Hospitali zituheshimu wateja, mnatuibia sana

Pia wana tabia ya kukurundikia madawa yani mtoto Ana homa tu nilirundikiwa mada mapaka basi .... nyumbanikwangu kumegeuka pharmacy ndogo
Hii ni kawaida aisee. Unapewa dawa kibaaao especially anti-biotics na madawa ya kifua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Halafu kuna hii tabia ya kurundikiana dawa, unakuta unapewa pain killer aina mbili tofauti, antibiotics aina tatu tofauti na dawa ya malaria hapo unaumwa malaria tu.
Wengine wanakucharge dawa za wiki halafu ukienda pharmacy unapewa dawa za siku tatu tu. Nilishapotezaga imani na hizi zahanati binafsi.

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Nilienda kituo binafsi nikapatwa nina U.T.I. Kwenda kwa daktari akanambia ni kali sana ilipofikia na vitisho juu, akaniandikia Azuma. Nilipoenda dirisha la dawa wakataka hela nikawaambia si nina bima wwkanirudisha kwa daktari. Daktari akafuta Azuma akaandika dawa nyingine.

Mwenyewe nilishangaa, Azuma si naisoma JF kuwa ni kali sasa inakuaje mimi naumwa mgongo na uchovu ndio nipewe hii. Nilipeleka karatasi ya vipimo kwa brother wangu graduate wa udaktari akanambia vipimo havioneshi kiwango cha kuhitajika Azuma
 
Unaijua synergistic na additive effect?
Kabla haujapewa dawa jaribu kuuliza maswali kwa mtoa huduma wa afya
 
Ukigundua hili.... Take time kumchallenge anayekurundikia madawa yote hayo.
 
Naifahamu.
Kuan situation hicho kitu hakihitajiki na hizo dawa zinatolewa ili mradi tu. Binafsi sio professional yangu hiyo but nimezungukwa na watu wa kwenye hiyo kada. Dawa nyingi zinatolewa kwa business na sio ukubwa wa tatizo.

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hospital ipo mbezi kwa msuguri,
Mwanangu wa kike alilazwa siku 2 bili ikaja 670000,
Mm nilikuwa na kidonda nikaenda kufanyiwa dressing na dawa tu bili ikaja 135000, mpaka leo sina hamu nao hata kama nalipa kwa Bima
 
Ukigundua hili.... Take time kumchallenge anayekurundikia madawa yote hayo.
Kuna hospitali wanaitwa wauguzi wanaulizwa mbn dawa hizi na hizi hamziandiki zimejaa store tu. Kuna siku et jamaa kaandikisha cheti wanapigiana simu huyo anapesa fanya kweli. Hivi hii ethic kweli?.
Mtu unaenda unasema unaumwa kifua unaambiwa upime UTI na Malaria, hujasema unaumwa kichwa wala kupandisha homa.
Kuna dogo nilimpeleka hospital ana vipele mwilini, but aliambiwa apime UTI na Malaria.

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Unaijua synergistic na additive effect?
Kabla haujapewa dawa jaribu kuuliza maswali kwa mtoa huduma wa afya
Ukimkuta clinical officer utamharibia siku kabisa kwa kumuuliza hilo swali litakalo mpiga K.O kikatili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…