Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kwa maana ya post husikaNguvu ipi aliyonayo??--- unaposena shetani anazo nguvu SANA ni sawa na kumtukuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana ya post husikaNguvu ipi aliyonayo??--- unaposena shetani anazo nguvu SANA ni sawa na kumtukuza.
Km ndege bas huenda isilipe .km badi inalipa sana tu[emoji3]kwani nauli mpk uko mwanza Ni Bei gan mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuvunja na room nzima bei gani
Twende tukachukue hela hiyo mrembo nauli ya mwanza juu yanguAisee,,litakufa jitu
Ndiyo tabia zenuDunia haikosi vituko,
Hotel Moja jijini Mwanza imesema itatoa zawadi ya sh milioni 1 na kugharamia gharama zote kwa siku tatu kwa couple yoyote itakayovunja kitanda cha hotel hiyo siku ya valentine.
Wazee wa show za kibabe hii fursa imekaaje?
Tutakuja na nyundo kwenye mabegi,tunapiga kazi ya kawaida Kisha tunatapunguza misumari kwenye chagaDunia haikosi vituko,
Hotel Moja jijini Mwanza imesema itatoa zawadi ya sh milioni 1 na kugharamia gharama zote kwa siku tatu kwa couple yoyote itakayovunja kitanda cha hotel hiyo siku ya valentine.
Wazee wa show za kibabe hii fursa imekaaje?