Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Hapana mkuuWewe ni CO nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuuWewe ni CO nini
Hiyo ni kitengule[emoji38]nahisi jina lake mwisho lina e
duh.hiv mzee yupo pale bado?Ukihudumiwa kwa bima Bei inashuka kidogo?
Ishu sio bima Bali kwanini wanafanya huu udhalimu wa kuweka magharama makubwa tofauti na uhalisia,
Yaani wanafurahia kuumwa kwako ili wakupige,
Kuna ki dispensary kimoja kipo sinza karibu na mlimani city,ukienda kufanya vipimo doctor (ndio mmiliki) anakuambia ungechelewa kidogo tulikuwa tunakupoteza yaani Figo zako zinaelekea kufeli,au anakuambia una UTI Kali kiasi Cha kwamba kizazi chako kipo hatarini.
Ukishatetemeshwa ndio anakupiga kwenye gharama za matibabu..
Hospital nyingi binafsi siku hz zimeendekeza njaa
Jana nimepigwa 47,000/= Agakhan Polyclinic, ikiwa katika mnyumbuliko huu.Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.
Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.
Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=
HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
Sijaelewa hapa kwenye kumuona Daktari 46000/-Jana nimepigwa 47,000/= Agakhan Polyclinic, ikiwa katika mnyumbuliko huu.
Kusajiliwa 1,000/=
Kumuona Dk 46,000/=
Mungu aendelee kutuponya
hv mm ndo kilaza sana au mbona hii ua super specialist ndo naisikia leo jamn?? Kumbe kuna specialist na super specialist ?Huo uspecialist wako labda uwe katika hospital yako binafsi ndio unaweza kuonana bure na wagonjwa,lakini ukiwa umeajiriwa hauwezi kuonana na wagonjwa bure tu unalipwa mil 3 halafu uonane na wagonjwa bure tu?
Private Hospital zote consultation fee ya kuonana na specialist ,super specialist sio chini ya elfu 50 hutaki kutoa pesa nenda ukaonane bure na Clinical officers
Hapo ni kumuona Dk kwenda kumueleza shida yako, endapo kama atahitaji kutumia vipimo vya maabara ili kubaini tatizo itahitaji ulipie vipimo hivyo vya maabara.Sijaelewa hapa kwenye kumuona Daktari 46000/-
Au unamaanisha ni pamoja na Vipimo na Dawa??
Wakat mwingine muwe mnawa challenge hao ma dr mkuu, haiwezekani niwe nakohoa tu unaniambia nipime mkojo na malaria.Kuna hospitali wanaitwa wauguzi wanaulizwa mbn dawa hizi na hizi hamziandiki zimejaa store tu. Kuna siku et jamaa kaandikisha cheti wanapigiana simu huyo anapesa fanya kweli. Hivi hii ethic kweli?.
Mtu unaenda unasema unaumwa kifua unaambiwa upime UTI na Malaria, hujasema unaumwa kichwa wala kupandisha homa.
Kuna dogo nilimpeleka hospital ana vipele mwilini, but aliambiwa apime UTI na Malaria.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Dohhhh..... Pole sana. Mbona inakuwa too much.... Dohhhh..... !!Hapo ni kumuona Dk kwenda kumueleza shida yako, endapo kama atahitaji kutumia vipimo vya maabara ili kubaini tatizo itahitaji ulipie vipimo hivyo vya maabara.
Dawa ukiandikiwa utalipia tena gharama yake
Yes.... Huwa kuna Super Specialists.... Ni sahihi.hv mm ndo kilaza sana au mbona hii ua super specialist ndo naisikia leo jamn?? Kumbe kuna specialist na super specialist ?
Na ukute hayo maradhi walokwambia wala Huna na wala hukutakiwa kuchoma hayo masindano. Yaani tunakamuliwa Fedha then tunauliwa.Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.
Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.
Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=
HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
Yaani wamefanya kamtaji ukiwa na cash tabu kwenye Bima nao wanapiga juzi nimemaliza kusikilizwa na daktari napewa nisaini zile karatasi zao nawauliza hizi nasaini baada ya kumaliza matibabu na kuchukua dawa iweje nipewe now? tukabishana kidogo nikaona nisaini nafika pharmacy dawa kama tatu hazimo na nimeshazisaini nikawarudia wazitoe wakagoma ili kuepusha shari nikaacha lipite tu since my 1st twin alikuwa ana homa ila kuna baadhi wanaiba huko Bima pia.Ndipo umuhimu wa bima ya afya huonekana
Ndipo umuhimu wa bima ya afya huonekana
Kairuki haipo tegeta blooHahahaaha kairuki
Ana Master(Ndio Uspecialist unaanzia hapa).Dohhhh..... Pole sana. Mbona inakuwa too much.... Dohhhh..... !!
Alikuwa ni Specialist au ni General Practitioner??
Hawakukuandikia fomu nyingine ya kupata hizo dawa kwenye Pharmacy ya Bima mtaani?Yaani wamefanya kamtaji ukiwa na cash tabu kwenye Bima nao wanapiga juzi nimemaliza kusikilizwa na daktari napewa nisaini zile karatasi zao nawauliza hizi nasaini baada ya kumaliza matibabu na kuchukua dawa iweje nipewe now? tukabishana kidogo nikaona nisaini nafika pharmacy dawa kama tatu hazimo na nimeshazisaini nikawarudia wazitoe wakagoma ili kuepusha shari nikaacha lipite tu since my 1st twin alikuwa ana homa ila kuna baadhi wanaiba huko Bima pia.