Hoteli za Kitalii Arusha Nyingi Hazijakidhi Hadhi ya Kuhudumia Wageni

Hoteli za Kitalii Arusha Nyingi Hazijakidhi Hadhi ya Kuhudumia Wageni

Hoteli nyingi za Arusha naona kidg zina viwango kuliko za Dar
Matajiri wetu wa Dar floor za chini wanauza spare za pikipiki na magari yaani vurugu mechi
 
Arusha ni jiji la kitalii, na wageni wengi hufika kila siku kwa shughuli za kitalii, lakini malalamiko ni mengi kuwa Hoteli Nyingi za kitalii hazijakidhi Hadhi ya Kuhudumia Wageni, Mamlaka husika ya mambo ya kitalii na MaHoteli mnatumia vigezo gani kutoa vibali?

Pia bila kusahau TANESCO mnatutia aibu Umeme unakatika kwenye Mahoteli, na Process ya Kuwaka jenereta ni ndefu.

Aibu juu ya Aibu

Hizi Safari Hotels ziangaliwe upya, Taifa linawategemea kwenye kuwapa Malazi wageni alafu wanakutana na Drama.
Umenikumbusha
Kuna bibi wa kizungu...nilikutana nae ughaibuni...aliwahi kuja kutalii Tz.....yaani ukisikia malalamiko yake....utapata hasira sana......
Lakini baya kuliko yote alidai hiyo kampuni iliwahudumia kama wafungwa...kutoka Airport kwenda kufungiwa hotelini NO kutoka nje eti usalama...then wakapelekwa kucheki wanyama mbio mbio tu na kurudi hotelini.....aaaah ngoja niishie hapo....mengine kapuni
 
Hoteli nyingi za Arusha naona kidg zina viwango kuliko za Dar
Matajiri wetu wa Dar floor za chini wanauza spare za pikipiki na magari yaani vurugu mechi
Mleta mada hajataja hotel mbovu zaidi ya kupiga soga.
 
Back
Top Bottom