Hot talk na Heaven on Earth live

Hot talk na Heaven on Earth live

hahaha tangu nianze kusikia unaitwa mama kijacho ni mwaka sasa hiyo mimba tuifanyie na birthday lol ujumbe wako uwafikie single moms wote pamoja na wadada ambao bado tupo tupo tuwe care
5.Wanaume wa JF unawachukuliaje?
Mbona hawakubaliki na kuheshimika
na wadada wa jf hadharani?

hawakubaliki kitandani au??
Hao ambao hawawakubali wanaume wa JF wana yao mambo...

kwangu nawaona they are smart dudes.., michango yao very productive.. ni msaada kimawazo. Nimejifunza mengi toka kwao tangu nijiunge JF kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi wapo ambao wanachosha mambo yao ila number ni chache ukilinganisha na wale wenye kujielewa.. Me I LOVE THEM.
 
agreed............
6.Nini kinapelekea uamue huyu
papuchi anapata huyu hapati? Vigezo
gani unatumia!
 
agreed............
6.Nini kinapelekea uamue huyu
papuchi anapata huyu hapati? Vigezo
gani unatumia!

Mmh hili swali sijui ni gumu ama sijaelewa...

Mie swala la ngono au kugawa papuchi nalichukilia very serious maana kuna kijana nilienda kumtembelea nikakuta keshaandaa kondom eti tufanye I was like what??? hadi leo sijui yuko wapi. Huwa naogopa sana aisee papuchi sio karanga kusema unampa kila mtu aonje mie mpenzi..................................................................................................

Nashindwa kuendelea kujibu naona kama sijaelewa we can skip this tuendelee na jingine
 
ok tuliache hewaniiiiii
7. How do you handle issue ya
kuachana? Roho ina kuuma? Una
bembeleza? Au?
 
Mmh hili swali sijui ni gumu ama sijaelewa...

Mie swala la ngono au kugawa papuchi nalichukilia very serious maana kuna kijana nilienda kumtembelea nikakuta keshaandaa kondom eti tufanye I was like what??? hadi leo sijui yuko wapi. Huwa naogopa sana aisee papuchi sio karanga kusema unampa kila mtu aonje mie mpenzi..................................................................................................

Nashindwa kuendelea kujibu naona kama sijaelewa we can skip this tuendelee na jingine

SR MARIA TERESAAAAAA UMETISHJE! Weraaaaaaaaaaaaaaaaa! HALLELUJAAAAAAAAAAAAAH! PRAISE THE LORD! Leo democrats woteeee tupo mstari wa mbele kuitikia pambio, WENGINE WANAIMBISHA KWAYA KABISAAA, KUBWA LA MAADUI NAJIANDAA KUSOMA NENO! Full maupakoooo! HALLELUJAAAAAAHHHH! Can i get a big AMEN?
 
Mmh hili swali sijui ni gumu ama sijaelewa...

Mie swala la ngono au kugawa papuchi nalichukilia very serious maana kuna kijana nilienda kumtembelea nikakuta keshaandaa kondom eti tufanye I was like what??? hadi leo sijui yuko wapi. Huwa naogopa sana aisee papuchi sio karanga kusema unampa kila mtu aonje mie mpenzi..................................................................................................

Nashindwa kuendelea kujibu naona kama sijaelewa we can skip this tuendelee na jingine

Nimelipenda jibu lako
 
Nilikua kwa siasa sasa am back twende kazi miss neddy.
 
Back
Top Bottom