Cholo master
Member
- Feb 15, 2023
- 48
- 22
Gharama uendeshaji ni kubwa Sana kwa vituo binafsi itafika stage wataanza kukwepa watu NHIF hizo dawa ndio wameongeza Kama huko kwenye hospital hamna wamezuia kwenye Maduka ile form 2c siku hiz hamna. Kuna usumbufu mwingi. Ndio maana baadhi ya hospital zimeanza kuwapa kipaumbele wenye kadi za bima za kampuni binafsi.Tunalalamika bure na kuacha kuangalia vitu Muhimu mfano hai kuongezeka kwa jumla ya dawa 124 katika Orodha ya dawa Muhimu ya Taifa sio hivyo tu kuweka mbadala wa dawa 309 katika kitita cha Mafao huku kukijumuishwa dawa zenye nguvu na muundo wa upatikanaji wa dawa katika Soko haya vituo binafsi hawaoni ila wanaangalia tu sehemu Yao ya kupata faida haipo
Ni wazo zuri hili. Dunia imebadilika sana.nafikiri natitizo hapa ni kutumia makaratasi kitu ambacho kimepitwa na wakati lakini pia ni rahisi kupata taarifa zisizo na uhalisia (kuchakachua taarifa)
NHIF wanaweza kugawa vishikwambi vilivyounganishwa kwenye mfumo na watoa huduma wavinunue kwa bei ya huduma au basi watengeneze app ambayo kila Hospitali inakuwa na password yake ya kuingia na kuweka data (mbele ya mgonjwa); hata sijui wanakwama wapi?
ThubutuuuuuuuNHIF wapunguze V8