Hotel aliyofikia Lema jijini Dar es Salaam yazingirwa na Polisi, alikuwa aongee na Wanahabari

Hotel aliyofikia Lema jijini Dar es Salaam yazingirwa na Polisi, alikuwa aongee na Wanahabari

CCM wanashida aisee...Huku wanadili na Corona Kule wanadili na CHADEMA..?

Ndio maana Rais anachoka aisee!
Mkuu Rais hachoki na haya mambo kwasababu ana roho ya kikatili kaa chinjachinja..

Yeye ndio anaetoa maagizo ya mabaya yote wanayofanyiwa CHADEMA..

Kama sio yeye anayeagiza, tungemuona akikemea vitendo hivi vya kinyama.
 
Wananchi sisi ndio wwenye maamuzi tuweke serikali ya aina ngapi, tunahaja Kweli ya kuweka serikali ifanyao mambo ya utoto utoto Kwa karne hii Kweli. Kwann tusiweke serikali itakayo pambana Na matatizo makuu ya nchi mfano wasiojulikana, ajira,Kilimo, diplomasia.Yaani kutwa kucha inapambana Na chama kisicho hata Na ofisi
 
Sababu zinajulikana na DPP keshasema walikiwa wanatafakari kauli zake za uvunjifu wa amani. Msidanganye watu. Mnatengeneza mavurugu nyie wenyewe yabebeni na familia zenu. Bado makengeza wenu.
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP

Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.

======

Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.

Makene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi CHADEMA wabadilishe utaratibu kuhusu kuzungumza na Vyombo vya Habari.

Waanzishe Kitengo Maalumu kitakachokuwa na kazi ya kurekodi SAUTI na VIDEO za Mikutano yote ya Chama na wapakie YouTube huko.

Media house zikafuate information huko.

Ila kwa mwendo huu, watahengwa sana na Serikali hii ambayo haipendi free-speech za kisiasa.
Wafanye siasa za kwenye mitandao huku hakuna intelligence ya polisi, mitandao INA nguvu
 
Inabidi CHADEMA wabadilishe utaratibu kuhusu kuzungumza na Vyombo vya Habari.

Waanzishe Kitengo Maalumu kitakachokuwa na kazi ya kurekodi SAUTI na VIDEO za Mikutano yote ya Chama na wapakie YouTube huko.

Media house zikafuate information huko.

Ila kwa mwendo huu, watahengwa sana na Serikali hii ambayo haipendi free-speech za kisiasa.
Wafanye siasa za kwenye mitandao huku hakuna intelligence ya polisi, mitandao INA nguvu
 
Inabidi CHADEMA wabadilishe utaratibu kuhusu kuzungumza na Vyombo vya Habari.

Waanzishe Kitengo Maalumu kitakachokuwa na kazi ya kurekodi SAUTI na VIDEO za Mikutano yote ya Chama na wapakie YouTube huko.

Media house zikafuate information huko.

Ila kwa mwendo huu, watahengwa sana na Serikali hii ambayo haipendi free-speech za kisiasa.
Wafanye siasa za kwenye mitandao huku hakuna intelligence ya polisi, mitandao INA nguvu
 
Upumbavu na ujinga ila wacha yatimie tu Mungu ana makusudio makubwa na yanayendele akija kujibu tusilaumiane tena.
Mungu anayo makusudi kumleta jiwe ili chama chakavu kife yote haya hayana budi kutimia.
Tuyaonapo haya yatupaswa tujue mwisho umefika
 
Sifa kuu ya dikteta yeyeto ni uoga utumia uoga wa wananchi kuwatala.
Hakuna dikteta yeyeto anayeweza simama mwenyewe bila dola.
 
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP

Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.

======

Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.

Makene
Lema ni common figure. Ni mtu na heshima zake na ni mtu maarufu na mwakilishi halali wa wananchi.
Hivi huwa vyombo vya usalama mna kuwa na shida gani kumpigia simu awafuate kituoni?
Kwenda kulala kwenye magari kumsubiri mtu aamke mumshike na kumdhalilisha ndio tecknic pekee mliyo ona ina faa au ndio mwisho wa fikra zenu?? Naona kama ukamataji wenu bado ni wakizamani sana.
Sasa ona kawa aibisha nyie mko nje huku taarifa zinaeleza jamaa hayupo hotelini ameondoka na kawaachia manyoya. Ni aibu kwa vyombo vya usalama. Mbona RCO Arusha alimpigia simu na alikwenda kuripoti wakampeleka Singida?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kuna chama kila siku wao wanatamani iwe maandamano na mikutano ya hadhala tu! Maana jana Mbowe kaongea na waandishi wa habari, leo Lema anataka kuongea na waandishi ya kila mtu kule ni pres tu! Jamani.. Mmezidi kwakweli
 
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP

Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.

======

Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.

Makene
CCM hawana mapenzi na watanzania kabisa iamue moja kuendelea ku deal na CHADEMA au corona,yaani kwao ni bora watuwafe na corona lakini chadema itokomezwe
 
Hii nguvu kubwa ielekezwe kwenye essential preventive measures to combat the spread of COVID-19, Cholera na Ebola.
 
Japo ukabira sio mzuri ila kuna makabira mengine hayafai kuongoza nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nyerere alionya hatukusia.Pia hata ukiisoma Colonial education utakuta yapo makabila hakuyapa elimu alijua ni kupoteza resources ni hasara kuyaendeleza hayaelimiki sababu ni wazuri Kwa matumizi ya nguvu Na sio akili thus aliyatumia kulima Mashamba ya mkonge Na karafuu Na ukuli bandarini Fanya hata research utagundua ni kwann ni jamii zilezile penye kuhitaji kutumia reasoning wao wanatumia nguvu.
 
Lema ni common figure. Ni mtu na heshima zake na ni mtu maarufu na mwakilishi halali wa wananchi.
Hivi huwa vyombo vya usalama mna kuwa na shida gani kumpigia simu awafuate kituoni?
Kwenda kulala kwenye magari kumsubiri mtu aamke mumshike na kumdhalilisha ndio tecknic pekee mliyo ona ina faa au ndio mwisho wa fikra zenu?? Naona kama ukamataji wenu bado ni wakizamani sana.
Sasa ona kawa aibisha nyie mko nje huku taarifa zinaeleza jamaa hayupo hotelini ameaha waachia manyoya. Ni aibu kwa vyombo vya usalama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawatoroka yafaa watumbuliwe sasa,Kazi zingine kabla ujaajiriwa lzm urogwe kwanza
 
Back
Top Bottom