mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
labda pamebadilika, nilienda 2019Mhh! Nishawahi attend meeting pale. Mbona customer yao nzuri?
Lol. Hiyo mpya kwangu 😁labda pamebadilika, nilienda 2019
nilipaona kawaida, viti vimechakaa chakaa si unajua😂 swimming ilikua nzuri lakini
walikua wanadaiwa sijui, tulikua tunachangishwa kanisani tuwalipie deni
kibo hujafika?Lol. Hiyo mpya kwangu 😁
ile Venace Hotel nayo nzuri. Ila parking ndogo.
Mpk namsahau na 4 points by Sheraton. Bufee lao makini.kibo hujafika?
uzi huu nimefungwa domo nimekulia arumeru kijijini. from kijijin to dar. huku dar nabeba tofari na zege 🤕🤒Mpk namsahau na 4 points by Sheraton. Bufee lao makini.
Kibo sijafika vyumbani. Sina cha kuongea 😂😂😂
😢🙌 Kumbe bado chalii sana.naura spring ya kitambo nimezaliwa nimeikuta
😂😂😂 wacha banaauzi huu nimefungwa domo nimekulia arumeru kijijini. from kijijin to dar. huku dar nabeba tofari na zege 🤕🤒
wamiliki ni wabahili sana ili wapate faida maradufu inabidi wachukue vitu cheap hotel unakuta inamiundombinu ya hovyo! zipo hotel zina hadhi ya nyota tano lakini ikinyesha mvua zinavuja..!
wamiliki wanaangalia sana faida nono quality mtaitafuta nyinyi wateja hapo vipi..?😀
Jengeni mahotel yenye viwango wakuu watalii waje wafikie kwenye mahotel yenu.Arusha ni jiji la kitalii, na wageni wengi hufika kila siku kwa shughuli za kitalii, lakini malalamiko ni mengi kuwa Hoteli Nyingi za kitalii hazijakidhi Hadhi ya Kuhudumia Wageni, Mamlaka husika ya mambo ya kitalii na MaHoteli mnatumia vigezo gani kutoa vibali?
Pia bila kusahau TANESCO mnatutia aibu Umeme unakatika kwenye Mahoteli, na Process ya Kuwaka jenereta ni ndefu.
Aibu juu ya Aibu
Hizi Safari Hotels ziangaliwe upya, Taifa linawategemea kwenye kuwapa Malazi wageni alafu wanakutana na Drama.
Du michango kanisa kunusuru hotel?labda pamebadilika, nilienda 2019
nilipaona kawaida, viti vimechakaa chakaa si unajua😂 swimming ilikua nzuri lakini
walikua wanadaiwa sijui, tulikua tunachangishwa kanisani tuwalipie deni
corridor spring inamilikiwa na KKKT lutheranDu michango kanisa kunusuru hotel?
Ndio maana ukaamua kuhamia kambi hakuna Mungu eti mwamba?
2009 ilikuwepo, kwahiyo nimeaproksimeti😁😢🙌 Kumbe bado chalii sana.
Nilichoshangaa ni kuchangishwa kanisani kwa ajili ya hotel. Inamaana haikuwa inafaanya biashara? Au wapendwa mlifilisi kwa kulala bure na mademu zenu.corridor spring inamilikiwa na KKKT lutheran
Wakati inajengwa ilivutia sana na vile vioo vya blue. Nowadays naiona kama godown tu.2009 ilikuwepo, kwahiyo nimeaproksimeti😁
Marryj. How are you doing?😂😂😂 wacha banaa
Umeshaanza kwa mbaaaaliii. Mada hapa inazungumzia hoteli za Arusha siyo vinginevyo.Marryj. How are you doing?
Walikuwaga wanasema sijui ya Mu7 wengine wanasema ya mrema hadi alijenga ofisi ndogo ya CCMWakati inajengwa ilivutia sana na vile vioo vya blue. Nowadays naiona kama godown tu.
We mbusi ama 🤣🤣🤣 namsabahi mshirika tu.Umeshaanza kwa mbaaaaliii. Mada hapa inazungumzia hoteli za Arusha siyo vinginevyo.
Sijui hata moja.Unazijua zote?