7 ELEVEN
Member
- May 29, 2017
- 74
- 138
njoo kwangu tayari nimeshapika uje ule tu bila malipoulete na picha ya misosi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo kwangu tayari nimeshapika uje ule tu bila malipoulete na picha ya misosi.
Before the deal we are supposed to seal the dealThen we have a deal!
Then let's do it!once and for all!Before the deal we are supposed to seal the deal
hahahahah, sasa misosi shost si mpaka niagize! misosi ya pale bei iko juu utadhani unanunua sijui kitu gani tu! Pale huwa ninaenda kama "nina offer" sio pesa yangu. hahahahahahahahahahah
hahahahahahaahahahahahsafi
😀😀😀😀😀😀Pale huwa ninaenda kama "nina offer" sio pesa yangu. hahahahahahahahahahah
Ngoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba
Duu Member wa miaka humu Umekuwa Mchunguliaji siku hizi Duu.. charmingladyWanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.
Mwenye habari kamili atuhabarishe...
Kweli magu kabana kwangu tu!Jamani mimi nataka niende Mwanza next week. Hotel gani ni nzuri ya kufikia? Nice food, clean rooms, drinks na interaction ya yale mambo yetu pendwa! Kwangu mimi Usafi na Usalama ni priority than anything!
Bajeti yangu 60-80K.
NB: Siulizii Guest House za akina Geita, Visano, Shinyanga et al. Huko nilishalala vya kutosha miaka hiyo!
Kingdom hotelJamani mimi nataka niende Mwanza next week. Hotel gani ni nzuri ya kufikia? Nice food, clean rooms, drinks na interaction ya yale mambo yetu pendwa! Kwangu mimi Usafi na Usalama ni priority than anything!
Bajeti yangu 60-80K.
NB: Siulizii Guest House za akina Geita, Visano, Shinyanga et al. Huko nilishalala vya kutosha miaka hiyo!
Weka picha ya hiyo hotel.....kama ni kweli basi mmiliki wake atakua kwa namna moja anajihusisha na chadema.