Hoteli ya Sugu: Wafanyakazi wa Serikali wanavyoisaliti Serikali ya Magufuli

Kumbe huna taarifa basi kaa kimya. Wengine tunaongea tuna maumivu.Na nafikiri hata huko kwenye bamia soon TRA watakufikia halafu utakuja hapa ukiwa na taarifa kamili.
 
Kumbe huna taarifa basi kaa kimya. Wengine tunaongea tuna maumivu.Na nafikiri hata huko kwenye bamia soon TRA watakufikia halafu utakuja hapa ukiwa na taarifa kamili.
Wewe pia huna taarifa. Ndiyo sababu unaleta strori za vijiweni badala ya kuleta facts. Jadili kama mwanazuoni. Sema kuna shida hii kwa reference hizi.

TRA wapo tayari kwenye hizi bamia danda head. Kitambulisho nilichopewa kimeratibiwa na TRA. Walalamikaji wengi mna zero understanding juu ya mambo yanavyokwenda.

Pia mimi ni mzalendo na mpambanaji. Siwezi kukonda eti kisa nimeambiwa nilipe kodi. Wavivu kama nyinyi ndiyo hudhani serikali ina mashamba ya kulima pesa kwa ajili ya miundombinu, mishahara, ulinzi, nk

Anyway, good luck Mr. Keyboard warrior.

 
Sugu aliwadharau sana watendaji sasa ajipande kwenye kodi maana hawatamuacha salama ajaiita rais huku analialia kushukuru rais og.

Aliifanya mbeya yake upepo umegeuka atulie sindano iingie
Ajabu ni kuwa mnasifia sana uzuri wa awamu hii unaoweka mianya ya raia kuonewa. Kushughulikiwa kwenye kodi maanake ni kuwa hatuna standards upande huo.
 
Hii ni tabia ya CCM na serekali zake, sema awamu hii hii tabia imekuwa orchestrated na aina ya Rais aliyepo madarakani. Yahani ni sekunde tu kukukalia vikao gizani ili wakukomoe.
 
Sugu aliwadharau sana watendaji sasa ajipande kwenye kodi maana hawatamuacha salama ajaiita rais huku analialia kushukuru rais og.

Aliifanya mbeya yake upepo umegeuka atulie sindano iingie
Jamaa ameongelea mambo ya msingi sana.
Ila wewe umekuja kutetea viongozi wenye roho mbaya,sijawahi kuipenda ccm na viongozi wake ni wakatili kupitiliza.
 
We Ni mpumbavu unaezan una akili.Watu tunalia makadirio ya kodi ya miaka kumi nyuma we unaleta stori za kitambulisho Cha sh elfu 20.uko siriaz wewe.Aisee ww sio Levo yangu ,nipishe tena kaa mbali na mm na hizo bamia,ngogwe zako.
Tafuta wenzio wa levo hizo.KUMBAFU KABISA. TENA CTAKI MAZOEA YA KITOTO.
 
Una maelezo ya kitoto.
Hujalipa kodi wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…