifanya mimi kwakuwa nilikuwa naelekea Arusha nikaambiwa kuwa mdada anajifungua ambaye ni ndugu nilimpa sh elf6 ya Pamba, Gloves elf 1, Dawa za kuongeza damu elf 4,000 nikaambiwa kwakuwa siku zake bado kidogo anunue dawa zimsaidie mtoto asitoke kabla siku hizo chache anasubiri dawa Hawana zinauzwa elf15 x 3 sasa nikampa hela akaenda kununua.

Hivi Serikali haya maneno yenu kuhusu huduma bure kwa wajawazito iko wapi, ni hapa Wilaya ya Hai tu au na kwingine. Sasa nakumbuka mnavyo jinadi mnasema mnalipa watu Pensheni huku mnakwepa kuzungumzia Mafao ya walio na mwaka hawajalipwa wakiwemo Askari Polisi. Tunako kwenda Mtakubali tu kwamba mmezidiwa sera hazifanyi tena kazi.
Wilaya ni kubwa. Hai sehemu gani ? Ili tufikishe ujumbe vizuri
 
ndio umegundua hili leo?? ni kote atajifungua bure lakini vifaa unanunua na havizidi 20,000 labda sehemu uliopo
Mke wangu laijifungua 2016, hatukununua chochote wala kulipia chochote.
 
Nchi jirani apo 🇰🇪 wanaposema huduma ya mama mjamzito na mtoto ni bure wanamaanisha! Yaan hata ufanyiwe operation private hospital ukiwa na ile Linda mama yao wao wanaiita, hutoi ata ten bob na haisumbui ata kumshika nurse mkono wala Dr na wako smart kiasi chake kwenye huduma
 
Bado nashangaa ni wapi huko? Mbona mm mke wangu alipojifungua hatykulipa chochote?
Naona inategemea na uongozi nafikiri....ziko mahali mjamzito akifanyiwa operation unalipa utafikiri private uchwara zile za gharama nafuu
 
Watoto wako wanaweza kuzaliwa marekani,lakini wewe mwenyewe ni masikini wa kutupwa,achilia mbali elimu kukupiga chenga maana hata kuandika tu mtihani............yaani umtie mimba mwanamke wako,serikali ije kukulipia?...acha ujinga basi
Shkamoo blaza[emoji850]
 
Ukiendekeza siasa hii nchi utakufa..
Kwa experience yangu hakuna huduma inayotolewewa bureee kabisa.. labda kupima HIV..

Ukiwa na mgonjwa hata kama ni mtoto wa miezi miwili. Andaa pesa yako ya kutosha tu kwa ajili ya matibabu la sivyo mwanao atakufa
 
Back
Top Bottom