Hospitali zituheshimu wateja, mnatuibia sana

Hospitali zituheshimu wateja, mnatuibia sana

Na ndio maana siku hizi kuna resistance ya antibiotics nyingi sana sababu kuu ndio hiyo ya kumpa mtu dawa kama unampa pipi upuuzi mwingi sana unafanyika kwenye hizi hospital za private,usiombwe ulazwe Sasa hiyo bei utakayopigwa utabaki umeduwaa
 
Zamani bi mdogo alinambia ukitaka huduma bora nenda hospital ya umma(labda kwa sababu ni mtumishi huko), by then sikumuelewa mpaka nilipoingia kwenye hizi fields
Sema sasa “quality” ni general term kila mtu anaitafsiri kwa maono yake
 
Na ndio maana siku hizi kuna resistance ya antibiotics nyingi sana sababu kuu ndio hiyo ya kumpa mtu dawa kama unampa pipi upuuzi mwingi sana unafanyika kwenye hizi hospital za private,usiombwe ulazwe Sasa hiyo bei utakayopigwa utabaki umeduwaa
Kuna nyingine ipo Mikocheni iyo kumuona docta ni elfu 25,kulazwa kwa siku elfu 50......kazi iendelee
 
Watu wa wakala wa vipimo ( Weight and measures agency) wafanye ukaguzi wa kustukiza kwenye vifaa vya kupimia mahospitalini. Kuna hospitali nilienda kipimo kinaonyesha damu imepungua sana, bahati nzuri daktari akatumia uzoefu wa clinical observation na kugundua kipimo kimedanganya. Akakataa kukubaliana na majibu. Hiyo ni kwenye damu, ni mangapi vipimo hivi vinatusingizia tuna malaria, uti, kichocho, gono, ukimwi, covid 19 na magonjwa mengine kama hayo?

Hospitali havifanyi validation na calibration ya vipimo vyao kwa wakati na hii ni hatari kwa afya za watanzania.
Kwani wakala Wa Vipimo hushughulika pia kwenye calibration za vipimio vya Mahospitali? Siyo Mauzito na maujazo pekee?
 
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.

Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.

Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=

HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
Duuuh,Wauaji sana hao
 
Wewe unataka kumuona specialist kwa elfu 1000? Labda clinical assistant
Kwani specialist nini bwana, mimi ni specialist lakini hata bure unaweza kuniona..............unakuwa specialist ili uwahudumie watu kwa maarifa ya kiwango cha juu siyo ulipwe pesa nyingi. Haya mambo ndo yanafanya watu wanashindwa kuhimili gharama za matibabu hospitali wanakimbilia kwenye miti shamba. Kwa case ya huyu mleta mada yeye tayari ameshalipia kumwona daktari na vipimo nk. iweje apigwe tena cha juu kwenye dawa? acheni ku complicate mambo utafirkiri nyinyi hamtaugua wala kufa......
 
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.

Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.

Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=

HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
Nakwambia mimi hapa ndipo nilijua umuhimu wa BIMA. siku hizi ukiwa na BIMA hata gharama huonyeshwi wewe mwisho unasign kwa digital pen unasepa.
 
Ukihudumiwa kwa bima Bei inashuka kidogo?

Ishu sio bima Bali kwanini wanafanya huu udhalimu wa kuweka magharama makubwa tofauti na uhalisia,

Yaani wanafurahia kuumwa kwako ili wakupige,

Kuna ki dispensary kimoja kipo sinza karibu na mlimani city,ukienda kufanya vipimo doctor (ndio mmiliki) anakuambia ungechelewa kidogo tulikuwa tunakupoteza yaani Figo zako zinaelekea kufeli,au anakuambia una UTI Kali kiasi Cha kwamba kizazi chako kipo hatarini.

Ukishatetemeshwa ndio anakupiga kwenye gharama za matibabu..

Hospital nyingi binafsi siku hz zimeendekeza njaa
Sasa hapo mbona ndio unaongezewa ugonjwa baadala ya kutibiwa
 
Kwani wakala Wa Vipimo hushughulika pia kwenye calibration za vipimio vya Mahospitali? Siyo Mauzito na maujazo pekee?
Kama hawafiki huko hao mawakala basi kuna tatizo. Hilo eneo siyo la kuachwa kujiendesha lenyewe hata kidogo.
 
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.

Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.

Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=

HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
Kuna siku dogo tumempeleka akapimwa malaria , sasa tulipoenda kuchukua majibu Dr akatuandikia dawa, nikamuuliza hii dawa ya nn na hii ya nn? Akasema hii ya malaria, ya maumivu na hii ya UTI nikashtuka kwani huyu si kapimwa malaria tu !!! Nikamuuliza hii UTI imetoka wap na hamjapima mkojo? Akasema sorry nimekosea hapa dah hawa jamaa wapo kibiashara tu..

Kuna kipindi dengue illizingua sana watu mwaka juz kama sikosei, mimi ni miongoni mwa wagonjwa wa mwanzo kabisa tena vipimo vya dengue vilikuwepo hospital baadh kama muhimbili na hospital binafsi chache tu zile kubwa, sasa mimi niliumwa sana nikazidiwa nikapelekwa hospital fulan kufika pale nikapimwa vipimo vyote wakasema UTI kali sana na malaria ila mimi nililazwa walionipeleka ndo waliambiwa hivo, sasa nikalazwa pale mpka saa 4 usiku nikaona na nafuu kidogo wakaniruhusu wakasema natakiwa Sindano 5 nirudi asubui.

Kesho nikarud kuchoma ila bado naumwa tu , baada ya siku mbili nilizidiwa zaidi,, tukasema twende hospital nyingine tukaenda kkoo kuna hospital fulan ya waarabu magomen , tukaeleza pale wakatuomba ile karatasi ya kule nilipotoka wakaangalia nikafanyiwa vipimo tena, wakasema nilichoandikiwa pale nitofauti na ninachoumwa, ugonjwa unaniosumbua ni dengue!!!

Wakasema hospital zenye vipimo vya dengue ni chache sana kwahyo watu wengi wanaumwa ila wakienda hospital hivo vipimo havipo wanaambiwa tu una malaria au UTI, kulikua na wagonjwa wengi sana pale wa dengue wanapokezana vitanda, ule ugonjwa hauna dawa wanachofanya wanakuwekea tu drip 2 asubui na jion 2 kama siku 5 unakuwa fresh, yaan kuanzia hapo hospital za kijnga huwa siendi kabisa, mtu unachomwa sindano za UTI alafu haumwi UTI
 
Kuna siku dogo tumempeleka akapimwa malaria , sasa tulipoenda kuchukua majibu Dr akatuandikia dawa, nikamuuliza hii dawa ya nn na hii ya nn? Akasema hii ya malaria, ya maumivu na hii ya UTI nikashtuka kwani huyu si kapimwa malaria tu !!! Nikamuuliza hii UTI imetoka wap na hamjapima mkojo? Akasema sorry nimekosea hapa dah hawa jamaa wapo kibiashara tu..

Kuna kipindi dengue illizingua sana watu mwaka juz kama sikosei, mimi ni miongoni mwa wagonjwa wa mwanzo kabisa tena vipimo vya dengue vilikuwepo hospital baadh kama muhimbili na hospital binafsi chache tu zile kubwa, sasa mimi niliumwa sana nikazidiwa nikapelekwa hospital fulan kufika pale nikapimwa vipimo vyote wakasema UTI kali sana na malaria ila mimi nililazwa walionipeleka ndo waliambiwa hivo, sasa nikalazwa pale mpka saa 4 usiku nikaona na nafuu kidogo wakaniruhusu wakasema natakiwa Sindano 5 nirudi asubui.

Kesho nikarud kuchoma ila bado naumwa tu , baada ya siku mbili nilizidiwa zaidi,, tukasema twende hospital nyingine tukaenda kkoo kuna hospital fulan ya waarabu magomen , tukaeleza pale wakatuomba ile karatasi ya kule nilipotoka wakaangalia nikafanyiwa vipimo tena, wakasema nilichoandikiwa pale nitofauti na ninachoumwa, ugonjwa unaniosumbua ni dengue!!!

Wakasema hospital zenye vipimo vya dengue ni chache sana kwahyo watu wengi wanaumwa ila wakienda hospital hivo vipimo havipo wanaambiwa tu una malaria au UTI, kulikua na wagonjwa wengi sana pale wa dengue wanapokezana vitanda, ule ugonjwa hauna dawa wanachofanya wanakuwekea tu drip 2 asubui na jion 2 kama siku 5 unakuwa fresh, yaan kuanzia hapo hospital za kijnga huwa siendi kabisa, mtu unachomwa sindano za UTI alafu haumwi UTI
Sasa si wanaweza kukuua hawa, bahati nzuri uliwahi kuhama ungebaki hali ingezidi kuwa mbaya
 
Back
Top Bottom