DOKEZO Hospitali za Serikali wanagoma kuwapa dawa wagonjwa wanaotumia bima za NHIF

DOKEZO Hospitali za Serikali wanagoma kuwapa dawa wagonjwa wanaotumia bima za NHIF

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Natafuta namna ya kutoka NHIF, anayejua procedures
 
Bei zimeshushwa mno hata ungekua ni wewe ungekaa, dawa inauzwa elf 4 maafisa mikopo wa NHIF wanataka itolewe na wailipie buku jero....hii si biashara kichaa
 
Kwa Sasa bima ni kikaratasi tu hakina msaada tena kama ilivyokuwa kifupi tunaishukuru serikali kwa hii mass assassin
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Hivyo ni kweli kabisa ukienda na bima kwenye government hospital hupati dawa,unaambiwa ukanunue..
 
Daktari hawezi kuandika dawa isiyokuepo kwenye bima katika karatasi ya bima
Yani daktari aandike dawa mfano paracetamol kwenye fomu ya bima!,halfu ukiipeleka pale pharmacy Wanakuambia dawa hamna,ila ambaye ameandikiwa dawa hiyo hiyo lakini kama amelipia cash dawa anaambiwa ipo?
 
Mauaji ya sharubela🔥
Sijajua lini tutaamka hata tujue kudai maji TU ya kunywa imagine hiki kilichofanyika ni hatari mno hela inaendelea kukatwa huduma pekee utapewa na bima ni kumuona daktari na Diclofenac Kisha unaona mtu anaongelea mafanikio ya awamu ya Sita 🤔🤔🤔🤔anyway tuendelee kuishi
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Kama wanagoma twende hospitali binafsi wakuu. Mm sikumbuki kwa mara ya mwisho ni llini nilitibiwa kwenye hopsitali ya serikali
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Halafu kuna wapumbavu humu walikuwa wanapiga propaganda za kipuuzi kwamba hospitali binafsi zilikuwa zinafanya fraud na kuwa wamebanwa ndio maana hawatoi huduma kwa wenye kadi za NHIF .
Pumbavu , mfuko umefirisika huo .
Hawana pesa za kuwalipa watoa huduma ,let alone hata kuhudumia matibabu huko hospitali za serikali .
NHIF ni takataka kama zilivyo taasisi nyingi za serikali .
 
Hukuuona ule mkeka wa dawa zilizoondolewa kwenye vitita vya NHIF?

Dawa zipo ila hazipo kwenye vitita vya NHIF ndiyo maana wa kulipia wanapewa.
Sasa ina maana gani kuwa na Bima ya afya ya NHIF ?
Si bora iwe hiyari ? ,Hasa kwa wafanyakazi wanaolazimishwa kuwa na Bima ?
 
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Yule mdada katili kuliko wote Tz kwa sasa anasemaje kuhusu hili? Au yupo kwenye mazungumzo na wamiliki wa Hospitali za serikali?

Nchi hii inajali maokoto kuliko delivery
 

Attachments

  • 20240328_185522.jpg
    20240328_185522.jpg
    51.1 KB · Views: 4
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Kwani mkipewa dawa hamtakufa wote? Ni suala la muda tu

Natanguliza samahani kwa maneno hapo juu Mkuu, ni kweli Serikali inapaswa kuhakikisha huduma inapatikana kwa watumiaji wa huduma ya NHIF wanaostahili, hususan Watumishi wa Umma wanaokatwa pesa kila mwezi
 
Acha tuendelee kukata mauno tu
Kushabikia usimba na yanga hicho ndicho kilichobaki

Ova
 
Back
Top Bottom