Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujata hata hotel moja mkuu kwaniniMnoo
Kijana wa 2023 wewee 😄labda pamebadilika, nilienda 2019
nilipaona kawaida, viti vimechakaa chakaa si unajua😂 swimming ilikua nzuri lakini
walikua wanadaiwa sijui, tulikua tunachangishwa kanisani tuwalipie deni
Kibo Palace?Mpk namsahau na 4 points by Sheraton. Bufee lao makini.
Kibo sijafika vyumbani. Sina cha kuongea 😂😂😂
Majamaa wana miliki vitega uchumi alafu wana waambia watu waache ya duniacorridor spring inamilikiwa na KKKT lutheran
1. Corridor sasa imeboreshwaaha nimekumbuka corridor spring pa hovyoooo....
kibo palace panaonekana pazuri kwa nje
naura spring ya kitambo nimezaliwa nimeikuta
snowcrest inasemwa sana itakua mbaya
UmenikumbushaArusha ni jiji la kitalii, na wageni wengi hufika kila siku kwa shughuli za kitalii, lakini malalamiko ni mengi kuwa Hoteli Nyingi za kitalii hazijakidhi Hadhi ya Kuhudumia Wageni, Mamlaka husika ya mambo ya kitalii na MaHoteli mnatumia vigezo gani kutoa vibali?
Pia bila kusahau TANESCO mnatutia aibu Umeme unakatika kwenye Mahoteli, na Process ya Kuwaka jenereta ni ndefu.
Aibu juu ya Aibu
Hizi Safari Hotels ziangaliwe upya, Taifa linawategemea kwenye kuwapa Malazi wageni alafu wanakutana na Drama.
Wengine wanaishia getini usidanganyweUnataka kusema umeenda kulala Gran Melia ukakuta hamna kiatu cha ndani? 😂😂😂 sema ukweli, umelala wapi huko?
Mleta mada hajataja hotel mbovu zaidi ya kupiga soga.Hoteli nyingi za Arusha naona kidg zina viwango kuliko za Dar
Matajiri wetu wa Dar floor za chini wanauza spare za pikipiki na magari yaani vurugu mechi
BlaaablaaaBalabala ni nn?