simba road
Member
- Dec 29, 2015
- 63
- 67
Mbadala wa serikali unayotaka kuiangusha ni nini?Tanzania ingekuwa ni nchi ya watu tunaojielewa kwa kiasi kikubwa basi hili suala la NHIF lilitosha kabisa kuiangusha serikali.
Ni vyama hivi hivi vya upinzani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbadala wa serikali unayotaka kuiangusha ni nini?Tanzania ingekuwa ni nchi ya watu tunaojielewa kwa kiasi kikubwa basi hili suala la NHIF lilitosha kabisa kuiangusha serikali.
Ni aibu kuchelewesha malipo kwa wadau wa afya. Hii inazorotesha huduma katika vituo binafsi, ama NHIF wanataka hospitali binafsi zife ili wafungue wao!
Msife jamani, mkifa mfuko utakosa michango, michango ikikosekana tutashindwa kununua gari mpya ya mkurugenzi😬Afya za watanzania zinabishaniwa na watoa huduma na serikali. Tutakufa tu ili mubaki na pesa zetu tunazochangia huu mfuko
Umeuliza swali na kukujibu mwenyewe majibu sahihi kabisa.Hii ada ya kumuona daktari kwa kweli ingefaa ifutwe kabisa!!!
Kwani si ana mshahara, ama hiyo ada ndio inatumika kumlipa mshahara?
Kama vipi ingewekwa ada pia mzazi akitaka kuonana na mwalimu alipe, ukiingia ofisi yoyote lipia!!!
Wanasema bei za miaka Saba iliyopita.Muhimbili kumuona daktari ni 20,000/= tena NI bei ya zamani Sana, Mwaka 2016 nilikuwa namuuguza Mzee wangu.
Mbadala wa serikali unayotaka kuiangusha ni nini?
Ni vyama hivi hivi vya upinzani?
Huwezi kuikimbia mkuu ikiwa waajiriwa tunaunganishwa na mfuko bil ridhaa yetu,kama wamefirisika wajitoe au watuache wanachama tujichagulie mifuko ya kutuhudumiaSerikali ya CCM ilisha wahi kufanikisha jambo gani? Hi Bima lazima itakufa au itazorota tu hivo hivo mpaka raia waikimbie wenyewe.
Umeuliza swali na kukujibu mwenyewe majibu sahihi kabisa.
Mfano ukaenda bure , ila kichwa kinauma, miguu haina nguvu na joto liko juu ila akukuambia hauna shida yoyote nenda tu nyumbani utajisikiaje?Hii ada ya kumuona daktari kwa kweli ingefaa ifutwe kabisa!!!
Kwani si ana mshahara, ama hiyo ada ndio inatumika kumlipa mshahara?
Kama vipi ingewekwa ada pia mzazi akitaka kuonana na mwalimu alipe, ukiingia ofisi yoyote lipia!!!
Meshajibu hiyo pesa ndiyo hulipa mishahara n.k.Mfano ukaenda bure , ila kichwa kinauma, miguu haina nguvu na joto liko juu ila akukuambia hauna shida yoyote nenda tu nyumbani utajisikiaje?
Kwahiyo hiyo pesa ni Kwa ajili ya daktari kumweleza mgonjwa kinachomsumbua?Mfano ukaenda bure , ila kichwa kinauma, miguu haina nguvu na joto liko juu ila akukuambia hauna shida yoyote nenda tu nyumbani utajisikiaje?