Hoteli za Morena na Huduma Mbovu

Hoteli za Morena na Huduma Mbovu

Kama vipi uje upange na sisi Watanganyika wenzako kwenye hizi Lodges za nyuma ya stendi ya Msamvu. Huku tunalipa bei ya kawaida tu, na huduma zinaridhisha.

Huduma ya vyakula huwa tunapata kwa mama ntilie na kwenye vibanda vya jirani.
 
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa

Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu

Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.

Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.

  1. Kubagua wateja
  2. Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
  3. Huduma kuchelewa
  4. Kulisha watu vyakula vilivyooza
  5. Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea

Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.

Mlichonifanyia MUNGU ATAHUKUMU

View attachment 2893568
Mh. Shabiby anahujumiwa. Wakati mwingine vyumbani pananuka mavi, pia aliyemjenge alikuwa muhuni maana nakshi za vyumbani utafikiri nyoka, mifumo ya maji mibovu, makapeti ndiyo usiseme vumbi mno na yananuka. Ukiagizia kitu aisee sahau kuletewa. Kwa ufupi pale hana management kabisa ya hotel.
 
Sio kweli mkuu,mtanzania ni hard worker ila tatizo hawa employers wengi ni mafedhuli, na wakati mwingine hawa ma HRs wetu ni vibaraka na roho mbaya, wakati DSM Sheraton Hotel wanaendesha ile hotel pale, kulikua na zaidi ya 260 staff's, ILA wote walikuwa level moja,GM alikua anakula kwenye staff canteen, hii ilileta kitu tofauti kwa staff's, ndio maana services pale ilikua top class, lakini sasa mafisadi yanapiga hela, kila baada ya miaka 5 eti kuna mwekezaji mpya!!!
Nakubaliana na wewe mkuu ila sasa inatakiwa hata kama mwajiri wako anakunyanyasa basi chukuwa hatua nyingine lakini siyo kulipizia kwa wateja. Kama kazi haikufai basi tafuta nyingine. Nchi yetu tatizo lake kubwa ni kuwa kuna ''total system failure'' ambayo inasababisha ''ripple effect'' kwa society yote.
 
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa

Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu

Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.

Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.

  1. Kubagua wateja
  2. Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
  3. Huduma kuchelewa
  4. Kulisha watu vyakula vilivyooza
  5. Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea

Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.

Mlichonifanyia MUNGU ATAHUKUMU

View attachment 2893568
1. Kubagua wateja
2. Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
3. Huduma kuchelewa
4. Kulisha watu vyakula vilivyooza
5. Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea

wameshajimaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa

Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu

Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.

Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.

  1. Kubagua wateja
  2. Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
  3. Huduma kuchelewa
  4. Kulisha watu vyakula vilivyooza
  5. Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea

Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.

Mlichonifanyia MUNGU ATAHUKUMU

View attachment 2893568
Meneja anaendesha hotel kwa uswahili mwingi sana halafu hafananii kabisa.
 
Mh. Shabiby anahujumiwa. Wakati mwingine vyumbani pananuka mavi, pia aliyemjenge alikuwa muhuni maana nakshi za vyumbani utafikiri nyoka, mifumo ya maji mibovu, makapeti ndiyo usiseme vumbi mno na yananuka. Ukiagizia kitu aisee sahau kuletewa. Kwa ufupi pale hana management kabisa ya hotel.
Huyo ''mh'' Shabiby ni zezeta kiasi gani mpaka afanyiwe yote haya kwenye biashara yake bila yeye kujua na kuchukuwa hatua? Au pengine ni biashara geresha tu?
 
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa

Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu

Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.

Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.

  1. Kubagua wateja
  2. Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
  3. Huduma kuchelewa
  4. Kulisha watu vyakula vilivyooza
  5. Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea

Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.

Mlichonifanyia MUNGU ATAHUKUMU

View attachment 2893568
Boss hiyo hali inatokana na mazingira magumu ya kazi mimi nilifanya kazi hoteli fulani kubwa five star hapa dar tulikua tunahudumia wateja kwa kusimama masaa 8 hadi 12 unatoa huduma huku umechoka akili hadi mwili bado tena unatakiwa utoe kauli nzuri kwa wateja

Kuwe na mteja kusiwe na mteja hakuna kukaa ni kusimama tu bado tena kuna wateja wengine ni wakorofi unatamani hata umrushie ngumi ya kichwa hotelini mazingira ya kazi ni magumu mno msione watoa huduma wamepenzeza kuna mengi wanapitia
 
Nakubaliana na wewe mkuu ila sasa inatakiwa hata kama mwajiri wako anakunyanyasa basi chukuwa hatua nyingine lakini siyo kulipizia kwa wateja. Kama kazi haikufai basi tafuta nyingine. Nchi yetu tatizo lake kubwa ni kuwa kuna ''total system failure'' ambayo inasababisha ''ripple effect'' kwa society yote.
Welldone mkuu, umenena haswa, Tanzania tuna total system failure, hakuna kitu kinachoenda Sawa bila figisu, ni mizengwe, watu akili zao zimejaa hasira, upigaji, hakuna kuaminiana yaani ni craze, ndio maana royal families hazitibiwi hapa nyumbani au kufia hapa, wote wanakimbilia India,UK, millpark
 
Boss hiyo hali inatokana na mazingira magumu ya kazi mimi nilifanya kazi hoteli fulani kubwa five star hapa dar tulikua tunahudumia wateja kwa kusimama masaa 8 hadi 12 unatoa huduma huku umechoka akili hadi mwili bado tena unatakiwa utoe kauli nzuri kwa wateja

Kuwe na mteja kusiwe na mteja hakuna kukaa ni kusimama tu bado tena kuna wateja wengine ni wakorofi unatamani hata umrushie ngumi ya kichwa hotelini mazingira ya kazi ni magumu mno msione watoa huduma wamepenzeza kuna mengi wanapitia
Na maonezi yote hayo mkafwata mikia yenu, why hamkufanya push back?,ulizia push back ya maboi wa pale Karibu Hotel, White Sands Hotel, hawakua waoga wa kupoteza kazi, Wali fight kudai haki zao, kuna Boi mmoja pale Italian restaurant, Masaki alimeza bill ili kulinda system ya maboi ku make extra cash!!!
 
Mh. Shabiby anahujumiwa. Wakati mwingine vyumbani pananuka mavi, pia aliyemjenge alikuwa muhuni maana nakshi za vyumbani utafikiri nyoka, mifumo ya maji mibovu, makapeti ndiyo usiseme vumbi mno na yananuka. Ukiagizia kitu aisee sahau kuletewa. Kwa ufupi pale hana management kabisa ya hotel.
Kati ya kitu nisichopenda mimi ni kuingia chumba cha Hotel au lodge nikutane na ile harufu ya chumba, Mashuka n.k.

Sipendii hiyo harufu kama nini, na maeneo niliyowah kumbana na harufu ni

1. Yombo Kijani View (shekilango)
2. Miaka hiyo nilingia Kagame Ubungo, sikulala nililipa na kupotezea kurudi
3. Kuna moja ni mpya (sio ya muda mrefu) hapa nyuma ya MIC hotel ukipita uchochoro wa salon, viduka ukashuka chini kidogo nikikumbuka jina lake nitaweka. (hii vyumba vina nafasi pana, ila hiyo nafasi imejaa harufu sijui ile harufu inatokana na nini.

4. Lion Hotel Sinza wale wale tuvutanda ukijigeuza uko sakafuni

5. Kibadamo vyumba vidogo vilivyopo vinatoa harufu sanaaaa, ila vile vikubwa vina usafi wa kuridhisha, huwa nauliza vyumba vikubwa vipo au vimeisha, wakisema vimeisha naondoka, maana muziki wa vile vyumba vidogo utakoma

6. Mkomilo Sinza barabara ya kwenda Tandale, milango yenu ya baadhi ya vyumba hasa bafuni inapiga kelele sana ikifunguliwa na kufungwa na baadhi ya vyoo viko hoi. Ila mnajitahidi brekafast yenu iko vizuri.

7. Asilimia 90% ya hotel za Kariakoo zinatoa harufu kuanzia kwenye lift


Zinanuka ndugu zangu acheni tu,
 
Kati ya kitu nisichopenda mimi ni kuingia chumba cha Hotel au lodge nikutane na ile harufu ya chumba, Mashuka n.k.

Sipendii hiyo harufu kama nini, na maeneo niliyowah kumbana na harufu ni

1. Yombo Kijani View (shekilango)
2. Miaka hiyo nilingia Kagame Ubungo, sikulala nililipa na kupotezea kurudi
3. Kuna moja ni mpya (sio ya muda mrefu) hapa nyuma ya MIC hotel ukipita uchochoro wa salon, viduka ukashuka chini kidogo nikikumbuka jina lake nitaweka. (hii vyumba vina nafasi pana, ila hiyo nafasi imejaa harufu sijui ile harufu inatokana na nini.

4. Lion Hotel Sinza wale wale tuvutanda ukijigeuza uko sakafuni

5. Kibadamo vyumba vidogo vilivyopo vinatoa harufu sanaaaa, ila vile vikubwa vina usafi wa kuridhisha, huwa nauliza vyumba vikubwa vipo au vimeisha, wakisema vimeisha naondoka, maana muziki wa vile vyumba vidogo utakoma

6. Mkomilo Sinza barabara ya kwenda Tandale, milango yenu ya baadhi ya vyumba hasa bafuni inapiga kelele sana ikifunguliwa na kufungwa na baadhi ya vyoo viko hoi. Ila mnajitahidi brekafast yenu iko vizuri.

7. Asilimia 90% ya hotel za Kariakoo zinatoa harufu kuanzia kwenye lift


Zinanuka ndugu zangu acheni tu,
Standards za NEFALAND HOTEL pale Argentina, Manzese nayo inashuka chini, why wanashindwa ku uphold standards zao?
 
Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.

  1. Kubagua wateja
  2. Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
  3. Huduma kuchelewa
  4. Kulisha watu vyakula vilivyooza
  5. Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea

Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.
Ni advanced Guest house
 
Kwa Morogoro huwa nalala sehemu mbili comfortable kabisa

1. Djabrika Hotel kule nyuma ya stendi ya msamvu (aisee pasafii hadi raha) changamoto yao ni kuomba kitambulisho uscaniwe kwenye mifumo yao.

2. Edema Hotel pia sijawah kuona tatizo.

Kuna nyingine inaitwa SAGAMA ilikuwa vizuri miaka hiyo,

Ila kwa sasa wahudumu viburi waliopo, unaagiza kitu sahau kuletewa, au dada wa mapokezi anaweza kumwambia mlinzi akuhudumie ukifika vyumbani unauliza maswali hupati majibu maana mlinzi hajui kitu.

Pia SAGAMA mmiliki wake nadhan anachangia kuiharibu maana yule mzee anatembea sana na wafanyakazi wake wengine kawazalisha watoto wa kutosha.

Ninaomba mwenye namba ya mke wake anitumie inbox maana hili lizenji linakula sana mademu zetu pia mtaani na sisi tulisaidie kuhudumia mke wake.


Am out
 
Standards za NEFALAND HOTEL pale Argentina, Manzese nayo inashuka chini, why wanashindwa ku uphold standards zao?
Nitafika hapo nijionee mkuu, hii mijengo mikuubwa, mireefu kwenda juu ni mbwembwe tu nimejifunza, unaweza tafuta kilodge mahali cha kawaida ukaenjoy hali ya vyumba kuliko hii mijengo au jina kubwa la Hotel.
 
Sasa kama Unaendelea si ulipe kabisa siku zote utakazokaa? Au uwe unalipia Kila siku.Ulitaka ukope kijanja halafu utokomee gizani pesa Yao wangepata wapi? Lipa kabisa ndio ulale siku husika
Haya hili umejibu.
Je chakula kiilichooza? Hapa afanyeje?
 
Mh. Shabiby anahujumiwa. Wakati mwingine vyumbani pananuka mavi, pia aliyemjenge alikuwa muhuni maana nakshi za vyumbani utafikiri nyoka, mifumo ya maji mibovu, makapeti ndiyo usiseme vumbi mno na yananuka. Ukiagizia kitu aisee sahau kuletewa. Kwa ufupi pale hana management kabisa ya hotel.
Kama kuna ka Ukweli sasa
 
Nitafika hapo nijionee mkuu, hii mijengo mikuubwa, mireefu kwenda juu ni mbwembwe tu nimejifunza, unaweza tafuta kilodge mahali cha kawaida ukaenjoy hali ya vyumba kuliko hii mijengo au jina kubwa la Hotel.
Halafu nipe mrejesho, jamaa yangu alifikia pale December baada ya mimi kumshauri aende pale (hii hotel ilisemwa vizuri humu JF),experience aliyoipata pale Alii rate C,pamoja na kulipa chumba 80k,binafsi nilitembelea Lushoto kwa mara ya kwanza maishani mwangu, kuna lodge kule ina cost 250k per night, na siku hiyo ilikua full booked!!,Mwenyezi Mungu akinipa uhai nitakwenda tena nikaone chumba cha 250k ndani ya Lushoto!!
 
Back
Top Bottom