Hotel aliyofikia Lema jijini Dar es Salaam yazingirwa na Polisi, alikuwa aongee na Wanahabari

Hotel aliyofikia Lema jijini Dar es Salaam yazingirwa na Polisi, alikuwa aongee na Wanahabari

Auto Pilot,wakiona vimezidi wanakimbilia kutumbua na kubambikia kesi ili wawapoteze maboya.Haya ni maajabu ya dunia.
Nilimwona Mzee Baba akiwafundisha Wahandisi uhandisi wa field. Je,hiyo nayo ipo kwenye job description yake au ana overlap?
Faraja limesombwa na mafuriko(natural disaster) unatumbua wahandisi?Aliyejenga hilo faraja hakuchaukua muda wake kujirishisha kama ni ideal kwa eneo husika?Kwenye initial feasibility studies huwa wanaangalia mambo gani?
Tunatia aibu,ndiyo maana Sisi kusonga mbele itatuchukua Marne kadhaa kama hii ndiyo aina ya viongozi tunaowaweka kuamua kwa niaba yetu.
Ukiona hivyo ujue injinia walimsingizia ni chadema ukitaka upotee utawala huu usiombe usingiziwe wewe ni chadema
 
kuna mwaka walienda nyumbani kwake, akapita mlango wa nyuma na kusepaaaa...ivi hoteli zetu huwa zina mlango wa akiba wa kutokomea kusikojulikana?
Kwa mujibu wa Kubwa jinga Le mutuz na cyprian Musiba ambao ndiyo walitoa taarifa kuwa Lema yupo hapo Mikocheni hoteli, wanadai Safari hii akikamatwa watamdunga sindano ya ebola na corona iliyochanganywa na ukimwi akafie mbele, wameandaa mtu wa kufanya yote hayo
 
Wanajitahidi sana,wanashindana na ukweli kwa kutenda yasiyofaa.
Wanatengeneza breaking news nyingi ili watu wasikumbuke kuwa Tanzania ndiyo Taifa pekee Duniani kwa sasa linapokea Ndege za toka china hata zinazotoka kijijini china na hakuna wa kuthubutu kumhoji mchina, idadi ya wagonjwa ni kubwa lakini waziri kamtangaza mmoja kwa mbinde
 
Auto Pilot,wakiona vimezidi wanakimbilia kutumbua na kubambikia kesi ili wawapoteze maboya.Haya ni maajabu ya dunia.
Nilimwona Mzee Baba akiwafundisha Wahandisi uhandisi wa field. Je,hiyo nayo ipo kwenye job description yake au ana overlap?
Faraja limesombwa na mafuriko(natural disaster) unatumbua wahandisi?Aliyejenga hilo faraja hakuchaukua muda wake kujirishisha kama ni ideal kwa eneo husika?Kwenye initial feasibility studies huwa wanaangalia mambo gani?
Tunatia aibu,ndiyo maana Sisi kusonga mbele itatuchukua Marne kadhaa kama hii ndiyo aina ya viongozi tunaowaweka kuamua kwa niaba yetu.
Kumbe ulishiriki kumuweka? Basi usilalamike tulia tu.
 
Mapolisi na Magereza wanajipendekeza×2 Mawaziri na Makatibu wanajipendekeza ×2
giphy.gif
 
kuna mwaka walienda nyumbani kwake, akapita mlango wa nyuma na kusepaaaa...ivi hoteli zetu huwa zina mlango wa akiba wa kutokomea kusikojulikana?
Le mutuz kasema anayo sindano ya corona mixing ebola watamchoma, mliopo huko Dsm msakeni Le mutuz anyang’anywe hiyo sindano
 
Mapolisi na Magereza wanajipendekeza Mawaziri na Makatibu wanajipendekeza ×2
Dawa tiba pekee ni kuwashitaki kuwafungulia kesi The Hague kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa, kimyume na hapo chadema wajiandae kufa kupotea kabsa
 
Kila unapo ona giza linazidi ujue ndiyo machweo yanakaribia
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP

Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.

======

Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.

Makene

In God we Trust
 
Press ilikuwa kwa ajili ya jambo gani??
 
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP

Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.

======

Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.

Makene
Hivi tangu lini lema ni mbunge wa Dar! Wamkung'ute tu akileta za kuleta maana hatuwezi kuhatarisha afya za wananchi kwa sababu ya wapumbafu wachache!
 
Hivi tangu lini lema ni mbunge wa Dar! Wamkung'ute tu akileta za kuleta maana hatuwezi kuhatarisha afya za wananchi kwa sababu ya wapumbafu wachache!
Ni kaimu Waziri wa mambo ya ndani ?
 
Kumbe ulishiriki kumuweka? Basi usilalamike tulia tu.
Kiujumla kura ni siri ya mpiga kura,hata kama ningekuwa sijamchagua,kisheria ndiye aliyetangazwa na automatically ni sawa na kumchagua.Pia kumchagua kiongozi haimpatii haki ya kufanya ayatakayo yeye,anatakiwa kufuata sheria,miiko na miongozo iliyopo.
 
Inabidi CHADEMA wabadilishe utaratibu kuhusu kuzungumza na Vyombo vya Habari.

Waanzishe Kitengo Maalumu kitakachokuwa na kazi ya kurekodi SAUTI na VIDEO za Mikutano yote ya Chama na wapakie YouTube huko.

Media house zikafuate information huko.

Ila kwa mwendo huu, watahengwa sana na Serikali hii ambayo haipendi free-speech za kisiasa.
nimeshauli tuitishe harambe kwaajili ya kununua mitambo ya Radio na TV
 
Back
Top Bottom