Hoteli ya Sugu: Wafanyakazi wa Serikali wanavyoisaliti Serikali ya Magufuli

Hoteli ya Sugu: Wafanyakazi wa Serikali wanavyoisaliti Serikali ya Magufuli

Kujadili hali ya mfanyabiashara au wafanyabiashara fulani kunahitaji facts na siyo stori za kwenye vijiwe vya kahawa. Siwezi kujitia wendawazimu hapa kuanza kujadili watu nisio na taarifa za kutosha kuwahusu.

Kama nitataka kujijadili mwenyewe (maani nnaifahamu vema biashara yangu), basi ni kwamba sasa hivi nimerahisishiwa mazingira ya kazi. Sipati tena adha ya ushuru kila mara niendapo sokoni na bamia, mchicha, na chainizi ninazolima. Sasa hivi ni mwendo wa kitambulisho tu.

Pia REA imenisaidia kupata access ya umeme kwa ajili ya umwagiliaji wa bustani, kazi imebaki kwangu kununua incubator. Karibu uniungishe bamia mzazi. Ziko fresh like, ...
View attachment 1665993View attachment 1665995
Kumbe huna taarifa basi kaa kimya. Wengine tunaongea tuna maumivu.Na nafikiri hata huko kwenye bamia soon TRA watakufikia halafu utakuja hapa ukiwa na taarifa kamili.
 
Kumbe huna taarifa basi kaa kimya. Wengine tunaongea tuna maumivu.Na nafikiri hata huko kwenye bamia soon TRA watakufikia halafu utakuja hapa ukiwa na taarifa kamili.
Wewe pia huna taarifa. Ndiyo sababu unaleta strori za vijiweni badala ya kuleta facts. Jadili kama mwanazuoni. Sema kuna shida hii kwa reference hizi.

TRA wapo tayari kwenye hizi bamia danda head. Kitambulisho nilichopewa kimeratibiwa na TRA. Walalamikaji wengi mna zero understanding juu ya mambo yanavyokwenda.

Pia mimi ni mzalendo na mpambanaji. Siwezi kukonda eti kisa nimeambiwa nilipe kodi. Wavivu kama nyinyi ndiyo hudhani serikali ina mashamba ya kulima pesa kwa ajili ya miundombinu, mishahara, ulinzi, nk

Anyway, good luck Mr. Keyboard warrior.

2607682_Screenshot_20201101-2117262.jpg
 
Sugu aliwadharau sana watendaji sasa ajipande kwenye kodi maana hawatamuacha salama ajaiita rais huku analialia kushukuru rais og.

Aliifanya mbeya yake upepo umegeuka atulie sindano iingie
Ajabu ni kuwa mnasifia sana uzuri wa awamu hii unaoweka mianya ya raia kuonewa. Kushughulikiwa kwenye kodi maanake ni kuwa hatuna standards upande huo.
 
Ndugu yangu unajua kuna kanuni moja. Kiongozi wa nchi kama rais akishajiwekea mazoea ya kufanya kazi yake bila kuheshimu katiba, sheria na taratibu za nchi tena wakati mwingine ili akomoe kikundi au mtu fulani tu basi anajenga precedence mbaya sana kwa waliyo chini yake. Si ajabu hapo hao walionuia kubomoa walikuwa wanadhani watamfurahisha aliyewateua kwani ndiyo style zake za kushughulikia mambo. Watu wa chini hawawezi kuheshimu sheria kama aliyetakiwa kuzitunza ndiyo wa kwanza kuzivunja.
Hii ni tabia ya CCM na serekali zake, sema awamu hii hii tabia imekuwa orchestrated na aina ya Rais aliyepo madarakani. Yahani ni sekunde tu kukukalia vikao gizani ili wakukomoe.
 
Sugu aliwadharau sana watendaji sasa ajipande kwenye kodi maana hawatamuacha salama ajaiita rais huku analialia kushukuru rais og.

Aliifanya mbeya yake upepo umegeuka atulie sindano iingie
Jamaa ameongelea mambo ya msingi sana.
Ila wewe umekuja kutetea viongozi wenye roho mbaya,sijawahi kuipenda ccm na viongozi wake ni wakatili kupitiliza.
 
Wewe pia huna taarifa. Ndiyo sababu unaleta strori za vijiweni badala ya kuleta facts. Jadili kama mwanazuoni. Sema kuna shida hii kwa reference hizi.

TRA wapo tayari kwenye hizi bamia danda head. Kitambulisho nilichopewa kimeratibiwa na TRA. Walalamikaji wengi mna zero understanding juu ya mambo yanavyokwenda.

Pia mimi ni mzalendo na mpambanaji. Siwezi kukonda eti kisa nimeambiwa nilipe kodi. Wavivu kama nyinyi ndiyo hudhani serikali ina mashamba ya kulima pesa kwa ajili ya miundombinu, mishahara, ulinzi, nk

Anyway, good luck Mr. Keyboard warrior.

View attachment 1666183
We Ni mpumbavu unaezan una akili.Watu tunalia makadirio ya kodi ya miaka kumi nyuma we unaleta stori za kitambulisho Cha sh elfu 20.uko siriaz wewe.Aisee ww sio Levo yangu ,nipishe tena kaa mbali na mm na hizo bamia,ngogwe zako.
Tafuta wenzio wa levo hizo.KUMBAFU KABISA. TENA CTAKI MAZOEA YA KITOTO.
 
Wewe pia huna taarifa. Ndiyo sababu unaleta strori za vijiweni badala ya kuleta facts. Jadili kama mwanazuoni. Sema kuna shida hii kwa reference hizi.

TRA wapo tayari kwenye hizi bamia danda head. Kitambulisho nilichopewa kimeratibiwa na TRA. Walalamikaji wengi mna zero understanding juu ya mambo yanavyokwenda.

Pia mimi ni mzalendo na mpambanaji. Siwezi kukonda eti kisa nimeambiwa nilipe kodi. Wavivu kama nyinyi ndiyo hudhani serikali ina mashamba ya kulima pesa kwa ajili ya miundombinu, mishahara, ulinzi, nk

Anyway, good luck Mr. Keyboard warrior.

View attachment 1666183
Una maelezo ya kitoto.
Hujalipa kodi wewe.
 
Back
Top Bottom