Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Tatizo kubwa ni waajiri kula waajiriwa, huwa inawapa kiburi wakijua uchi wa mwajiriNa ukiona mpokea mshahara anafanya hayo ujue kuna dalili hapati stahiki zake vzuri na kwa wakati lakin pia huenda wanapitia mazingira magumu sana ya kazi