Hoteli za Morena na Huduma Mbovu

Hoteli za Morena na Huduma Mbovu

Na ukiona mpokea mshahara anafanya hayo ujue kuna dalili hapati stahiki zake vzuri na kwa wakati lakin pia huenda wanapitia mazingira magumu sana ya kazi
Tatizo kubwa ni waajiri kula waajiriwa, huwa inawapa kiburi wakijua uchi wa mwajiri
 
Wanaoongoza kwa jeuri na maringo siku zote ni waaajiriwa....

Sio maofisini, Safarini, mahotelini..
Mhusika mwenyewe hana hizo mambo, nenda kwa mpokea mshahara sasa..

Background ndio inawatesa Sana waajiriwa wa namna hio.
Wako wenyeee eneo husika? au wana kipi unique hadi mkomalie hapo hapo? Wabongo tumezidi ujinga
 
Kuna comment nishawahi kuisoma humu JF. Kuna mtu anasema hizi, guest house, lodge, motel, hotel za Matajiri wa kibongo kazi yake kuu sio kuhudumia wateja. Lengo la kuzijenga ni kuwa collateral yakuchukulia mikopo Benki za ndani na nje ya Tz. Ndio maana matajiri wengi hawapo serious nazo upande wa mteja. Zaidi ni mikopo ya benki.
 
Mkuu kuna mengine. Tanzania huduma kwa wateja ni majanga. Nenda popote. Hata mfanyakazi alipwe nini, ila tumeshajijengea utamaduni wa kudharau wateja. Nadhani hii ilianza kipindi cha ujamaa wakati vitu vilikuwa vimeadimika na huduma nyinge zikiwa zinatolewa na serikali na sekta zake. Bado hujaweka tatizo jingine la wizi na uvivu.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, na huu hapa ndio ukweli wenyewe!
 
Huku hutapata msaada poti, kwanini usikae nao meza moja kwanzia meneja, wafanyakazi mkaliongea!
 
Endeleeni kuweka hotel zingine na uzuri wao pia, na zile mbaya zibainishwe pia
 
Maduhu Hotel ipo Mkoani Mwanza, vyumba vikubwa, usafi mnajitahidi, changamoto wafanyakazi wana Mood za kisukuma. Wao wanajua kumhudumia mteja ni kupokea hela na kumwandikisha baaasi.
 
Back
Top Bottom