Hospitali za private (binafsi) zatishia kutohudumia wagonjwa wanaotumia bima ya afya ya NHIF

Hizi hospital binafsi hawaongelei waliongezewa malipo ya ada kutoka elfu kumi na Tano 15000 Hadi elfu ishirini 20000 ambao ndo wengi hapa hili hawalioni tuache maneno wakati wa maboresho Mfuko ulihusisha wadau wote wakiwamo hao umoja wa wamiliki binafsi (APHTA )
 
Mfuko wa Bima ya Afya hawajakurupuka walikaa walipo Fanya maboresho ya kitita waliwashirikisha Wadau wote na waliangalia maeneo muhimu ikiwemo Ada ya Usajili na ushauri wa Daktari hapa ni kuweka usawa ada ya kumuona Daktari kwa kuzingatia taaluma wakaongeza kutoka elfu 15000 mpaka 20000 lakini huduma za dawa kukafanyika mabadiliko ya gharama kwa kuzingatia tafiti za Bei za huduma katika kinadi dawa cha MSD na maoni ya Wadau mfano Diclofenac 50mg ilikuwa 1300 lakini imefikia 1432 hili hawalioni kwa Kuna faida na ni dawa zote wao wanachongangania sijui ni kipi vituo binafsi bila shaka Kuna sehemu wameshikwa pabaya
 
Tunapozungumza kuwa hospital binafsi Kuna vitu wamevificha hawaviongelei na sijui ni kwanini sababu awali walikuwa wanavipigia kelele mfano kulikuwa na usumbufu kwa wanachama kunyimwa baadhi ya huduma kutokana na Bei ya kitita cha 2016 sasa limekuja suruhisho kitita Kipya kimeondoa usumbufu huo sasa Bei zote za dawa zimeainishwa kwenye Bei ya Soko lakini kupungua kwa Makato yasiyo ya lazima kutoka kitita cha 2023 sasa huku hakutakuwa hivi yaaaani Kila sehemu ni faida wanacholalamikia hawakisemi
 
Gharama uendeshaji ni kubwa Sana kwa vituo binafsi itafika stage wataanza kukwepa watu NHIF hizo dawa ndio wameongeza Kama huko kwenye hospital hamna wamezuia kwenye Maduka ile form 2c siku hiz hamna. Kuna usumbufu mwingi. Ndio maana baadhi ya hospital zimeanza kuwapa kipaumbele wenye kadi za bima za kampuni binafsi.
 
Ni wazo zuri hili. Dunia imebadilika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…