Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mwajuma huoni kuna mkato kwenye hizo tarakimu? Unajua maana yake huo mkato? Unadhani ni sahihi kutaja majina ya hizo Hotels kwa mujibu wa kanuni za JF?Hizo hotel hazina majina?
Kama unayo hiyo 120,000 kalale mkonge ama hotel yoyote ya kistaarabu,
Ama hesabu vizuri maybe umeongeza sifuri mbele kimakosa.
Ok. Nakuelewa. But ni woga tu mnakuwa nao kwetu sisi wanaume. Huo muda tunatoa wapi? Tunakuja tupo busy hata muda wa kuwaza mademu hatuna. Mnajishtukia tu.tatZo nyinyi ni wezi sana mnaibaga mpka mashuka piA
Yaani mtu alipe above 50,000 tsh aibe ndala? Si rahisi.Kwani kuna watu wanaiba hata ndala?
Mkuu,tatZo nyinyi ni wezi sana mnaibaga mpka mashuka piA
😂🤣😂😂😂unaweza kukuta amelala kwa mama yake muda huu hii mitandao ni kujifurahisha tuLakini kwani uongo? kuna wenzetu huwa wanaondoka na sabuni, shower gel, tooth paste n.k wabongo usiwaamini sana.
yaah n kweli ila mbongo haaminiki ila wanakosea kuwafnyia hvo maana ndala mbovu inatakiwa wawawekee wanaolipa elfu 15Ok. Nakuelewa. But ni woga tu mnakuwa nao kwetu sisi wanaume. Huo muda tunatoa wapi? Tunakuja tupo busy hata muda wa kuwaza mademu hatuna. Mnajishtukia tu.
Wamekusikia mteja wa guest za chooni tuu au ulitaka kukata nazo mitaa!Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Kuna mama mmoja alikua Naibu Waziri huko CCM alikua anaiba hadi taulo za hotelini. CCM imelewa wizi umekita mizizi.Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Ndo nachosema kwa kweli. Mtu mwenye akili timamu unabeba ndala za Hotelini ukafanyie nini?yaah n kweli ila mbongo haaminiki ila wanakosea kuwafnyia hvo maana ndala mbovu inatakiwa wawawekee wanaolipa elfu 15
Umepata bfast leo? Maana ulichoandika ni wazi hukupata good bfast.Wamekusikia mteja wa guest za chooni tuu au ulitaka kukata nazo mitaa!
Ooooookey. So kumbe wanatufanyia hivi sisi maccm? Nyie machadema mnawekewa ndala sahihi? Nimekuelewa.Kuna mama mmoja alikua Naibu Waziri huko CCM alikua anaiba hadi taulo za hotelini. CCM imelewa wizi umekita mizizi.
Ndo maana nawewe unazitamani ndala za watu.