Swala ni Kuboreshwa kwa Huduma katika maeneo hayo ya kufikia/kulala wageniBasi wahamishe mkoa unaona una vigezo vya kuwahudumia wataliiii kwa sababu hao watalii ndio wameona Arusha ndio sehemu pekeeee ,and nadhani pesa yako ya kuungaunga zimekupeleka sehemu ya size yakoo
Mahitaji ya Muhimu Mfano, Tools za kutumika katika chumba mfano, Miswaki, viatu vya ndani, Menu nzuri ya chakula, yan mtu akifika bc afeel kama yupo nyumban, sio kuanza kuomba na kuuliza vitu mbona hivi mbona vile, inapoteza muda.. Ukikaa Hoteli za 5Stars nyingi kwa Zanzibar utanielewa nini naamanishaUna hoja mkuu. Je ni vigezo gani hasa hotel inapaswa kuwa navyo ili kupewa hadhi ya hotel ya kuhudumia wageni?, ambavyo kwa hotel za Arusha hazina?
Kama ipi?? Wamekufanyaje??kitalii hazijakidhi Hadhi ya Kuhudumia Wageni, Mamlaka husika ya mambo ya kitalii na
Aseme. Asije kuwa kaenda guest houseBasi wahamishe mkoa unaona una vigezo vya kuwahudumia wataliiii kwa sababu hao watalii ndio wameona Arusha ndio sehemu pekeeee ,and nadhani pesa yako ya kuungaunga zimekupeleka sehemu ya size yakoo
Unataka kusema umeenda kulala Gran Melia ukakuta hamna kiatu cha ndani? πππ sema ukweli, umelala wapi huko?Mahitaji ya Muhimu Mfano, Tools za kutumika katika chumba mfano, Miswaki, viatu vya ndani, Menu nzuri ya chakula, yan mtu akifika bc afeel kama yupo nyumban, sio kuanza kuomba na kuuliza vitu mbona hivi mbona vile, inapoteza muda.. Ukikaa Hoteli za 5Stars nyingi kwa Zanzibar utanielewa nini naamanisha
Huyu atakuwa ameenda Rift Valley siyo bure.Aseme. Asije kuwa kaenda guest house
Mhh! Nishawahi attend meeting pale. Mbona customer yao nzuri?aha nimekumbuka corridor spring pa hovyoooo....