Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
You are so pursuesive!kwa nini mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are so pursuesive!kwa nini mkuu??
Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.
Mwenye habari kamili atuhabarishe...
Itakuwa ni eneo la Railway kama walivyobomoa Buguruni (sina uhakika lakini, ni hisia tu)kwani mradi wa SGR usha fika Mwanza au ndo yale yale ma reli yetu ya tangu uhuru?
Yaani Joseverest, pamoja na huwahi kwenye thread za watu huwaga huna taarifa kamili hata siku moja?Ngoja mwenye habari kamili aje
Wauzaji wanawaibia huko, sasa hivi unga umeshuka bei mnoDar nusu kilo ni buku sasa jiulize kilo itakuwa sh ngapi
Kama itabomolewa kupisha upanuzi wa reli basi kambi ya polisi pale railway nayo itabomolewa pia Mwanza Institute itabomolewa kwa maana Ryans Bay ipo mbali kidogo ukilinganisha na Nyumba za Polisi na Mwanza institute.Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.
Mwenye habari kamili atuhabarishe...
Kwahiyo unatushauri tufanye nini?Wauzaji wanawaibia huko, sasa hivi unga umeshuka bei mno
Sina maana hiyo mkuu, kuna nyingine nakuwa nazo, na nyingine kama hii sina halafu ukizingatia amesema ni tetesi.. Siku nikiwa nayo huwa natoa siku sina ndio kama hivi nasubiria mwenye taarifa kamili aje nayo..sijui umenielewa?Yaani Joseverest, pamoja na huwahi kwenye thread za watu huwaga huna taarifa kamili hata siku moja?
Hahaha sawa sawa mkuuYou are so pursuesive!
Umeona jamaa anavyotudanganya eeh! akili za Maboso hizi! Jiulize Kituo cha Polisi na Ryans bay nani yuko karibu na reli? JIbu Kituo Cha Polisi basi waanze na hicho!Uzushi na upuuzi mtupu hotel hiyo haiwezi bomolewa kwani IPO away 123m away kutoka hifadhi ya reli. Wadanganye wa dar. Labda use me wakiibomoa basi reli itabidi ipite ndani ya ziwa kitu ambacho ni impossible. Tafuta mada nyingine kilaza wewe.
wanaume wa karne hii wana shughulihahahahah, sasa misosi shost si mpaka niagize! misosi ya pale bei iko juu utadhani unanunua sijui kitu gani tu! Pale huwa ninaenda kama "nina @offer" sio pesa yangu. hahahahahahahahahahah
Nenda Greenland hotel,kingdom au hapo Ryans bay kabla hapajavunjwaJamani mimi nataka niende Mwanza next week. Hotel gani ni nzuri ya kufikia? Nice food, clean rooms, drinks na interaction ya yale mambo yetu pendwa! Kwangu mimi Usafi na Usalama ni priority than anything!
Bajeti yangu 60-80K.
NB: Siulizii Guest House za akina Geita, Visano, Shinyanga et al. Huko nilishalala vya kutosha miaka hiyo!
Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.
Mwenye habari kamili atuhabarishe...
more pics of this hotel. though am sure it is out of railway boundaries/reserve by more than 50meters. it won,t be demolished to pave way for railway construction.
ANdo waliompa kura Ngosha huko, acha waisome namba