Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
hahaha tangu nianze kusikia unaitwa mama kijacho ni mwaka sasa hiyo mimba tuifanyie na birthday lol ujumbe wako uwafikie single moms wote pamoja na wadada ambao bado tupo tupo tuwe care
5.Wanaume wa JF unawachukuliaje?
Mbona hawakubaliki na kuheshimika
na wadada wa jf hadharani?
hawakubaliki kitandani au??
Hao ambao hawawakubali wanaume wa JF wana yao mambo...
kwangu nawaona they are smart dudes.., michango yao very productive.. ni msaada kimawazo. Nimejifunza mengi toka kwao tangu nijiunge JF kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi wapo ambao wanachosha mambo yao ila number ni chache ukilinganisha na wale wenye kujielewa.. Me I LOVE THEM.