Hotel aliyofikia Lema jijini Dar es Salaam yazingirwa na Polisi, alikuwa aongee na Wanahabari

Dunia ya teknolojia hii kurekodi dukuduku lako hakuna ulazima wa kuita waandishi wa habari mbunge anashindwa kuwa na kamera? Ajirekodi hata kwa kamera ya simu avitumie mzigo hivyo vyombo vya habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli polisi hawana mambo mengine ya kufanya zaidi ya kudeal na chadema tu kila
siku, inaboa kishenzi yaani
Ili polisi apande cheo njia rahisi ni kuishambulia chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…