Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kuna watu kukausha na kujifunza hawawezi. Lazima either wabishe au wasupport chochote.Thread kama hizi ukisoma comments ndio utajua upeo wa Watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu kukausha na kujifunza hawawezi. Lazima either wabishe au wasupport chochote.Thread kama hizi ukisoma comments ndio utajua upeo wa Watanzania.
Yaani wewe unaita Muhimbili uchafu kulinganisha na Aga Khan? Aga Khan hii ya Obama Avenue au ya India?Kama upo dar nenda Aghakan hospital , harafu ulinganishe na uchafu wa mloganzila au Muhimbili,
Shilole anajuaJina la hii clinic tafadhali
Hospitali zinazotangaza zinachuria watu waumwe na wazidiwe ili zipate wagonjwa.SADHaya mahospitali ni mabalaa na mikosi tu, yanafaa yakose wagonjwa, ugonjwa ni hali mbaya kiafya kwa mtu ni karibu na kifo. Sasa nani anataka kufa?
tusiwe na polisi maana hatuna wahalifu, tusiwe na walinzi maana hakuna wezi.Hata magereza nazo zinatakiwa zikose wafungwa. Mahakama zikose washitakiwa, mahakimu, majaji, polisi na askari magereza waendelee kulipwa bure. Magereza ziwe tupu asiwepo wa kushitakiwa na kufungwa gerezani