Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza na @ halafu weka jina kamili saveSijui jinsi ya ku mention mtu hapa....
👍👌👏👊🤝🙏🆒🛡️siku uoga ukiaisha ndio mtaanza kula meema ya hii nchi. Mbowe akisema tuandamane hata maandamaano ya amani hamtoki, kazi kuja kulia lia kwenye mitandao. Sikiliza hawa watawala sio wajinga walisha wasoma wakajua kwanza nyie ni waoga sana so haya yote wanayafanya wakiwa na ngao yao ambayo ni uoga wenu.
Wewe peke yakoTUTAMKUMBUKA
Mbona unalialia sasa si upambane upate hela ununue dawa🤣🤣🤣Wewe peke yako
Tayari limefanyiwa kazi, mbona la sukari limekwisha tutashindwaje hili!Tuitieni Mheshimiwa Dr Dorothy atupelekee hili huko juu.
Sasa umekuja kulalamika nini huku si heri ufe na mgonjwa wako kama hata kutaja hospitali unaogopa,unadhani wahusika watafikiwaje moja kwa moja?Unataka niandike kila kitu nijivue nguo na bado mgonjwa wangu yupo hoi kitandani kwao??
Kuwa serious mkuu!! Hospital za serikali za wilaya ni chache saana mkoa wa Kagera. So kama ni ifuatiliaji ni mwepesi kwa serikali. Nimeuliza na wilaya jirani wakanambia mwendo ni hulehule
TUTAMKUMBUKA
Tutaelewana tuHaya mambo yameibuka kwa kasi baada ya mwenda zake kutangulia
Karibu msibani bossSasa umekuja kulalamika nini huku si heri ufe na mgonjwa wako kama hata kutaja hospitali unaogopa,unadhani wahusika watafikiwaje moja kwa moja?
Asante