DOKEZO Hospitali za Serikali wanagoma kuwapa dawa wagonjwa wanaotumia bima za NHIF

DOKEZO Hospitali za Serikali wanagoma kuwapa dawa wagonjwa wanaotumia bima za NHIF

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Inashangaza kuona hela ya kwako, halafu unanyasika. Kama vipi watoe uhuru watu wajiunge kwenye huo mfuko wa bima ya afya kwa hiyari, halafu waone watu watakavyo jiondoa kwa idadi ya kushangaza.
 
Habari ndugu wana jamiiforums.com. Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Wilaya ya mkoa wa Kagera,
Ina maana kuna wilaya inaitwa mkoa wa Kagera?
 
Habari ndugu wana jamiiforums.com. Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Tuandikie ni dawa gani hizo walizogoma kukupa.
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Kwanza nianze kumshukuru Mama Samia kwa kunipa huu wasaha wa kuchangia hii mada!
Ukweli usemwe usemwe na nitaendelea kusema wazi kuwa Mwl Ummy Mwalimu ameharibu, ameleta janga kubwa sana kwenye sekta ya afya kabisa …hakujawai kutokea tatizo kubwa kama hili kwenye bima ya Afya hapa Tanzania…!Ummy Mwalimu ameleta msimba msiba kwenye sekta ya Afya kama Rais hatoingilia kati hili swala la bima ya Afya ni wazi mateso haya na hospitali na sekta ya afya itaenda kupata anguko kubwa sana!

Sasa wafanyakazi wa serikali hawana tofauti na watu wasio fanya kazi kwenye swala la bima ya Afya…. Uwezi kusema uanaboresha huduma ya bima kwa kupunguza bei za dawa na kuondoa dawa badala ya kuongeza huduma na kuongeza mapato!

Ukweli ni kwamba kama watu wangepewa hasa wafanyakazi wangepewa chaguo la kutumia NHIF au lah …… ni wazi hakuna angechagua NHIF kwa sasa …NHIF ilionesha mwanga sana na ilikuwa kimbilio la wengi lakini kwa sasa imekuwa janga tena janga kuu la wazawa!

Toka Ummy amepewa hii wizara ameharibu kila kona na ni wazi tunakokwenda tutakuwa na janga linaloitwa NHIF!
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Kutumia NHIF ni umasikini dadeki! Tafuta hela kata jubilee uache makasiriko ya ajabu mkuu
 
Sio serikalini tu hiyo issue ipo hata private pia
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
 
Kuna mbadala wa syringe na cotton wool hospitalini?

Ufafanuzi uliotolewa ni siasa tu kama mkeka wa mbadala upo si wautoe badala ya kupiga porojo
mkuu hilo la pamba na sindano, najua... ishu yangu ni hizo dawa mbadala wake..

kuna mkeka unaoainisha hayo?
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Mkifanya mzaha mtakufa kweli
 
Afrika na Wafrika katika maajabu.Sasa hapo ni wenyewe Kwa wenyewe tunashindwa kusimamiana sijuwi Kwa mgeni inakuwaje.
 
Serikali imesitisha huduma za NHIF kwa watoto kifurishi cha 50400 ,,

Kwa kwl wamefanya maamuzi ya hovyo ambayo hayajawahi kufanywa toka tanzania iumbwe..

Viongozi hawana huruma kwa watu wao wala hofu ya MUNGU...
-kitendo cha kueleza kwamba watoto watajiunga na bima ya afya ya NHIF kupitia mashuleni ni kichaka cha kujifichia lakini ukwl ni kwamba 90% ya shule za serikali hawana bima za NHIF..

Na hata hizo shule za private pia ni 10% tu ndy wenye bima,

Kama mtoto anaruhusiwa kujiunga na bima ya NHIF kupitia shule anayosoma kwa sh 50400/,,
Nini kinafanya serikali isitishe watoto kujiunga bila kupitia shuleni?sababu gharama atakazolipa shuleni ndy hizo hizo atakazolipa akiwa nje ya shule sh 50400/

Hata huko shuleni kuna kipengele cha watoto wakifika idadi ya 100 ndy wanaruhusiwa kujiunga na MHIF ,
Idadi hiyo ikiwa chini basi shule haina sifa ya kupata huduma ya NHIF..

Haya ni maamuzi ya hovyo ambayo hayajapata kutokea kwa watu wenye huruma na wanainchi wao..

Kama serikali umeamua kugeuza huduma ya afya kama chanzo cha mapato inapaswa ieleze wanainchi wake.
 
Huyu ndio kizimkazi hana muda na watanganyika.
 
Hali mbayaaa,nilienda hospital naumwa sana tumbo sikuhudumiwa na NHIF. Hivi hakuna namna naweza pata bima ya juu na hii nikasitisha makato? Ili nilipe tu ya malipo.Ila kwanza niachane na hii.

Siku hizi kwenda na NHIF hospital ni aibu!
 
Kuna baadhi ya dawa hazipo kwenye bima
Hivi umeelewa kweli? Kakwambia dawa ameandikiwa na Dr. akienda durisha la dawa anaambiwa dawa imeisha ila mgonjwa mwingine akienda na cash anauziwa
 
Back
Top Bottom