Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kutangaza ni sawa ila ikija kuwa hospitali bogus baadae wasijifiche maana tumeona hospitali nyingi majengo mapya ila waganga hakuna wengine hata kusoma vipimo shida na wengine walifukuzwa serikalini kwa ulevi wameenda private
Ila kama watafanya vizuri well and good
Ila kama watafanya vizuri well and good